Chuo fulani Kilichoungua leo kina Kashfa Nzito, ila Kinalindwa na Mtanzania Muhimu sana

Chuo fulani Kilichoungua leo kina Kashfa Nzito, ila Kinalindwa na Mtanzania Muhimu sana

Porojo tu na chuki hakuna kiongozi anahusika kama maovu yao ni kivyao
Hopeless na kwa Taarifa yako tu sasa naishi Jirani na hicho Chuo ( Taasisi husika ) na najua yanayoendelea hapo na sijakosea popote.

Leo tukiwa eneo la Tukio tulishangaa kuona Wakazi eneo hilo pamoja na Madereva Bodaboda wakifurahia huku Wakiimba kwa Sauti....Gashoma......Gashoma.......Gashoma Wengine Wakirusha Mawe kwa Wanafunzi wa hiyo Taasisi ambao wote walivalia Misuli tupu.
 
Hopeless na kwa Taarifa yako tu sasa naishi Jirani na hicho Chuo ( Taasisi husika ) na najua yanayoendelea hapo na sijakosea popote.

Leo tukiwa eneo la Tukio tulishangaa kuona Wakazi eneo hilo pamoja na Madereva Bodaboda wakifurahia huku Wakiimba kwa Sauti....Gashoma......Gashoma.......Gashoma Wengine Wakirusha Mawe kwa Wanafunzi wa hiyo Taasisi ambao wote walivalia Misuli tupu.
Mara umesikia mara hivi? Tukuelewe vip?

Swali najua hautojibu je wanaosoma hapo ni jamii gani hawa wausi wenzetu au ni wao kwa wao hao waarabu?

Si unasema umawaona wanafunzi! Punguza porojo kabisa danganya watoto
 
Great Thinker gani Mzito wa Kuelewa?
Swali wanaosoma hapo kama ulienda kuwaona ni jirani zako ni wakina Nan? jamii gani mbona simple tu hatubishani wala sipingi kama wanafanya ushoga ni juu yao ishu ni wao kwa wao au Kuna wanafunzi hawa weusi?
 
Mara umesikia mara hivi? Tukuelewe vip?

Swali najua hautojibu je wanaosoma hapo ni jamii gani hawa wausi wenzetu au ni wao kwa wao hao waarabu?

Si unasema umawaona wanafunzi! Punguza porojo kabisa danganya watoto
Vipi na Wewe unatenda hiyo Dhambi ( kama Wao ) inayomkwaza mno Mwenyezi Mungu?
 
Vipi na Wewe unatenda hiyo Dhambi ( kama Wao ) inayomkwaza mno Mwenyezi Mungu?
Nafuata dini siwezi kufanya dhambi hata ya kuchepuka yaani, kulewaa, kula nguruwe, kudhulumu, kusapot ushoga ,kuiba ,kumsengenya mtu bora nimwambia ,sifanyi umbea maana ni kujifananisha na mwanamke ,uzushi ,kugombanisha watu , kuabudu masanamu ,kumshirikisha Mugu ...Yote hayo sifanyi kama imani na Mila zangu.

Swali wanaosoma hapo wakina Nan? Maana nataka kufanya intelijensia kidogo!

Yaani si majirani zako niambie wanaofungiwa ndani hapo ni wakina Nan?

Maana Nina list ya shule zilizoungua za kiislamu nyingi hivi karibuni nafikiria wengi ni mashahidi zile zote zinasoma watanzania weusi kwa sana ila sijasikia hyo kashfa unayosema .
 
Chuo kimeanzishwa lini? Hao investor kutoka UAE waliingia lini? Chini ya utawala wa nani? Wanaosoma hapo ni jamii gani?
 
Chuo kimeanzishwa lini? Hao investor kutoka UAE waliingia lini? Chini ya utawala wa nani? Wanaosoma hapo ni jamii gani?
Umeona eeh! Hayo ndo maswali nipo na mashekhe hapa hawakijui kabisa yaani🤣🤣🤣labda wanasoma waarabu peke yao
 
Back
Top Bottom