Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
🤣🤣🤣Hiko chuo ni wale watu wa nje tu nafikiria wao kwa wao wanaishi maeneo kama kisutu ,posta ,mbezi wale wabinafsi ibada zao ni ndaniKama ni mashia hakuna cha kushangaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Hiko chuo ni wale watu wa nje tu nafikiria wao kwa wao wanaishi maeneo kama kisutu ,posta ,mbezi wale wabinafsi ibada zao ni ndaniKama ni mashia hakuna cha kushangaa.
Hopeless na kwa Taarifa yako tu sasa naishi Jirani na hicho Chuo ( Taasisi husika ) na najua yanayoendelea hapo na sijakosea popote.Porojo tu na chuki hakuna kiongozi anahusika kama maovu yao ni kivyao
Great Thinker gani Mzito wa Kuelewa?Mwanaume gani unakuwa muoga kunlock hapo ?
Mara umesikia mara hivi? Tukuelewe vip?Hopeless na kwa Taarifa yako tu sasa naishi Jirani na hicho Chuo ( Taasisi husika ) na najua yanayoendelea hapo na sijakosea popote.
Leo tukiwa eneo la Tukio tulishangaa kuona Wakazi eneo hilo pamoja na Madereva Bodaboda wakifurahia huku Wakiimba kwa Sauti....Gashoma......Gashoma.......Gashoma Wengine Wakirusha Mawe kwa Wanafunzi wa hiyo Taasisi ambao wote walivalia Misuli tupu.
Swali wanaosoma hapo kama ulienda kuwaona ni jirani zako ni wakina Nan? jamii gani mbona simple tu hatubishani wala sipingi kama wanafanya ushoga ni juu yao ishu ni wao kwa wao au Kuna wanafunzi hawa weusi?Great Thinker gani Mzito wa Kuelewa?
Vipi na Wewe unatenda hiyo Dhambi ( kama Wao ) inayomkwaza mno Mwenyezi Mungu?Mara umesikia mara hivi? Tukuelewe vip?
Swali najua hautojibu je wanaosoma hapo ni jamii gani hawa wausi wenzetu au ni wao kwa wao hao waarabu?
Si unasema umawaona wanafunzi! Punguza porojo kabisa danganya watoto
Inaanza na olewaoMh dhambi kuu isiyondeza Mungu ni dhambi gani 😄 🤣
Wanasema hata zikigoma wao hawana mashambaMvua ziendelee Kugoma Kunyesha Mkoani Dar es Salaam wakati Mikoa mingine yote zinanyesha sana tu.
Nafuata dini siwezi kufanya dhambi hata ya kuchepuka yaani, kulewaa, kula nguruwe, kudhulumu, kusapot ushoga ,kuiba ,kumsengenya mtu bora nimwambia ,sifanyi umbea maana ni kujifananisha na mwanamke ,uzushi ,kugombanisha watu , kuabudu masanamu ,kumshirikisha Mugu ...Yote hayo sifanyi kama imani na Mila zangu.Vipi na Wewe unatenda hiyo Dhambi ( kama Wao ) inayomkwaza mno Mwenyezi Mungu?
Yeye alishaliwa? Za kuambiwa achanganya na zakeKuna kiongozi mstaafu aliwahi sema "ukitaka kula sharti uliwe"
Umeona eeh! Hayo ndo maswali nipo na mashekhe hapa hawakijui kabisa yaani🤣🤣🤣labda wanasoma waarabu peke yaoChuo kimeanzishwa lini? Hao investor kutoka UAE waliingia lini? Chini ya utawala wa nani? Wanaosoma hapo ni jamii gani?
Yule kwa intelijensia ya haraka ni askari ya zenjiVIP askari anae trend wakimsodomize je kuna hbr gani bwan popoma
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Alisemea Bungeni nadhani wakati ule spika alikuwa SittaMie sijui km ndo alisema yeye
Ila nakumbuka hayo maneno.
Hilo sasa waambie wanao hangaika na masuala hayoo, nilikua nawapa muongozoo tyuuh.Yeye alishaliwa? Za kuambiwa achanganya na zake
Ndyoo ni askari wa Zanzibar.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yule kwa intelijensia ya haraka ni askari ya zenji
Oooh basi sawaahAlisemea Bungeni nadhani wakati ule spika alikuwa Sitta