Chuo fulani Kilichoungua leo kina Kashfa Nzito, ila Kinalindwa na Mtanzania Muhimu sana

Chuo fulani Kilichoungua leo kina Kashfa Nzito, ila Kinalindwa na Mtanzania Muhimu sana

Unanipa pole ya nini mimi? Nafikiri ungejipa mwenyewe ,kitendo cha kupakuliwa siyo mchezo.

Nyie endeleeni michezo yenu maana mpo wengi ,anakusalimia huyu [emoji116]
View attachment 2534721
Ulishawahi kupakuliwa wee, hadi uone sio mchezo??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], wenzako wanafurahia na wana enjoy, maumivu unayasikia wee inahuuu???

Poleeeee babaaaa, relaaaaaaaaaxxxxx.

Ushoga na mashogaaaa vipo sanaaaaa.
 
Hahaha anaudhi sana huyo mtoto ,kuna mdau mmoja alisema tunamlaumu mtoto wa mona kujitangaza shoga na kumkemea while humu ndani wapo MANGAPULILA halafu tunawachekea.

Aaache kutetea ushoga ,kama yeye ni shoga na anajikubali alivyo atulie tu aendelee kuzagamuliwa kimya kimya na siyo kufanya promotion humu halafu tuendelee kumchekea.
Sasa unaweza kubadilisha chochoteeee??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umevurugwaaaa?? Una stress?? Poleeeee sanaaa.

Mie ndo nipoo na nitatetea ushogaa 4rever, na huwezi fanya chochoteeee.

Wapiiiii mzee wa povuuuuu, huyu hapa
King Kong III
 
Sasa unaweza kubadilisha chochoteeee??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umevurugwaaaa?? Una stress?? Poleeeee sanaaa.

Mie ndo nipoo na nitatetea ushogaa 4rever, na huwezi fanya chochoteeee.

Wapiiiii mzee wa povuuuuu, huyu hapa
King Kong III
QUOTE.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tenaaa haswaaaaah!!! Yes ts.
Sasa mbna tabu unayoo wee??? Vipi kwemaaaaaa???
Kwema ,sina tabu yeyote hili ni jukwaa huru,tunashare mitazamo kwenye hoja,tunabishana kwa hoja! kila kitu kina pros and cons ,sasa unaangalia kwenye UGASHO/U-NGAPULILA je una faida gani kwenye jamii? Museven kasema ataruhusu ugasho/ungapu endapo akiwafungia ndani magasho na wakapata mtoto.
 
Sina mda wa kukujibu povuuu lakoooo. Hizi kelele za kwa keyboard tumeshazoea.

Muambie rais wako atamke hadharani kuwa "ushoga ni marufuku hapa nchini na ukikutwa na hatia hiyo adhabu ni hii na hii"

Hizo propaganda za majukwaani hazina tija yoyote

Nakuambatanisha na barua hii hapa chini isome kwa umakini, ukimaliza lia taratibu na ufute machozi, afu kunywa maji mengi poleeeeeee sanaaaa,

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2534503
Sina mbavu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dear hawa watu nawapatia dosage kulingana na homa zao.
Ndio nilikua nafatilia convos hapa dear, naona baada ya ile barua kuiweka hapa, wamekua wapole na sasa gia imebadilika imekua ya askari wa Zenji [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwema ,sina tabu yeyote hili ni jukwaa huru,tunashare mitazamo kwenye hoja,tunabishana kwa hoja! kila kitu kina pros and cons ,sasa unaangalia kwenye UGASHO/U-NGAPULILA je una faida gani kwenye jamii? Museven kasema ataruhusu ugasho/ungapu endapo akiwafungia ndani magasho na wakapata mtoto.
Huo utu uzima wako na akili zako timamu Una amini hizi propaganda za mu7 na Ruto?? Really??

Kwa Africa mashariki hakuna nchi yenye ubavu wa kupinga na kukataa ushoga, ila viongozi wanacheza na akili za wananchi wao.

Halafu ukishajua hili ni jukwaa huru na tunabishana kwa hoja, basi kila mtu atoe hoja na mtazamo wake, sio kupangiana.

Mie nikitetea ushoga, na wee ukipinga tatizo nn?? Lakini wee unataka eti na mie nipinge wakati sio matakwa yangu. Kila mtu acheze side yakee, upo hapo mzee baba!!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndio nilikua nafatilia convos hapa dear, naona baada ya ile barua kuiweka hapa, wamekua wapole na sasa gia imebadilika imekua ya askari wa Zenji [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan hawa keyboard warriors nawajulia vyediii, wakilipukaa mie nawazima tyuuh chap kwa harakaaa.

Hawanisumbuiii hata.
 
Huo utu uzima wako na akili zako timamu Una amini hizi propaganda za mu7 na Ruto?? Really??

Kwa Africa mashariki hakuna nchi yenye ubavu wa kupinga na kukataa ushoga, ila viongozi wanacheza na akili za wananchi wao.

Halafu ukishajua hili ni jukwaa huru na tunabishana kwa hoja, basi kila mtu atoe hoja na mtazamo wake, sio kupangiana.

Mie nikitetea ushoga, na wee ukipinga tatizo nn?? Lakini wee unataka eti na mie nipinge wakati sio matakwa yangu. Kila mtu acheze side yakee, upo hapo mzee baba!!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Museveni na Ruto wametamka hadharani ,sasa ulitaka wafanyaje ndiyo ujue wanapinga? Kutinduliwa "Sphincter" unaona ni sawa na unatetea? Ungekuwa unatetea halafu hautinduliwi ningekubali mtizamo wako ila tatizo lako unataka na wengine watinduliwe kama wewe hapo ndipo tunapopingana.

Lini Tanzania ilipokea Msaada kutoka kwa LGBT/wazungu ili wasupport ushoga?
 
Kwahiyo wewe hauna dhambi?
Haonwatu ndiyo aliowazungumzia Yesu kwenye Bible na kuwaita mafarisayo. Mafarisayo ni watu wanafiki ambao wanafanana na makaburi yaliyowekwa marumaru na kupakwa rangi yanavutia ukiyaangalia ila ndani yamejaa mifupa na uchafu.

Wazee wa kujihesbaia Hali,huyu Hana jipya anafanya,anarudia yaleyale ya kwenye maandiko.
Accumen Mo
 
Museveni na Ruto wametamka hadharani ,sasa ulitaka wafanyaje ndiyo ujue wanapinga? Kutinduliwa "Sphincter" unaona ni sawa na unatetea? Ungekuwa unatetea halafu hautinduliwi ningekubali mtizamo wako ila tatizo lako unataka na wengine watinduliwe kama wewe hapo ndipo tunapopingana.

Lini Tanzania ilipokea Msaada kutoka kwa LGBT/wazungu ili wasupport ushoga?
Wee baba ni kwamba huna uelewa au ndo kupovukwa kwako hata huoni nn Una andika??

Kwahiyo shoga akitetea ushoga haitakiwi, ila asiye shoga akitetea ushoga ni sawaa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee umevurugwaaa.

Nchi yako inapokea misaada na mikopo ikiwa na masharti, ndani ya hayo masharti kuna haki za binadamu, ambapo ushoga na mashoga wako ndani yake.

Ndo maana nlikuambia huu waraka hapa chini usome kwa makini, na utafakari, hebu tumia logic bas nawee, mbna unajishusha hivyooo.

Soma hapa chini huu warakaaa.
JamiiForums-460527473.jpg
 
Back
Top Bottom