Tofauti gan sasa? Upuuzi tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapo huvai mlegezo, kapero, jeans za kuchana na upuuzi mwingine. Ni utaratibu uliopo, kama mtu hataki aende kwenye vyuo vingine! Hakuna anaelazimishwa kufauata maadili ya watu waliojipangia! Na hiyo ndio inaleta tofauti ya chuo hicho na vingine!
[emoji3][emoji3][emoji3]nipo Hulu mbele,Nilitaka niku tag [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka kwa nguvu mnooo.unaweza kukuta dean wa hapo ni mzee wetu Mohamed Said au hata mama la mama Faiza
Misha za kuchapana bakora sio poa kabisaNilitaka niku tag [emoji23][emoji23][emoji23]
UDSM hakuna vilaza mbna lecturers watakua wanapishana Sewa haji pale Muhimbili. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii sheria itumike udsm, mzumbe etseteraa
Ova
Comment zinachekesha hatari[emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka kwa nguvu mnooo.
Halafu huwa anauchuna.Anadhani hawakumbuki aliowacharaza.😂😂😂😂Majaliwa pia alitandika waalimu walevi enzi hizo.
Umemalizaaaaaah.Hicho chuo sidhani kama utakuta watu wenye vyeti vilivyo nyooka, mtu ufaulu vizuri ukasome MUM? Chuo hovyo, wahadhiri hovyo na wanafunzi hovyo . Ni takataka united
Kwahiyo hapo MUM ndo komesho la mashoga na wasagaji? Yaan mmechanganyikiwa hadi hamjielew mnabaki kuchapa watoto wa watu bakora, khaaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]waislamu wanaakili mno.. hakuna kubembelezena kinafki kama vyuo vya kigaratia kisa unalipa ada halafu mwisho wa siku tunaongeza kizazi cha mashoga na wasagaji. iko ndiyo chuo cha kusoma.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hakuna chuo pale ni madrasa ya watu wazima..ila kuna dini zingine ni u...
Hivi hawa field zao si huenda kufanyia talebani.??
#MaendeleoHayanaChama
Twende kazi[emoji3]Kwahiyo hapo MUM ndo komesho la mashoga na wasagaji? Yaan mmechanganyikiwa hadi hamjielew mnabaki kuchapa watoto wa watu bakora, khaaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwenye akili timamu hawez somesha mtoto wake pale
Ile n madrasa sio chuo chuo gan hakijawah fanya hata tafiti moja
Hata ya Bata kwann anakunya hovyo kuliko kuku
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hiki chuo wangepelekwa vijana wa ifm na cbe campas za dar mambo yangekuwa Safi sana
Tuwaulize wakatoliki!?Unazijiua hata takwimu za maashoga na chini..mikoa ya pwani na visiwani kwenye kitovu cha dini ya haki ndio inayoongoza.
#MaendeleoHayanaChama
Nakuona nakuona[emoji3][emoji3][emoji3]nipo Hulu mbele,
Mchapane wenyewe wavaa suruali njiwaUstaadh yuko sahihi, hiki kizazi kinahitaji bakora mpaka vyuoni huko...maana hakijielewi kabisa...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Jaman nimecheka mie hadi hoi.Misha za kuchapana bakora sio poa kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan we acha tyuuhComment zinachekesha hatari[emoji3]