Chuo Kikuu Dodoma (UDOM) chamsimamisha Mhadhiri kwa tuhuma za ngono

Chuo Kikuu Dodoma (UDOM) chamsimamisha Mhadhiri kwa tuhuma za ngono

bado kuna chuo cha kata pale dodoma kinaitwa Mioango, hiki kuna kila aina za ushenzi na upuuzi mwingi unaofanywa na hawa wakufunzi,

wanafunzi wanaliwa sana, rushwa kwa sana, na ubambikiaji wa sup upo mwingi sana, yaan pale kufelishwa ni rahisi kama sisimizi kupenya kwenye tundu la sindano....

serkali ifanye kitu
 
Hawa Watoto wakike hawasomagi vyuoni narudia hawasomagi
Sa mnategemea nini nahisi nimeeeleweka.
 
Back
Top Bottom