[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wallah umeishiwaa sasa, umetoka kwenye hoja ya serikali, umehamia kwenye Dini.
Huku kwenye Dini, ndo wala siwezagi kuzungumzia, kwanza ikiingizwa hoja ya Dini hapo hapo nakata convoy, mie sio mfuasi au mtumwa wa imani za kuletewa.
Am out!!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeeeh