Chuo fulani Kilichoungua leo kina Kashfa Nzito, ila Kinalindwa na Mtanzania Muhimu sana

Chuo fulani Kilichoungua leo kina Kashfa Nzito, ila Kinalindwa na Mtanzania Muhimu sana

Kwa ujumla Serikali imehalalisha mapenzi ya jinsia moja. tuacheni kulialia kwenye mitandao ni muda wakuchukua hatua.
Hapo wamesema bila kupepesa " Serikali itaheshimu mikataba yote ya kimataifa inayohusu haki za binadamu" kumbe Kuna mikataba tayari!
Swali ni Serikali ipo kwaajili ya Nani? Iweje waamue mambo makubwa hivi bila kuwashirikisha wananchi? ( Bunge) ni muda sasa wakuanzisha maandamano ya amani kupinga huu ufedhuri.
Hii misaada inayodharirisha na kuondoa utu wetu tunaulazima gani nayo?
[emoji24]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bila misaada na mikopoo unaona nchi yako inaweza hata kulisha wananchi wake kwa week?? Unataka watu wafee njaaa??

Kila mtu apambane na familia yake isiwepo ktk jambo hili.
Hizi kelele kwa keyboard hazisaidii.
 
Mkuu tatizo Serikali yetu inaonyeshe imeruhusu ushoga kimya kimya.
Haitusaidii kupiga kelele humu. Tutoke kwa nguvu moja tupigie kelele hili jambo hali ni mbaya sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hakuna mwenye ubavu huo, mbaki kulia lia kwa keyboard tyuuh ndo faraja yenu ilobakiii.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hopeless na kwa Taarifa yako tu sasa naishi Jirani na hicho Chuo ( Taasisi husika ) na najua yanayoendelea hapo na sijakosea popote.

Leo tukiwa eneo la Tukio tulishangaa kuona Wakazi eneo hilo pamoja na Madereva Bodaboda wakifurahia huku Wakiimba kwa Sauti....Gashoma......Gashoma.......Gashoma Wengine Wakirusha Mawe kwa Wanafunzi wa hiyo Taasisi ambao wote walivalia Misuli tupu.
Kuna shule Moshi gazeti la nipashe waliandika usodoma wa pale juzijuzi tu, serikali walituma watu, wakaenda kuchunguza na bado wanaendelea na uchunguzi, na pia Kuna namba wamezitoa wamesema Kama Kuna taasisi, mashuleni mavyuoni, Kuna maswala ya ovyo yanatendeka mtu atoe ushirikiano, mi niliscreenshort namba ninazo nikupe utoe ushirikiano .
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bila misaada na mikopoo unaona nchi yako inaweza hata kulisha wananchi wake kwa week?? Unataka watu wafee njaaa??

Kila mtu apambane na familia yake isiwepo ktk jambo hili.
Hizi kelele kwa keyboard hazisaidii.
Mawazo km haya ndio chanzo Cha wanaume waliowengi kubanduliwa.
Mwanaume kamili ni yule mwenye uwezo wa kupambana na mazingira ktk hali yoyote.
anaejitegemea na sio omba omba.
 
Kwa ujumla Serikali imehalalisha mapenzi ya jinsia moja. tuacheni kulialia kwenye mitandao ni muda wakuchukua hatua.
Hapo wamesema bila kupepesa " Serikali itaheshimu mikataba yote ya kimataifa inayohusu haki za binadamu" kumbe Kuna mikataba tayari!
Swali ni Serikali ipo kwaajili ya Nani? Iweje waamue mambo makubwa hivi bila kuwashirikisha wananchi? ( Bunge) ni muda sasa wakuanzisha maandamano ya amani kupinga huu ufedhuri.
Hii misaada inayodharirisha na kuondoa utu wetu tunaulazima gani nayo?
[emoji24]

Naona upo tayari kununua madawa na chanzo mnazopewa bure huku mkifurahia,mabeberu wamewashika pabaya kwa sababu ya umasikini na sera mbovu za serikali yenu.
 
Mkuu napingana sana na sera zinazoturudisha utumwani.
Rest in power Magufuli
Naona upo tayari kununua madawa na chanzo mnazopewa bure huku mkifurahia,mabeberu wamewashika pabaya kwa sababu ya umasikini na sera mbovu za serikali yenu.
 
Mawazo km haya ndio chanzo Cha wanaume waliowengi kubanduliwa.
Mwanaume kamili ni yule mwenye uwezo wa kupambana na mazingira ktk hali yoyote.
anaejitegemea na sio omba omba.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa nchi yako huo uwezo haina. Bila mikopo na misaada bado.
 
Mkuu napingana sana na sera zinazoturudisha utumwani.
Rest in power Magufuli
Sasa huu waraka si ulitoka wakati wa Magufuli??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu napingana sana na sera zinazoturudisha utumwani.
Rest in power Magufuli

Kidogo jpm alikua na ujasiri ila huyu aliyepo na genge lake,hao wanajua pesa tu mambo ya nchi hangwikeni nayo wenyewe.
 
