Hiyo kozi ya foundation hua inachukia muda GANI??OUT wanatoa vyeti ngazi ya Astashahada; Stashahada; Shahada; Shahada ya Uzamili; Shahada ya Uzamivu.
Pia ni chuo pekee nchini walioruhusiwa kuendesha kozi ya Foundation kwa wasio na vigezo vya kujiunga na vyuo vikuu.
Masomo yanatolewa kwa njia ya teknolojia ya habari na mawasiliano. Wanafunzi na wahadhiri wao wanakutana kupitia 'Zoom meeting'.
Ubora wa wahitimu ni wa kiwango kizuri sababu wanao uwezo kufanya kazi kwa njia ya tehama.
Asante
Foundation course inaanza wakati wowote au Kuna muda maalum?? Ni kipindi gani Cha mwaka?Mkuuu neda kwanza utapiga foundation course mwaka mmoja kisha ukifaulu utakuwa na sifa ya kujiunga na chuo chochote kwa kuangalia TCU guide book hivyo kama unataka kuendelea kusoma open utasajiliwa kwa kutuma maombi kisha TCU wakivarify kua ulikua huna sifa na umepinga foundation unakua na sifa moja kwa moja utachakuguliwa na kuanza kupiga bacherol yako
Hii haiwezi kuwa facultyHivi kuna Faculty ya Procurement pale au Pablic relation mwenye kujua anijuze tafadhali
Diploma inachukua miaka mingapi??Ndiyo mkuu unasoma,
Pia inamuwezesha mtu kusoma masomo ya mbali (Distance learning) kwahiyo kwa yeyote mwenye sifa anaweza kusoma.
So mchezoSamahani, Faculty ya Financial in education inatolewa hapo?
Sidhani km kinachukuliwa powa, ni mtazamo wa baadhi tuu. Kinaheshimika vizuri tuu.Hapa ndani tunakichukulia poa ila ukiwa nje ya mipaka ya Tanzania ni chuo chenye sifa na heshima kubwa sana
Taasisi ya Elimu ya Watu WazimaHivi kwa hapa Tanzania Kuna chuo gani kingine kinatoa course kwa mfumo wa distance learning? Zaidi ya OUT? Nna ndoto za kuendelea kusoma lkn sio kwa OUT Tena.
Tembelea hapa www.out.ac.tzNa je wanafundisha tourism na vipi kuhusu political science?
Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
Zipo kinondoni BiafraDar es Salaam ofisi zao zipo wapi kwa anaefahamu humu anisaidie,
Pia Kama Kuna contact zao nisaidiwe hapa niwatafute moja kwa moja
Yaani kwa wale wa foundation wakishamaliza kwa ajili ya kujiunga na chuo kikuu wanakuwa considered kwenye bodi ya mikopo?Ukiwa OUT kwa mda huo hutopata mkopo.
Seems like umeshaajiriwa.
Umefanya jambo jema sana kwa uzi huu. Ubarikiwe. Niruhusu niulize;Huu uzi unaweza usifikishe hata comment 5 huu mwaka