cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Hana analojua huyoo achana nae, ana hemkwa pasipo taka povuuu, anaumiaa ndani kwa ndani na hana cha kubalidilishaa.Shart kubwa la mikopo ni kuheshimu na kulinda haki za binadamu ikiwapo watu wa lbgtq tofauti na hapo hupewi mkopo,ndiomana serikali ya sa100 watabaki kubwabwaja tu wala hawata weza kuweka sheria dhidi ya vitendo hivyo,watabaki kutoa ushauri tu na itaishia hivyo mana hawana ujarisi wowote wala uhalali wa kupiga marufuku vitendo hivyo.
Wanalia kwa keyboard had kamasi, wakirudi uraiani wanafuta chozi life lina endelea km kawaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]