Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Kuwe direct usiogope kwanza chuo chenyewe cha vip yaani? Madrasa au hizi elimu za kawaidaKapeleleze ukikuta hayako niambie uko wapi ili nije unijeruhi vibaya au hata Unimalize kabisa Pumzi yangu sawa?
Lisemwalo...Yana ukweli haya ?
Madereva Wawili Kuendesha Gari ( Lori ) kwa pamoja huku Wakipokezana Kutia Gia ili liende na lifike salama Mombasa au Tanga au hata Lamu.Mh dhambi kuu isiyondeza Mungu ni dhambi gani 😄 🤣
Hapana kwa vile eneo ya chuo linaonyesha wasomi wengi itakuwa sio watanzania na wale jamaa hatwaki kuchangamana na watu nina hakika...kingekuwa mashuhuri sana hiko chuo maan nimeuliza mashekhe kibao wanasema hawakijui kinawezekana kipo bongo ila wale jamaa waarabu wanaishi ndani na ushuani hawatoki njeLisemwalo...
Great Thinker gani Mzito wa Kuelewa?Kuwe direct usiogope kwanza chuo chenyewe cha vip yaani? Madrasa au hizi elimu za kawaida
Hapa kwenye kiongozi mstaafu ni Mh Jakaya ndio aliyesema "Ukitaka kula sharti uliwe"Codes ni nyepesi mnooo yaan mnooo.
Kuhusu suala la ushoga hakuna kiongozi atakae thubutuu kutangaza wazi wazi kuwa ni illegal hapa nchini, hata aje mafia kiasi gani hawezi kamweee.
Nafikiri waanze kurekebisha vifungu vya sheria ktk katiba, na pia kwenye suala la haki za binadamu wakatafakari kwa kina kipi waishi nacho, pia misaada na mikopo je masharti yake ni sahihi kwa mustakabali wa nchi.
Kuna kiongozi mstaafu aliwahi sema "ukitaka kula sharti uliwe"
Mwenye masikio na asikie, mwenye macho na aone.
Khalhaghabhao. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
AstakafulahMadereva Wawili Kuendesha Gari ( Lori ) kwa pamoja huku Wakipokezana Kutia Gia ili liende na lifike salama Mombasa au Tanga au hata Lamu.
Unaficha nn sasa? Nina maana usitafune maneno hao wazamini wa serikalini wanaosapot basi ni uongo na porojoGreat Thinker gani Mzito wa Kuelewa?
Kwa taarifa yako tu ni kwamba Mtanzania Muhimu anajua kila linaloendelea ila hana la kusema kwakuwa nae ana Maslahi Makubwa na Tajiri mwenye Taasisi husika akitokea Falme za Kiarabu ( UAE )Hapana kwa vile eneo ya chuo linaonyesha wasomi wengi itakuwa sio watanzania na wale jamaa hatwaki kuchangamana na watu nina hakika...kingekuwa mashuhuri sana hiko chuo maan nimeuliza mashekhe kibao wanasema hawakijui kinawezekana kipo bongo ila wale jamaa waarabu wanaishi ndani na ushuani hawatoki nje
Porojo tu na chuki hakuna kiongozi anahusika kama maovu yao ni kivyaoGreat Thinker gani Mzito wa Kuelewa?
Great Thinker gani Mzito wa Kuelewa?Unaficha nn sasa? Nina maana usitafune maneno hao wazamini wa serikalini wanaosapot basi ni uongo na porojo
Unashindwa kuelewa wanaosoma hapo wakina Nan? Unaruka ruka ni wale wakishua hizo jamii za kiarabu au wabongo maana ndo wanasoma ndani hawataki kuchangamana .Kwa taarifa yako tu ni kwamba Mtanzania Muhimu anajua kila linaloendelea ila hana la kusema kwakuwa nae ana Maslahi Makubwa na Tajiri mwenye Taasisi husika akitokea Falme za Kiarabu ( UAE )
Mwanaume gani unakuwa muoga kunlock hapo ?Great Thinker gani Mzito wa Kuelewa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Madereva Wawili Kuendesha Gari ( Lori ) kwa pamoja huku Wakipokezana Kutia Gia ili liende na lifike salama Mombasa au Tanga au hata Lamu.
Ww nawe huelewi au unajitoa ufahamu.Mh dhambi kuu isiyondeza Mungu ni dhambi gani 😄 🤣
Mie sijui km ndo alisema yeyeHapa kwenye kiongozi mstaafu ni Mh Jakaya ndio aliyesema "Ukitaka kula sharti uliwe"
Mwanzo sikuelewa now nimeelewWw nawe huelewi au unajitoa ufahamu.