Afrocentric view
JF-Expert Member
- Jun 19, 2022
- 1,374
- 2,280
- Thread starter
-
- #61
Ufaulu umeshiba, hiyo radiology ina fursa?Kama una ufaulu mzuri wa Physics,Bios na Chemistry Omba Benjamin Mkapa usome Radiology hautojuta.
Zingatia kama una ufaulu ulioshiba
IndustrialUmesoma engineering gani kama ambayo unalipwa laki tano???
Sawa, kwahyo unanishauri nisomee kipi?Acha kuwaza kimaskini rafiki. Hizo dispensali zinaingiza sh ngapi?? Kwa mwezi. Utaiba nini hapo. Kwanini unataka kutengeneza kizazi maskini maskini miaka, nenda rudi. Baba yake mmimiliki wa Facebook alikua dakitari, akamhimiza dogo asome kompyuta. Dogo ndio kaleta utajiri home. Achana na kozi za kimaskini. Think big. Ukishaajiriwa hospitalini then?????? Embu mrudie Mungu wako, uanze upya, umeshindwa hata kwenda ofisi za CCM na degree yako ya engineering
Tafuta kazi nyingine hiyohiyo engineering.Sawa, kwahyo unanishauri nisomee kipi?
Kwa kweli...Mkuu degree ya engineering unarudi kusoma diploma tena ya wito. Nini kimekukuta mpaka umekua hivyo???
Za kutosha mnahitajika sana huku mitaani..Ufaulu umeshiba, hiyo radiology ina fursa?
Ila mkuu ingependeza ueleze sababu za kuacha digrii yako urudi diploma....unaweza pata ushauri mzuri zaidi.Sawa, kwahyo unanishauri nisomee kipi?
sio rahisi kihivo mkuu,ila nkiwa na fani mbili naweza kutafuta kwa uwanja mpana zaidiTafuta kazi nyingine hiyohiyo engineering.
Unafanya kazi zipi?kwenye X-rays??Wana tofauti gani na biomedical engineering?Za kutosha mnahitajika sana huku mitaani..
Digrii sio kwamba naiacha maana nimeshagraduate na cheti kipo, ila kwakuwa fursa nmeona ni chache nimeamua kutafuta field nyingine kabisa ya afya...Hata nkigraduate afya na nkapata kazi nzuri ya engineering..Nafanya maana tayar experience ninayo.Ila mkuu ingependeza ueleze sababu za kuacha digrii yako urudi diploma....unaweza pata ushauri mzuri zaidi.
Dah hayo mambo ndo siyataki kabisa...Hivi kwanini wanafanya hivyo??Au madogo wengi wa college huwa hawajielewi?dogo siku nampeleka chuo mloganzira mixer mafagio,ndoo majembe nilicheka mnooo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
ukizingatia alikuwa anajifanya sharobaro
Nina 24. Dah! kwahyo unasema ngoma kote ngumu??sijui una umri gani ila nimesoma afyaa... hiyo laki 5 unayoikataa kuna DR analipwa mahalii tena kwa connection hao CO ndo kabisaa nashangaa pamoja na degraa yako uelewa upo chini sana
Sijui kama unaelewa,hajasema kama amekosa kazi yeye ana passion tuTafuta kazi nyingine hiyohiyo engineering.
KARIBU SANA.Nina 24. Dah! kwahyo unasema ngoma kote ngumu??
Ngoja nikupe my thought process.....
Mimi nlikuwa kwenye njiapanda, kati ya kuchukua degree nyingine (sio afya maana advance nlisoma pcm) au kwenda masters. Au kuacha kazi na kujikita kwenye kujiajiri (maana hii laki 5 ya kuajiriwa naisotea, yani sipati muda extra wa biashara).
Au kwenda China kusoma MBBS au vyuo vya scandinavia/UK/Marekani (Tatizo ada)
Au kusoma afya kuanzia diploma.
Ndo nkachagua hiyo last option maana yenyewe ndiyo atleast ina uhakika na future.
Hahahahah chuo wanaenda na mafagio dah πππdogo siku nampeleka chuo mloganzira mixer mafagio,ndoo majembe nilicheka mnooo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
ukizingatia alikuwa anajifanya sharobaro
KWANGU NINAZITUMIA ZOTE NIMEKUWA BARAKA SEHEMU YANGU YA KAZI ,NILISOMA ELECTRONICS ENGINEERING KWA MAANA HIYO VIFAA VYOTE VIKIZINGUA NIMO ,NA UDAKATRI WANGUMaisha haya asee unaforce namna hii kupata check no. While Kuna kadada kana certificate ya hali ya hewa toka kigoma kanakula M 1.5 Hapo TMA HQ....
ME NINA SWALI UNA UHAKIKA UTAZITUMIA ELIMU ZAKO ZOTE KUINGIZA HELA AU NDO MOJA ITABIDI IWE USELESS..NA HAPO COET UMEPIGWA FACULTY GN MAANA SIO KUPIGA HAPO NI KUPIGWA.
duuh noma sanaNina 24. Dah! kwahyo unasema ngoma kote ngumu??
Ngoja nikupe my thought process.....
Mimi nlikuwa kwenye njiapanda, kati ya kuchukua degree nyingine (sio afya maana advance nlisoma pcm) au kwenda masters. Au kuacha kazi na kujikita kwenye kujiajiri (maana hii laki 5 ya kuajiriwa naisotea, yani sipati muda extra wa biashara).
Au kwenda China kusoma MBBS au vyuo vya scandinavia/UK/Marekani (Tatizo ada)
Au kusoma afya kuanzia diploma.
Ndo nkachagua hiyo last option maana yenyewe ndiyo atleast ina uhakika na
Mkuu Embryology huyu hana passion ni hali ngumu tu kwenye fani yake soma vizuri mstari wa mwisho wa commeny number 74! huyu kama ameshindwa kutengeneza lemonade kutokana na lemon aliyotapa basi hato weka kutengeneza squish kutokana na chungwa analolitafuta!KARIBU SANA.
NAOMBA UNI PM