Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijajua shida ni nini? Mbona wanalipwa mpaka na madereva wa bajaji na hiace tena wanatoa mpaka kule kwa kwananiii.Wasomi mnakosea wapi?Mimi nashangaaga sana mtumishi ambaye ni kijana na sio mzee kupata msala wa ngono na mwanafunzi wake wa chuo.
Msomi mzima mwenye kazi yenye mshahara net around milion 2. Unashindwa kumtongoza binti under 25 akupe mwenyewe. Yaani huwezi kumpata binti uliyemzidi akili, pesa, umri na kila kitu mpaka umtishie kwa sup...
Chuo kikuu cha Dodoma kimeanzisha mchakato wa hatua za kinidhamu na maadili kulingana na Sheria na kanuni za utmishi wa umma.
UDOM imesema mtumishi Petro Bazil alisimamishwa majukumu yake tangu Oktoba 25, 2021 hadi uchunguzi utakapokamilika. Udom imesikitishwa na usumbufu uliojitokeza.
Pia, soma=> UDOM: Wanafunzi wamkamata mkufunzi anayewapa 'Sup' ili afanye nao ngono
View attachment 1989670
Badala ya kufanya tafiti za maana za kulipeleka taifa mbele wamekalia ulevi na ngono. Newton, Schrodinger, et. al wangewekeza kwenye hayo mambo leo ndege zingekuwa zinaruka kweli?Vyuo vingi nchini huu uhuni upo sana tu.
Vp kama kale kadent kalimwaambia mwalimu " mwalimu nakupenda sana leo usiku husipokuja gheto najiua na kuacha barua"?, jamaa ana kosa gani hapo
Marupurupu ya ualimu huwa ndo hayo ndugu..Mswahili analeta uswahili wa kipumbavu,anashindwa kutafuta michepuko kwa mshahara wake
Tangazo limewekwa hadharani kwa sababu bwana Petro nae ameonekana hadharani akiwa na Boksa tu sasa lazima chuo kitoe tamko la ufafanuzi kulinda image yakeMkuu Replica salam kwako. Hivi huyu Petro Bazil si bado ni mtuhumiwa? Mbona hili tangazo limewekwa hadharani? Anyway, labda uongozi wa UDOM umefumbia macho taratibu (Steps) za kinidhamu ILI kufikisha ujumbe Mzito kwa Wakufunzi au kuwafanya wanafunzi husika wasiendelee kuongea yale ambayo hawataki jamii kwa ujumla iyasikie.
Ahsante