Mimi nashangaaga sana mtumishi ambaye ni kijana na sio mzee kupata msala wa ngono na mwanafunzi wake wa chuo.
Msomi mzima mwenye kazi yenye mshahara net around milion 2. Unashindwa kumtongoza binti under 25 akupe mwenyewe. Yaani huwezi kumpata binti uliyemzidi akili, pesa, umri na kila kitu mpaka umtishie kwa sup.
Wasomi mnakwama wapi kwenye kutongoza.
Mbona mishen town wa mtaani wanawala sana hao mabinti,, ama hata wafanyakazi wenye kazi zenye mshahara mdogo kama wafanyakazi wa kwenye branch za ma benk wanawala sana hao watoto bure.
Msomi mzima ,,,,,Yaani college girl huwezi kucheza na saikolojia yake mpaka akupe mwenyewe na bonus akupe kama akufulie na nguo na kukupikia