Kuna shule Moshi gazeti la nipashe waliandika usodoma wa pale juzijuzi tu, serikali walituma watu, wakaenda kuchunguza na bado wanaendelea na uchunguzi, na pia Kuna namba wamezitoa wamesema Kama Kuna taasisi, mashuleni mavyuoni, Kuna maswala ya ovyo yanatendeka mtu atoe ushirikiano, mi niliscreenshort namba ninazo nikupe utoe ushirikiano .
Kwani kwa Kuandika Kwangu juu ya hiki Chuo ( tena kwa Kujiamini kabisa ) Kwako Wewe sijatoa Ushirkiano? Miswahili bhana.....!!!!!!
 
Mh dhambi kuu isiyondeza Mungu ni dhambi gani [emoji1] [emoji1787]
Hakuna dhambi kuu na ndogo. Wala hakuna mioto ya dhambi tofauti tofauti.

Nataka kusema. Uzinzi umeachwa uonekane wa kawaida kuliko hiyo dhambi kuu. Ila nakuapia hakuna jambo limeua kizazi hiki kama zinaa.

Imeandikwa aziniye na mwanamke hana Akili kabisa. Tena yeye afanya jambo linalomwangamiza nafsi yake. Vijana wangapi wamekufa kwa ajili ya zinaa na kupoteza malengo? Jibu ni hawahesabiki.

Yeyote anaye-classify dhambi hii ndogo, hii ya wastani hii kubwa. ANAJILAANI MWENYEWE maana anahalalisha dhambi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmiliki wa Jengo hilo ( aliyewapangisha Wahanga wa Moto Mkubwa uliotokea ) ni Mzee Mwamba, ila anayekisimamia kwa sasa ni Mkewe Profesa Mwamba wa Chuo Kikuu fulani ambaye pia ni Rafiki wa Karibu mno na Mtanzania Muhimu ambaye hivi Karibuni tu amemfanya kuwa ni Mmoja wa Washauri wake Wakuu na kumpa Wadhifa fulani.

GENTAMYCINE niendelee Kuwapongeza Wabunge wa nchini Uganda kwa kuja na Muswada Maalum kuwa Watu wenye Mapenzi ya Jinsia Moja ( hasa Wanaume ) waitwao Mashoga wawe Wanafungwa Maisha au Wananyongwa kabisa.

Huwezi kufanya Jambo Baya au Kuyachafua Maandiko ya Mwenyezi Mungu halafu Laana yake isikupate na asikushushia Mabalaa makubwa ili kukupa Ujumbe kuwa unachokifanya ni kibaya japo unajifanya ni Mcha Mungu hasa.

Na Mtanzania Muhimu sana anawalinda wenye Chuo / Taasisi kwakuwa ni Yeye ndiyo amewakaribisha nchini halafu ni Mwenzao Kiimani na anakula nao kwani Taasisi hiyo iko nyuma ya Tajiri fulani Umoja wa Falme za Kiarabu ambaye yuko mbioni kuja Kuwekeza nchini Tanzania hasa katika Mkoa wa Dar es Salaam na kwamba tayari ameshajipatia maeneo mengi ( Ardhi ) nchini ili aendelee na Miradi yake huku akieneza Michezo michafu kwa Vijana na Wanaume wa Dini yao.
Pia wewe Gentamycine, unajua dhambi ya kwanza kabisa kutendwa Tangu Dunia kuumbwa na dhambi ya mwisho itakayoondolewa baada ya yote kupita ni ipi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna dhambi kuu na ndogo. Wala hakuna mioto ya dhambi tofauti tofauti.

Nataka kusema. Uzinzi umeachwa uonekane wa kawaida kuliko hiyo dhambi kuu. Ila nakuapia hakuna jambo limeua kizazi hiki kama zinaa.

Imeandikwa aziniye na mwanamke hana Akili kabisa. Tena yeye afanya jambo linalomwangamiza nafsi yake. Vijana wangapi wamekufa kwa ajili ya zinaa na kupoteza malengo? Jibu ni hawahesabiki.

Yeyote anaye-classify dhambi hii ndogo, hii ya wastani hii kubwa. ANAJILAANI MWENYEWE maana anahalalisha dhambi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna dhambi kuu na ndogo. Wala hakuna mioto ya dhambi tofauti tofauti.

Nataka kusema. Uzinzi umeachwa uonekane wa kawaida kuliko hiyo dhambi kuu. Ila nakuapia hakuna jambo limeua kizazi hiki kama zinaa.

Imeandikwa aziniye na mwanamke hana Akili kabisa. Tena yeye afanya jambo linalomwangamiza nafsi yake. Vijana wangapi wamekufa kwa ajili ya zinaa na kupoteza malengo? Jibu ni hawahesabiki.

Yeyote anaye-classify dhambi hii ndogo, hii ya wastani hii kubwa. ANAJILAANI MWENYEWE maana anahalalisha dhambi. .
 
Sina mda wa kukujibu povuuu lakoooo. Hizi kelele za kwa keyboard tumeshazoea.

Muambie rais wako atamke hadharani kuwa "ushoga ni marufuku hapa nchini na ukikutwa na hatia hiyo adhabu ni hii na hii"

Hizo propaganda za majukwaani hazina tija yoyote

Nakuambatanisha na barua hii hapa chini isome kwa umakini, ukimaliza lia taratibu na ufute machozi, afu kunywa maji mengi poleeeeeee sanaaaa,

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2534503
Naona wanakaza medula. Wamuulize Balozi Mulamula kilichomfuta kazi Ya Kusimamia sera ya mambo ya nje ya nchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom