A
Anonymous
Guest
Takriban wahitimu 20 wa chuo kikuu Cha Dodoma (UDOM) kitivo Cha Elimu tuliohitimu mwaka wa masomo 2019-2020 hatujapatiwa vyeti vya kuhitimu
Tumefatilia wanasema changamoto ni matokeo ya mwaka wa kwanza yaani 2017-2018 kuwa baadhi yetu walipata incomplete baadhi ya masomo na we gine Carry, but kiuhalisia matokeo yalikuwa mazuri na hayakuwa na hiyo changamoto ndio maana tuliweza kuendelea na mwaka wa pili hadi kumaliza mwaka wa tatu
Maana kwamba kutokana na Sheria na taratibu za chuo, kama mtu alipata incomplete means ame discontinue na haendelei na mwaka unaofatia lakini kwetu haikuwa hivyo na SR kipindi hicho ilionesha tumefaulu ndio maana tukaendelea na mwaka wa pili
Huu sasa ni mwaka wa nne tangu kumaliza chuo na hatujui hatima yetu
Mwaka huu mwezi wa 2 walituambia matokeo ya semister ya kwaza kwa hawa waliopo chuoni yakitoka watatatua na hiyo changamoto lakini hadi leo hakuna kilichotatuliwa maana nilienda wakaangalia wakasema bado shida ni Ile Ile
Sasa hivi nafasi za ajira zilizotangazwa siwezi kuomba sababu sina vyeti, lakini pia familia inaona ninaidanganya labda nilifeli Ila sitaki kusema ukweli
Kingine nilisomeshwa na loan board na Nina deni, Ila mpaka sasa sijui nalipa vipi kama tu cheti cha taaluma sijapata mwaka wa nne sasa
Nakuomba nisaidiwe hili kuli address ili lipatiwe ufumbuzi maana JamiiForums imekuwa msaada na mkombozi wetu katika changamoto nyingi
Asantee
Majibu ya UDOM ~ UDOM: Wanaodai hawajapata vyetu tangu 2020 waje watuone, inawezekana system imewasana labda walifanya udanganyifu
Tumefatilia wanasema changamoto ni matokeo ya mwaka wa kwanza yaani 2017-2018 kuwa baadhi yetu walipata incomplete baadhi ya masomo na we gine Carry, but kiuhalisia matokeo yalikuwa mazuri na hayakuwa na hiyo changamoto ndio maana tuliweza kuendelea na mwaka wa pili hadi kumaliza mwaka wa tatu
Maana kwamba kutokana na Sheria na taratibu za chuo, kama mtu alipata incomplete means ame discontinue na haendelei na mwaka unaofatia lakini kwetu haikuwa hivyo na SR kipindi hicho ilionesha tumefaulu ndio maana tukaendelea na mwaka wa pili
Huu sasa ni mwaka wa nne tangu kumaliza chuo na hatujui hatima yetu
Mwaka huu mwezi wa 2 walituambia matokeo ya semister ya kwaza kwa hawa waliopo chuoni yakitoka watatatua na hiyo changamoto lakini hadi leo hakuna kilichotatuliwa maana nilienda wakaangalia wakasema bado shida ni Ile Ile
Sasa hivi nafasi za ajira zilizotangazwa siwezi kuomba sababu sina vyeti, lakini pia familia inaona ninaidanganya labda nilifeli Ila sitaki kusema ukweli
Kingine nilisomeshwa na loan board na Nina deni, Ila mpaka sasa sijui nalipa vipi kama tu cheti cha taaluma sijapata mwaka wa nne sasa
Nakuomba nisaidiwe hili kuli address ili lipatiwe ufumbuzi maana JamiiForums imekuwa msaada na mkombozi wetu katika changamoto nyingi
Asantee
Majibu ya UDOM ~ UDOM: Wanaodai hawajapata vyetu tangu 2020 waje watuone, inawezekana system imewasana labda walifanya udanganyifu