Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kimetangaza nafasi 221 za ajira katika kada mbalimbali

Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kimetangaza nafasi 221 za ajira katika kada mbalimbali

Kwahyo wazeee wenzangu wa G.P.A ya 2.2 tu apply wapi
Nyie ndio nchi inawategemea, ni ma-think tank. Achana na mi-GPA ya kwenye mikaratasi, haina uhalisia katika uchapakazi, weledi na ubunifu.

Kwenye mashirika mengi makubwa hawaangalii GPA bali uchapakazi, ubunifu na weledi.

Mfano wenzetu wa Kenya, Rwanda, Zimbabwe, Nigeria (ukiacha utapeli wao)n.k wako vizuri katika general knowledge badala ya academic knowledge(na mi-GPA yetu). Ndio maana wanapata kazi zaidi yetu kwa ku-appy knowledge waliyosomea badala based on academic results-GPA.

Kwa sasa hizi English Medium Schools ndio zinawafanya watoto wetu wa-compete na wenzao katika level za kimataifa.

NAPUMZIKA KIDOGO ILI NINYWE JUICE YA UKWAJU, KARIBUNI WAJUKUU ZANGU.
 
GPA ndio mdudu gani? Unakuta vichwani hawana chochote kuhusiana na utendaji.Haya mambo ya GPA kwa wenzetu less considered, wanachoangalia ni innovations, creativity, hardworking.

Karibuni tupige chaki wandugu. Tuwaachie wale wenye GPA gentlemen watutengenezee sera, wazisimamie, watutawale na watuelekeze.

Unakuta mtu level ya profesa/phd holder wa acquatic, asali, botany, njegere, bustani n.k n.k, lakini hakuna tija.
Lakini hii haimaanishi kuwa na GPA ndogo ndio unakuwa na innovations, creativity na hardworking. Tusijidanganye, wengi wenye GPA ndogo bado hawawezi kuendana na ulimwengu wa Sasa. Unakuta mtu ana GPA ya 2.3 lakini maisha yamemchapa, hana skills za biashara, hajui job market trend, hajui skills ambazo employers wanaziitaji, yaani yupo yupo tu. Ingawa inaweza kuwa tofauti lakin graduates wengi wako hivyo.
 
Maisha Ni Vita babu .hayo Ni maisha ya kisiasa Ni akili yako na ushapu wako kungamua wapi utapata pesa kwa mbinu zozote ulitaka Nani waende bungeni

Hata hao wa bunge wa ccm wengi wako pale isivyo halali hili hawalisemi hkn mbunge pale hata tulia Yuko pale isivyo halali jaribu kulitazama hili kwa wabunge wengi jins walivyo ingia kimazabe so wakina mdee wapambane maisha Ni vita
 
Pesa muhimu, GPA siku hizi zipo kibao tena za first class. Zinapatikana kwa njia mbali mbali, by hooks and crocks.

We wa Mpitimbi huwezi kujua ya mjini, endelea kuloweka miguu kwenye ndoo.

Acha kelele mzee kila sehemu kuna criteria zake
Kama kigezo cha hiyo kazi ni GPA 3.8 acha wenye nayo waombe.

Pesa zako kanunue vitu vingine.
Unapiga kelele pesa, wenye pesa hawasemi ila sisi maskini wa kubadilisha mboga ndo tuna kelele sana [emoji23][emoji23]
 
GPA ndio mdudu gani? Unakuta vichwani hawana chochote kuhusiana na utendaji.Haya mambo ya GPA kwa wenzetu less considered, wanachoangalia ni innovations, creativity, hardworking.

Karibuni tupige chaki wandugu. Tuwaachie wale wenye GPA gentlemen watutengenezee sera, wazisimamie, watutawale na watuelekeze.

Unakuta mtu level ya profesa/phd holder wa acquatic, asali, botany, njegere, bustani n.k n.k, lakini hakuna tija.
Mkuu punguza hasira. Hata hiyo 3.8 ni hao hao wenye jentomani ndio walio ipitisha vyuo vikaanza kuifanyia kazi.
 
GPA ndio mdudu gani? Unakuta vichwani hawana chochote kuhusiana na utendaji.Haya mambo ya GPA kwa wenzetu less considered, wanachoangalia ni innovations, creativity, hardworking.

Karibuni tupige chaki wandugu. Tuwaachie wale wenye GPA gentlemen watutengenezee sera, wazisimamie, watutawale na watuelekeze.
Wale wote waliosema GPA doesn't matter walidanganya sana wenzao chuoni wakati huo.
Nafasi hizo apo sasa kama GPA haisomi ndio hivyo tena. Tujifunze kutumia nafasi tunazokutana nazo maishani na sio kudanganyana kwa mob psychology
 
Sa
Wale wote waliosema GPA doesn't matter walidanganya sana wenzao chuoni wakati huo.
Nafasi hizo apo sasa kama GPA haisomi ndio hivyo tena. Tujifunze kutumia nafasi tunazokutana nazo maishani na sio kudanganyana kwa mob psychology
Kweli kabisa, hamna lisilo na faida
 
Lakini hii haimaanishi kuwa na GPA ndogo ndio unakuwa na innovations, creativity na hardworking. Tusijidanganye, wengi wenye GPA ndogo bado hawawezi kuendana na ulimwengu wa Sasa. Unakuta mtu ana GPA ya 2.3 lakini maisha yamemchapa, hana skills za biashara, hajui job market trend, hajui skills ambazo employers wanaziitaji, yaani yupo yupo tu. Ingawa inaweza kuwa tofauti lakin graduates wengi wako hivyo.
Fanya ulinganisho katika maisha halisi.Waliosoma kwa kufaulu sana na wale pass ya kawaida nani wametoboa/wametusua kimaisha katika level tofauti?

Vipanga wengi wa kukariri principals, definitions, fomulars n.k wapo vyuoni wanapiga chaki. Ni ma-academicians wa kuwaelimisha ma-gentlemen pass watarajiwa wakatusue life.

Gentlemen pass majority (few vipanga)ndio wapo huko kwenye sera, ujasiriamali na siasa. Na ndio wapo vizuri kiuchumi.

We kariri tu hiyo mi-GPA yako mikubwa kwenye mikaratasi isiyo na uhalisia katika maisha ya mitaani.
 
Acha kelele mzee kila sehemu kuna criteria zake
Kama kigezo cha hiyo kazi ni GPA 3.8 acha wenye nayo waombe.

Pesa zako kanunue vitu vingine.
Unapiga kelele pesa, wenye pesa hawasemi ila sisi maskini wa kubadilisha mboga ndo tuna kelele sana [emoji23][emoji23]
Hahahaaa, na ajira zinaangalia vigezo vingi sio hiyo GPA yako ya mchongo ya 4.3 isiyo na uhalisia wa utendaji kazi.

Secretariti ya ajira kwenye interview vingi vinaangaliwa sana.
 
Wale wote waliosema GPA doesn't matter walidanganya sana wenzao chuoni wakati huo.
Nafasi hizo apo sasa kama GPA haisomi ndio hivyo tena. Tujifunze kutumia nafasi tunazokutana nazo maishani na sio kudanganyana kwa mob psychology
Endelea kukariri tu. Wenzako mliosoma nao miaka hiyo kapata 2.4 sasa hivi wako vizuri wakati wewe wa 4.7 bado maluwiluwi. Ukikutana naye unakunja mkia chini kama mbwa kaona chatu.
 
Back
Top Bottom