Chuo fulani Kilichoungua leo kina Kashfa Nzito, ila Kinalindwa na Mtanzania Muhimu sana

Chuo fulani Kilichoungua leo kina Kashfa Nzito, ila Kinalindwa na Mtanzania Muhimu sana

Wee baba ni kwamba huna uelewa au ndo kupovukwa kwako hata huoni nn Una andika??

Kwahiyo shoga akitetea ushoga haitakiwi, ila asiye shoga akitetea ushoga ni sawaa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee umevurugwaaa.

Nchi yako inapokea misaada na mikopo ikiwa na masharti, ndani ya hayo masharti kuna haki za binadamu, ambapo ushoga na mashoga wako ndani yake.

Ndo maana nlikuambia huu waraka hapa chini usome kwa makini, na utafakari, hebu tumia logic bas nawee, mbna unajishusha hivyooo.

Soma hapa chini huu warakaaa.View attachment 2540747

Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un.

 
Umeona eeh! Hayo ndo maswali nipo na mashekhe hapa hawakijui kabisa yaani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]labda wanasoma waarabu peke yao
Kama haupo na mashekhe wa Kilungule haya mambo ya Mwezi Beach kwao ni hadithi ya kufikirika.
 
Codes ni nyepesi mnooo yaan mnooo.

Kuhusu suala la ushoga hakuna kiongozi atakae thubutuu kutangaza wazi wazi kuwa ni illegal hapa nchini, hata aje mafia kiasi gani hawezi kamweee.

Nafikiri waanze kurekebisha vifungu vya sheria ktk katiba, na pia kwenye suala la haki za binadamu wakatafakari kwa kina kipi waishi nacho, pia misaada na mikopo je masharti yake ni sahihi kwa mustakabali wa nchi.

Kuna kiongozi mstaafu aliwahi sema "ukitaka kula sharti uliwe"

Mwenye masikio na asikie, mwenye macho na aone.

Khalhaghabhao. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mkuu Ruto na Museveni wameweka wazi sisi tunashindwa vipi?
 
Huo utu uzima wako na akili zako timamu Una amini hizi propaganda za mu7 na Ruto?? Really??

Kwa Africa mashariki hakuna nchi yenye ubavu wa kupinga na kukataa ushoga, ila viongozi wanacheza na akili za wananchi wao.

Halafu ukishajua hili ni jukwaa huru na tunabishana kwa hoja, basi kila mtu atoe hoja na mtazamo wake, sio kupangiana.

Mie nikitetea ushoga, na wee ukipinga tatizo nn?? Lakini wee unataka eti na mie nipinge wakati sio matakwa yangu. Kila mtu acheze side yakee, upo hapo mzee baba!!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kweli kabisa,kama wazinzi wanavyofanya uzinzi wao wakiwa huru ikiwemo huyo anayepinga ushoga,shida nini kama mashoga wakiamua kushogana wao kwa wao kwa raha zao?yeye anateseka na nini mashoga yakishogana?mbona hateseki na uzinzi wake?mana ushoga na uzinzi ni kitu kile kile matundu na vikojoleo ni vile vile tu wahuni wanateleza.
 
Kwahiyo kati ya chura na nguruwe bora nini??kwani nguruwe alimfanya nini mtume wenu?mana mnavyomchukia mkuu wa meza hadi mnatia huruma.
Hata yesu alitupia mapepo kwa nguruwe ila wewe wafuate waitaly na waingereza tu ...maana ndo Miungu yako!
 
Wee baba ni kwamba huna uelewa au ndo kupovukwa kwako hata huoni nn Una andika??

Kwahiyo shoga akitetea ushoga haitakiwi, ila asiye shoga akitetea ushoga ni sawaa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee umevurugwaaa.

Nchi yako inapokea misaada na mikopo ikiwa na masharti, ndani ya hayo masharti kuna haki za binadamu, ambapo ushoga na mashoga wako ndani yake.

Ndo maana nlikuambia huu waraka hapa chini usome kwa makini, na utafakari, hebu tumia logic bas nawee, mbna unajishusha hivyooo.

Soma hapa chini huu warakaaa.View attachment 2540747

Wengi ni wapuuzi tu wanaishi kwa mihemuko na hofu,eti ushoga ni kinyume na maadili maadili gani wakati hakuna hata mmoja mkamilifu wanasahau kuwa hakuna dhambi ndogo mbele za muumba.

Watu waache inafiki hao ambao wanajidai kupinga ushoga ndio kutwa wanaongoza na kusifia kula tigo za wanawake weo,nawakumbusha kinyeo ni kinyeo tu kiwe kwa demu ama man.
 
Hata yesu alitupia mapepo kwa nguruwe ila wewe wafuate waitaly na waingereza tu ...maana ndo Miungu yako!

Jibu swali,halafu kumbe unamuamini na kumfuata Yesu mwana waMungu aliye hai,ila shida majini yamekujaa,uje ukanyage mafuta mapepo yakutoke uipate nuru ya kweli.

Narudia tena kati ya chura na nguruwe utakula kipi?
 
Jibu swali,halafu kumbe unamuamini na kumfuata Yesu mwana waMungu aliye hai,ila shida majini yamekujaa,uje ukanyage mafuta mapepo yakutoke uipate nuru ya kweli.

