Chuo cha Usafiri wa Anga kutoa mafunzo ya urushaji drones kwa ada ya Tsh. 1,980,000 yatayoweza kuomba leseni ya urushaji TCAA

Chuo cha Usafiri wa Anga kutoa mafunzo ya urushaji drones kwa ada ya Tsh. 1,980,000 yatayoweza kuomba leseni ya urushaji TCAA

1.
Hivi kurusha aina yeyote ile tanzania ni lazima upate mafunzo na leseni? Yaani nazungumzia drone zile simple tu unarusha zina camera unarikodi na kupiga picha nazo pia unataka leseni? Maana mimi najua kurusha hizi na nimejifunza kwa rafiki yangu tu na hata haikuchukua zaidi ya saa moja kuweza kuweza kuirusha! Huku kwa mama msuka nywele hata watoto wadogo tu wanazirusha bila leseni wala age restrictions.

2.
Hivi drone za kubeba mizigo ziko nyingi Tanzania? ni makampuni mangapi wanamililki na yanatumia drone kusafirisha mizigo yao? Maana naona bei ya masomo ni kubwa mno kiasi kwamba kama mtu ana pesa zote hizo na hana hope ya kupata kazi baada ya kujifunza naona ni bora mtu achukue pesa hizo akatafute shamba japo la kukodi apige kazi kuliko kununua karatasi tu.
 
L
1.
Hivi kurusha aina yeyote ile tanzania ni lazima upate mafunzo na leseni? Yaani nazungumzia drone zile simple tu unarusha zina camera unarikodi na kupiga picha nazo pia unataka leseni? Maana mimi najua kurusha hizi na nimejifunza kwa rafiki yangu tu na hata haikuchukua zaidi ya saa moja kuweza kuweza kuirusha! Huku kwa mama msuka nywele hata watoto wadogo tu wanazirusha bila leseni wala age restrictions.

2.
Hivi drone za kubeba mizigo ziko nyingi Tanzania? ni makampuni mangapi wanamililki na yanatumia drone kusafirisha mizigo yao? Maana naona bei ya masomo ni kubwa mno kiasi kwamba kama mtu ana pesa zote hizo na hana hope ya kupata kazi baada ya kujifunza naona ni bora mtu achukue pesa hizo akatafute shamba japo la kukodi apige kazi kuliko kununua karatasi tu.
Lengo ni kukomoa wananchi masikini
 
Katika watu ambao akili hawana na wewe umo

Wewe DRone unajua hicho kikamera chako cha kurusha hewani kupiga picha za harusi!!!

Mwendesha drone anaitwa Drone pilot au drone operator ni kazi nzito ambako tuendako itaajiri watu wengi mno kwa kazi ya kusafirisha parcel ndogo ndogo au vifurushi toka sehemu moja kwenfda nyingine yaani courier servises

Mfano Rwanda hapo kuna pilot wa Drone anasafirisha damu au madawa toka mijini hadi dispensary ziliko vijijini ambako hakuna barabara wala nini kwa wakati

Anapakia ki drone chake madawa anakirusha kinatiua mzigo kinageuza

Chuo Cha anga kinaenda kufundisha u pilot wa Drones hiyo pesa ya ada ndogo subiri watu waende hii awamu kama inayofuata soko likilipuka kama usipolipa ada milioni kumi husomi ndipo kichwa chako kitakukaa vizuri

The Medical Drone Delivery Pilot​

Tafuta kwanza hela unaweza kusoma hata nje ya nchi.
 
Chuo cha Usafiri wa Anga Tanzania kitatoa mafunzo ya urushaji wa ndege zisizo na rubani (Drones) kwa muda wa wiki nne kuanzia Januari 4, 2021. Mwombaji awe na umri kuanzia miaka 21, awe amemaliza kidato cha nne au zaidi, ajue kusoma na kuandika Kiingereza. Ada ni TZS 1,980,000.

View attachment 1653607
View attachment 1653608
Yaani kurusha tu ndo iwe gharama yote hiyo? A mere UAV platform flying ndo kuwe na gharama zote hizo? Kwanza kurusha huko ni kwa ajili ya kupata nini, kusafirisha mizingo, UAV photogrammerty, au kuchukua picha kwa ajili ya waandishi wa habari? Gharama hii inacover data processing and analysis pia? Nje na hapo hii ina ukakasi!
 
Chuo cha Usafiri wa Anga Tanzania kitatoa mafunzo ya urushaji wa ndege zisizo na rubani (Drones) kwa muda wa wiki nne kuanzia Januari 4, 2021. Mwombaji awe na umri kuanzia miaka 21, awe amemaliza kidato cha nne au zaidi, ajue kusoma na kuandika Kiingereza. Ada ni TZS 1,980,000.

View attachment 1653607
View attachment 1653608

Gharama ya kusoma kwa wiki nne ni zaidi ya ada ya mwaka mzima ya shahada ya awali Chuo kikuu cha Dar es salaam ama Dodoma ama Sokoine
 
Chuo cha Usafiri wa Anga Tanzania kitatoa mafunzo ya urushaji wa ndege zisizo na rubani (Drones) kwa muda wa wiki nne kuanzia Januari 4, 2021. Mwombaji awe na umri kuanzia miaka 21, awe amemaliza kidato cha nne au zaidi, ajue kusoma na kuandika Kiingereza. Ada ni TZS 1,980,000.

View attachment 1653607
View attachment 1653608
Maendeleo Haya Chana au nasema huongo ndugu zangu
 
Back
Top Bottom