Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,681
- 8,887
Chuo kikuu cha Dodoma kimeanzisha mchakato wa hatua za kinidhamu na maadili kulingana na Sheria na kanuni za utumishi wa umma.
UDOM imesema mtumishi Petro Bazil alisimamishwa majukumu yake tangu Oktoba 25, 2021 hadi uchunguzi utakapokamilika. Udom imesikitishwa na usumbufu uliojitokeza.
Pia, soma=> UDOM: Wanafunzi wamkamata mkufunzi anayewapa 'Sup' ili afanye nao ngono
UDOM imesema mtumishi Petro Bazil alisimamishwa majukumu yake tangu Oktoba 25, 2021 hadi uchunguzi utakapokamilika. Udom imesikitishwa na usumbufu uliojitokeza.
Pia, soma=> UDOM: Wanafunzi wamkamata mkufunzi anayewapa 'Sup' ili afanye nao ngono