Chuo Kikuu cha Waislamu Morogoro chatuhumiwa kutoa adhabu ya viboko kwa wanachuo

Kijana wangu anavyopenda ngumi! Nafikiri video clip ingekuwa na heading tofauti, mhadhiri achezea vitasa tokea Kwa mwanachuo!
Ingekuwa tuko polisi tukihangaikia dhamana!

Haina tofauti na Ile kesi ya afisa elimu kata sijui tarafa kuchapa walimu viboko! Kwa kuchelewa darasani
 
Ndio Ni mtoto
nyie ndio mnalea nyumbani mijitu mizima ya miaka 35 unaliita mtoto?

msitucheleweshee maendeleo, kijana wa miaka 22 - 26 wanasukuma life ki utuuzima alafu unamuita mtoto. Eboo!
 
Hapo huvai mlegezo, kapero, jeans za kuchana na upuuzi mwingine. Ni utaratibu uliopo, kama mtu hataki aende kwenye vyuo vingine! Hakuna anaelazimishwa kufauata maadili ya watu waliojipangia! Na hiyo ndio inaleta tofauti ya chuo hicho na vingine!
 
Hapo huvai mlegezo, kapero, jeans za kuchana na upuuzi mwingine. Ni utaratibu kama mtu hataki aende kwenye vyuo vingine! Hakuna anaelazimishwa kufauata maadili ya watu waliojipangia! Ni hiyo ndio inaleta tofauti ya chuo hicho na vingine!
Utofauti huletwa kwa kupika wataalamu na sio mavazi wanayozaa, acheni uzwazwa. Hiko chuo ndio maana kila siku Cha mwisho, Hakuna mwenye akili aliyefaulu vizuri atasoma hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…