mtanzania in exile
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 1,379
- 1,276
1.
Hivi kurusha aina yeyote ile tanzania ni lazima upate mafunzo na leseni? Yaani nazungumzia drone zile simple tu unarusha zina camera unarikodi na kupiga picha nazo pia unataka leseni? Maana mimi najua kurusha hizi na nimejifunza kwa rafiki yangu tu na hata haikuchukua zaidi ya saa moja kuweza kuweza kuirusha! Huku kwa mama msuka nywele hata watoto wadogo tu wanazirusha bila leseni wala age restrictions.
2.
Hivi drone za kubeba mizigo ziko nyingi Tanzania? ni makampuni mangapi wanamililki na yanatumia drone kusafirisha mizigo yao? Maana naona bei ya masomo ni kubwa mno kiasi kwamba kama mtu ana pesa zote hizo na hana hope ya kupata kazi baada ya kujifunza naona ni bora mtu achukue pesa hizo akatafute shamba japo la kukodi apige kazi kuliko kununua karatasi tu.
Hivi kurusha aina yeyote ile tanzania ni lazima upate mafunzo na leseni? Yaani nazungumzia drone zile simple tu unarusha zina camera unarikodi na kupiga picha nazo pia unataka leseni? Maana mimi najua kurusha hizi na nimejifunza kwa rafiki yangu tu na hata haikuchukua zaidi ya saa moja kuweza kuweza kuirusha! Huku kwa mama msuka nywele hata watoto wadogo tu wanazirusha bila leseni wala age restrictions.
2.
Hivi drone za kubeba mizigo ziko nyingi Tanzania? ni makampuni mangapi wanamililki na yanatumia drone kusafirisha mizigo yao? Maana naona bei ya masomo ni kubwa mno kiasi kwamba kama mtu ana pesa zote hizo na hana hope ya kupata kazi baada ya kujifunza naona ni bora mtu achukue pesa hizo akatafute shamba japo la kukodi apige kazi kuliko kununua karatasi tu.