Chuo fulani Kilichoungua leo kina Kashfa Nzito, ila Kinalindwa na Mtanzania Muhimu sana

Chuo fulani Kilichoungua leo kina Kashfa Nzito, ila Kinalindwa na Mtanzania Muhimu sana

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wallah umeishiwaa sasa, umetoka kwenye hoja ya serikali, umehamia kwenye Dini.

Huku kwenye Dini, ndo wala siwezagi kuzungumzia, kwanza ikiingizwa hoja ya Dini hapo hapo nakata convoy, mie sio mfuasi au mtumwa wa imani za kuletewa.

Am out!!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeeeh

Kweli wewe empty head ,wapi kuna hoja ya udini? Acha kuwa papai.
 
Kwani kwa Kuandika Kwangu juu ya hiki Chuo ( tena kwa Kujiamini kabisa ) Kwako Wewe sijatoa Ushirkiano? Miswahili bhana.....!!!!!!
Miswahili, hongera we mzungu, vizuri ungesema nilivyoandika hapa wataona tu, ulivyojibu Kama ugomvi.
 
Back
Top Bottom