Narudia tena kati ya chura na nguruwe utakula kipi?
Swali lip? Leta nikujibu


Yesu mwenyewe 👇👇
 

Attachments

  • 332731991_177868558284376_7804335462042706687_n.mp4
    20.4 MB
More than Serious. Nimewahi kuishi Mtaa wa Pili tu nyuma ya hicho Chuo ( Taasisi hiyo ) na bado nina Ndugu zangu wanaishi Jirani na Jengo hilo nyumba Jirani na aliyekuwa Chief Secretary Balozi Ombeni Sefue.

Na bahati nzuri Jana wakati wa Tukio nilikuwa hapo hapo kwa Ndugu zangu na nikabahatika Kuzungumza na Wajumbe Wawili ambao kama nilivyothibitishwa na Mlinzi Mmoja, Mfanyakazi wa humo ndani na Wao pia wakaniambia hivyo hivyo juu ya hivyo Vitendo Vichafu.

Hatahivyo wamejitahidi Kulalamika na Kuripoti kwa Mamlaka lakini walichoambiwa ni kuwa Mtanzania Muhimu anawajua, ndiyo Kawakaribisha Tanzania na anafaidika na Tajiri mwenye hiyo Taasisi ya Kiislamu nae pia akiwa ni Mwenzao Kiimani.

Nimemaliza.
Duh
 
Ulishawahi kupakuliwa wee, hadi uone sio mchezo??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], wenzako wanafurahia na wana enjoy, maumivu unayasikia wee inahuuu???

Poleeeee babaaaa, relaaaaaaaaaxxxxx.

Ushoga na mashogaaaa vipo sanaaaaa.
Dah wewe ni Bwabwa kweli sio kwa kujibu hivi
 
Sina mda wa kukujibu povuuu lakoooo. Hizi kelele za kwa keyboard tumeshazoea.

Muambie rais wako atamke hadharani kuwa "ushoga ni marufuku hapa nchini na ukikutwa na hatia hiyo adhabu ni hii na hii"

Hizo propaganda za majukwaani hazina tija yoyote

Nakuambatanisha na barua hii hapa chini isome kwa umakini, ukimaliza lia taratibu na ufute machozi, afu kunywa maji mengi poleeeeeee sanaaaa,

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2534503
Kwa ujumla Serikali imehalalisha mapenzi ya jinsia moja. tuacheni kulialia kwenye mitandao ni muda wakuchukua hatua.
Hapo wamesema bila kupepesa " Serikali itaheshimu mikataba yote ya kimataifa inayohusu haki za binadamu" kumbe Kuna mikataba tayari!
Swali ni Serikali ipo kwaajili ya Nani? Iweje waamue mambo makubwa hivi bila kuwashirikisha wananchi? ( Bunge) ni muda sasa wakuanzisha maandamano ya amani kupinga huu ufedhuri.
Hii misaada inayodharirisha na kuondoa utu wetu tunaulazima gani nayo?
😭
 
Kwema ,sina tabu yeyote hili ni jukwaa huru,tunashare mitazamo kwenye hoja,tunabishana kwa hoja! kila kitu kina pros and cons ,sasa unaangalia kwenye UGASHO/U-NGAPULILA je una faida gani kwenye jamii? Museven kasema ataruhusu ugasho/ungapu endapo akiwafungia ndani magasho na wakapata mtoto.
Mkuu tatizo Serikali yetu inaonyeshe imeruhusu ushoga kimya kimya.
Haitusaidii kupiga kelele humu. Tutoke kwa nguvu moja tupigie kelele hili jambo hali ni mbaya sana
 
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wallah umeishiwaa sasa, umetoka kwenye hoja ya serikali, umehamia kwenye Dini.

Huku kwenye Dini, ndo wala siwezagi kuzungumzia, kwanza ikiingizwa hoja ya Dini hapo hapo nakata convoy, mie sio mfuasi au mtumwa wa imani za kuletewa.

Am out!!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeeeh
 
Mkuu Ruto na Museveni wameweka wazi sisi tunashindwa vipi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan kwa akili zako unawaamini hao Watu?? Wanacheza na akili za wananchi wao. Kuwa makinii.
 
Kweli kabisa,kama wazinzi wanavyofanya uzinzi wao wakiwa huru ikiwemo huyo anayepinga ushoga,shida nini kama mashoga wakiamua kushogana wao kwa wao kwa raha zao?yeye anateseka na nini mashoga yakishogana?mbona hateseki na uzinzi wake?mana ushoga na uzinzi ni kitu kile kile matundu na vikojoleo ni vile vile tu wahuni wanateleza.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hawa keyboard warriors mie mbna hawanisumbui, nawapa makavu yao wakalilie huko nje
 
Wengi ni wapuuzi tu wanaishi kwa mihemuko na hofu,eti ushoga ni kinyume na maadili maadili gani wakati hakuna hata mmoja mkamilifu wanasahau kuwa hakuna dhambi ndogo mbele za muumba.

Watu waache inafiki hao ambao wanajidai kupinga ushoga ndio kutwa wanaongoza na kusifia kula tigo za wanawake weo,nawakumbusha kinyeo ni kinyeo tu kiwe kwa demu ama man.
Kwanza wanao pinga ushoga wengi ni bisexuals, huwezi kuta straight akauzungumzia, kwan hata hana mda wa kuufatilia.

Ila bisexuals sasa wako bitter balaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom