Chuo fulani Kilichoungua leo kina Kashfa Nzito, ila Kinalindwa na Mtanzania Muhimu sana

Chuo fulani Kilichoungua leo kina Kashfa Nzito, ila Kinalindwa na Mtanzania Muhimu sana

Shart kubwa la mikopo ni kuheshimu na kulinda haki za binadamu ikiwapo watu wa lbgtq tofauti na hapo hupewi mkopo,ndiomana serikali ya sa100 watabaki kubwabwaja tu wala hawata weza kuweka sheria dhidi ya vitendo hivyo,watabaki kutoa ushauri tu na itaishia hivyo mana hawana ujarisi wowote wala uhalali wa kupiga marufuku vitendo hivyo.
Hana analojua huyoo achana nae, ana hemkwa pasipo taka povuuu, anaumiaa ndani kwa ndani na hana cha kubalidilishaa.

Wanalia kwa keyboard had kamasi, wakirudi uraiani wanafuta chozi life lina endelea km kawaaa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Vifungu gani vya sheria vinahalalisha ushoga? Kwa Tz ushoga hauruhusiwi ,wewe endelea kupakuliwa gizani na tabia za kigasho ukiziweka wazi lazima udakwe na manjagu...Kama kusambaza picha tu za ngono hairuhusiwi vipi kuhusu ujitangaze unapakuliwa?


Mh Rais ameshaweka wazi hayo maadili ya kishenzi yabaki hukohuko kwao(majuu) kama kuiga tuige mambo mazuri tu ,kitendo cha Mh SSh kutamka hayo ni wazi kama hakubaliani ,unavyosema anatamka majukwaani hivi ulitaka akatamkie chumbani?

Mikopo tunayokopa haina masharti ya kwamba lazima usupport ushoga ,wana vigezo vyao vingine na ndio maana tunalipa madeni...Tunakopa hadi china je na wao wanatuambia tu support ushoga?

Acheni ujinga kama mnafanya ufirauni wenu wa kupakuliwa ,fanyeni gizani huko huko na si kututangazia na kushabikiashabikia.

Cc: Bushmamy
Huyu rafiki yako kila mahali mnakutana, akipita kona hii nawewe umo, hadi kitaelewaka mwaka huu
 
Mmmh nasikitikaga sana kusikia jambo fulani kisha kuambiwa kiongozi serikalini anajua,au taasisi ya kidini inahusika.Hizi taasisi zinazokuja kwa mwamvuli wa dini zichunguzwe.
 
Mi nimeongea nimeishia ondolewa access ya uzi
 
Sina mda wa kukujibu povuuu lakoooo. Hizi kelele za kwa keyboard tumeshazoea.

Muambie rais wako atamke hadharani kuwa "ushoga ni marufuku hapa nchini na ukikutwa na hatia hiyo adhabu ni hii na hii"

Hizo propaganda za majukwaani hazina tija yoyote

Nakuambatanisha na barua hii hapa chini isome kwa umakini, ukimaliza lia taratibu na ufute machozi, afu kunywa maji mengi poleeeeeee sanaaaa,

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2534503

Unanipa pole ya nini mimi? Nafikiri ungejipa mwenyewe ,kitendo cha kupakuliwa siyo mchezo.

Nyie endeleeni michezo yenu maana mpo wengi ,anakusalimia huyu 👇
ZNZ.jpg
 
Nafuata dini siwezi kufanya dhambi hata ya kuchepuka yaani, kulewaa, kula nguruwe, kudhulumu, kusapot ushoga ,kuiba ,kumsengenya mtu bora nimwambia ,sifanyi umbea maana ni kujifananisha na mwanamke ,uzushi ,kugombanisha watu , kuabudu masanamu ,kumshirikisha Mugu ...Yote hayo sifanyi kama imani na Mila zangu.

Swali wanaosoma hapo wakina Nan? Maana nataka kufanya intelijensia kidogo!

Yaani si majirani zako niambie wanaofungiwa ndani hapo ni wakina Nan?

Maana Nina list ya shule zilizoungua za kiislamu nyingi hivi karibuni nafikiria wengi ni mashahidi zile zote zinasoma watanzania weusi kwa sana ila sijasikia hyo kashfa unayosema .
Kwahiyo wewe hauna dhambi?
 
King Kong III wewe ndo wa kuanzisha ligi humu Jf, Acha hizo bana, Id yako ya heshima sana humu Mr.

Hahaha anaudhi sana huyo mtoto ,kuna mdau mmoja alisema tunamlaumu mtoto wa mona kujitangaza shoga na kumkemea while humu ndani wapo MANGAPULILA halafu tunawachekea.

Aaache kutetea ushoga ,kama yeye ni shoga na anajikubali alivyo atulie tu aendelee kuzagamuliwa kimya kimya na siyo kufanya promotion humu halafu tuendelee kumchekea.
 
Mmiliki wa Jengo hilo ( aliyewapangisha Wahanga wa Moto Mkubwa uliotokea ) ni Mzee Mwamba, ila anayekisimamia kwa sasa ni Mkewe Profesa Mwamba wa Chuo Kikuu fulani ambaye pia ni Rafiki wa Karibu mno na Mtanzania Muhimu ambaye hivi Karibuni tu amemfanya kuwa ni Mmoja wa Washauri wake Wakuu na kumpa Wadhifa fulani.

GENTAMYCINE niendelee Kuwapongeza Wabunge wa nchini Uganda kwa kuja na Muswada Maalum kuwa Watu wenye Mapenzi ya Jinsia Moja ( hasa Wanaume ) waitwao Mashoga wawe Wanafungwa Maisha au Wananyongwa kabisa.

Huwezi kufanya Jambo Baya au Kuyachafua Maandiko ya Mwenyezi Mungu halafu Laana yake isikupate na asikushushia Mabalaa makubwa ili kukupa Ujumbe kuwa unachokifanya ni kibaya japo unajifanya ni Mcha Mungu hasa.

Na Mtanzania Muhimu sana anawalinda wenye Chuo / Taasisi kwakuwa ni Yeye ndiyo amewakaribisha nchini halafu ni Mwenzao Kiimani na anakula nao kwani Taasisi hiyo iko nyuma ya Tajiri fulani Umoja wa Falme za Kiarabu ambaye yuko mbioni kuja Kuwekeza nchini Tanzania hasa katika Mkoa wa Dar es Salaam na kwamba tayari ameshajipatia maeneo mengi ( Ardhi ) nchini ili aendelee na Miradi yake huku akieneza Michezo michafu kwa Vijana na Wanaume wa Dini yao.
Itakuwa na yule afande HAJJ MOHAMED IDDY wa ZANZIBAR na yeye alipitia mafunzo hapo chuoni.
Kamanda anadai chama chao wapo wengi tu hapo ZANZIBAR.
 
Back
Top Bottom