Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kimetangaza nafasi 221 za ajira katika kada mbalimbali

Hakuna utafiti unaothibitisha Hilo but on average wengi waliokwenye position nzuri ni wenye GPA kubwa.

Hapo juu nimekupa tu mfano, academicians wote wa vyuoni ni wenye GPA kubwa meaning ukiwa tu GPA ndogo hauwezi kupata iyo kazi.

Huko katika siasa, Sera na ujasilimali Kuna watu wenye GPA kubwa pia. Waangalie watu Kama Selemani Jafo, Vunja Bei, Joel Nanauka, Jokate Mwigelo, Tulia Akson, wakina Prof kabudi, wakina kitila Mkumbo, na wengine weeengi ni watu waliofanya vizuri darasani, wewe unajidanganya kuwa ukipata GPA ndogo unaenda kuwa mtunga Sera, huo utafiti umeufanya wapi? ipi Mifano yako.
 
Chuo cha kibaguzi sana hiki lazima ufahamiane na mtu
Utumishi wamesitisha.

Hiki chuo kuna ubaguzi mkali sana na kujuana

Kudadeki
Yaani kazi watu hata hawaja apply ila nafasi zishajazwa
 

Attachments

  • EE0575A4-508C-493F-875E-1F7D30B6A68B.png
    42.7 KB · Views: 19
Yani Bora hata waziri jenista alivyoingilia Kati saihili zifanyike kila mkoa dodoma jau
Kwani utekelezaji unaanza lini...? Maana tunasikia tu Kila mkoa na bado tunaona vijna wenzetu wanaangaika na mabasi kwenda huko Dom...
Wekeni taarifa kamili hii issue ni lini inaanza.. watu washachoka mambo ya dodoma jamani
 
Utumishi wamesitisha.

Hiki chuo kuna ubaguzi mkali sana na kujuana

Kudadeki
Yaani kazi watu hata hawaja apply ila nafasi zishajazwa
Me nadhani hiyo sio sababu, itakuwa Kuna Jambo jengine tu.

Huwenda wanataka kutoa nafasi za tutorial assistants kwa wingi maana lile tangazo la awali ilikuwa wanataka assistant lecturers na lecturers kwa wingi.

Nahisi hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…