Afrocentric view
JF-Expert Member
- Jun 19, 2022
- 1,374
- 2,280
- Thread starter
-
- #81
mi machungwa na lemon sina...ila tunda passion ya afya ipo kubwa kuliko engineeringMkuu Embryology huyu hana passion ni hali ngumu tu kwenye fani yake soma vizuri mstari wa mwisho wa commeny number 74! huyu kama ameshindwa kutengeneza lemonade kutokana na lemon aliyotapa basi hato weka kutengeneza squish kutokana na chungwa analolitafuta!
hivi benjamin mkapa ndiyo ipo UDOM au?Kama una ufaulu mzuri wa Physics,Bios na Chemistry Omba Benjamin Mkapa usome Radiology hautojuta.
Zingatia kama una ufaulu ulioshiba
Kama unataka hela huku unapoteza muda wako.Nina 24. Dah! kwahyo unasema ngoma kote ngumu??
Ngoja nikupe my thought process.....
Mimi nlikuwa kwenye njiapanda, kati ya kuchukua degree nyingine (sio afya maana advance nlisoma pcm) au kwenda masters. Au kuacha kazi na kujikita kwenye kujiajiri (maana hii laki 5 ya kuajiriwa naisotea, yani sipati muda extra wa biashara).
Au kwenda China kusoma MBBS au vyuo vya scandinavia/UK/Marekani (Tatizo ada)
Au kusoma afya kuanzia diploma.
Ndo nkachagua hiyo last option maana yenyewe ndiyo atleast ina uhakika na future.
Chuo kipya nadhani kipo kwenye hospital ya Ben Mkapahivi benjamin mkapa ndiyo ipo UDOM au?
Nothing but passion.Mbona Watanzania mnaona ajabu katika hili?Ila mkuu ingependeza ueleze sababu za kuacha digrii yako urudi diploma....unaweza pata ushauri mzuri zaidi.
Mkuu hakuna ajabu nimeuliza tu mkuu..Nothing but passion.Mbona Watanzania mnaona ajabu katika hili?
kwahyo pale hakuna mambo ya kwenda na mafagio?Chuo kipya nadhani kipo kwenye hospital ya Ben Mkapa
Na college ya UDOM inaitwaje??ni ipi kati ya hivi?Chuo kipya nadhani kipo kwenye hospital ya Ben Mkapa
Nimeangalia na Muhimbili hapa hamna clinical medicine..Kuna pharmacy na nursing tuAende UDOM au Muhimbili ila awe na vigezo sio vya kubahatisha.
Kuhusu vyuo vingine hakuna fimbo wala nini shida ukisoma vyuo hivyo ni kama upo advance isiyokua na viboko ila mengine yote sawa mnabanwa vibaya.
Benjamini mkapa instute of healthNa college ya UDOM inaitwaje??ni ipi kati ya hivi?
Yeah C.O hamna muhimbiliNimeangalia na Muhimbili hapa hamna clinical medicine..Kuna pharmacy na nursing tu
Ah sawa, wapo campus ya UDOM hapohapo?Benjamini mkapa instute of health
Tofauti ipoje kozi ya diploma IKIwa under TCU na NACTE?Nilisoma Engineering nikamaliza nikaenda MD (Medicine doctor ) nikamaliza sikiliza Moyo wako.Naomba unipm uko serious ,sikiliza moyo wako hutojita
Laws imsaidie nini!!! siku hizi kuna mawakili wengi kazi hakuna sio tu za kuajiliwa na kujiajili pia. Fani imekuwa ya hovyo kabisaNenda kapige bachelor ya laws.
Acha na hizo diploma
Kwani mhandisi umekosa kabisa kazi au? Kwa sababu una background ya eng nakushauri ukasome Biomedical Engineering Diploma chuo cha DIT au Arusha Tech utapata kaziKwema wakuu,
Nina mpango wa kurudi shule ukubwani. Nimemaliza degree ya engineering UDSM ila nataka nirudi nisome diploma ya afya.
Naomba kufahamishwa Chuo gani cha serikali (Kwa dodoma na Dar) kina hizi kozi (Clinical Medicine/Phamarcy) na maisha ya chuo sio kama ya sekondari?
Yani hakuna mambo ya fimbo, adhabu, kuhesabu namba na kula kwa namba?
Wanataka ufaulu Gani apoo benjaminiKama una ufaulu mzuri wa Physics,Bios na Chemistry Omba Benjamin Mkapa usome Radiology hautojuta.
Zingatia kama una ufaulu ulioshiba
Mbona una makasiriko mkuu. Vp! UMETIBULIWA!!!HUWEZI KUJUA,MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO .USILAZIMISHE TUFANANE .
Wewe lengo lako lilikuwa kupata vyuo, hivyo fuatilia vyuo ulivyotajiwa achana na mawazo mgando ya watu walioshindwa wewe fanya kitu kulingana na uhitaji wako wa sasa hivi lakini ukisikiliza mawazo ya wengine utashindwa kutimiza ndoto zako kwa kuangalia mitazamo hasiKwema wakuu,
Nina mpango wa kurudi shule ukubwani. Nimemaliza degree ya engineering UDSM ila nataka nirudi nisome diploma ya afya.
Naomba kufahamishwa Chuo gani cha serikali (Kwa dodoma na Dar) kina hizi kozi (Clinical Medicine/Phamarcy) na maisha ya chuo sio kama ya sekondari?
Yani hakuna mambo ya fimbo, adhabu, kuhesabu namba na kula kwa namba?