Chuo Kikuu Mzumbe mmetumia vigezo gani kumtunukuku Rais Samia Shahada ya Udaktari wa Heshima katika Uongozi?

Chuo Kikuu Mzumbe mmetumia vigezo gani kumtunukuku Rais Samia Shahada ya Udaktari wa Heshima katika Uongozi?

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
1. Katika historia ya Tanzania, hakuna kipindi ambacho demokrasia imekanyagwa kama kipindi hiki cha Rais samia. Dunia ya leo base kubwa ya uogozi bora inapimwa na demokrasia katika utawala husika

2. Haki za binadamu zimmekanyagwa kuliko kipindi chochote kila hata kuzidi kipindi cha mtangulizi wake

3. Rushwa imekithiri kuliko kipindi chochote kile katika historia ya taifa hili

4. Mauaji, utekaji, upotezwaji watu etc etc, vimeweka rekodi ya juu kuzidi hata mtagulizi wake

5. Yanayondelea katika chaguzi za sasa ambayo by necessary implication, yanaonekana yana baraka zake ni tosha kum disqualify kutopata heshima mliyompa!

Sasa Udakrari wa heshima ya UONGOZI aliyopewa rais , mmetumia vigezo gani kumpa heshima hiyo?

Pia soma - Chuo Kikuu Mzumbe chamtunukia Rais Samia Shahada ya Udaktari wa Heshima katika Uongozi
 
1. Katika historia ya tanzania, hakuna kipindi ambacho demokrasia imekanyagwa kama kipindi hiki cha Rais samia. Dunia ya leo base kubwa ya uogozi bora inapimwa na demokrasia katika utawala husika

2. Haki za binadamu zimmekanyagwa kuliko kipindi chochote kila hta kuzidi kipindic ha mtangulizi wake

3. Rushwa imekithiri kuliko kipindi chochote kile katika historia ya taifa hili

4. Mauaji, utekaji, upotezwaji watu etc etc...... vimeweka rekodi ya juu kuzidi hata mtagulizi wake

5. Yanayondelea katika chaguzi za sasa ni tosha kum disqualify kutopata heshima mliyompa! ambayo by necessary implication yanaonekana yana baraka zake

Sasa Udakrari wa heshima ya UONGOZI aliyopewa rais , mmetumia vigezo gani kumpa heshima hiyo?
Kulinda teuzi...seneti ya chuo ni wakala wa ccm so kutoa gawio kwa boss ni jambo la kiungwana.
 
1. Katika historia ya tanzania, hakuna kipindi ambacho demokrasia imekanyagwa kama kipindi hiki cha Rais samia. Dunia ya leo base kubwa ya uogozi bora inapimwa na demokrasia katika utawala husika

2. Haki za binadamu zimmekanyagwa kuliko kipindi chochote kila hta kuzidi kipindic ha mtangulizi wake

3. Rushwa imekithiri kuliko kipindi chochote kile katika historia ya taifa hili

4. Mauaji, utekaji, upotezwaji watu etc etc...... vimeweka rekodi ya juu kuzidi hata mtagulizi wake

5. Yanayondelea katika chaguzi za sasa ni tosha kum disqualify kutopata heshima mliyompa! ambayo by necessary implication yanaonekana yana baraka zake

Sasa Udakrari wa heshima ya UONGOZI aliyopewa rais , mmetumia vigezo gani kumpa heshima hiyo?
Uchawa tu and nothing more else
 
1. Katika historia ya tanzania, hakuna kipindi ambacho demokrasia imekanyagwa kama kipindi hiki cha Rais samia. Dunia ya leo base kubwa ya uogozi bora inapimwa na demokrasia katika utawala husika

2. Haki za binadamu zimmekanyagwa kuliko kipindi chochote kila hta kuzidi kipindic ha mtangulizi wake

3. Rushwa imekithiri kuliko kipindi chochote kile katika historia ya taifa hili

4. Mauaji, utekaji, upotezwaji watu etc etc...... vimeweka rekodi ya juu kuzidi hata mtagulizi wake

5. Yanayondelea katika chaguzi za sasa ni tosha kum disqualify kutopata heshima mliyompa! ambayo by necessary implication yanaonekana yana baraka zake

Sasa Udakrari wa heshima ya UONGOZI aliyopewa rais , mmetumia vigezo gani kumpa heshima hiyo?
Iit was a bad mistake kupenyeza siasa kwenye mifumo ya elimu. Itatu cost sana kama taifa
 
1. Katika historia ya tanzania, hakuna kipindi ambacho demokrasia imekanyagwa kama kipindi hiki cha Rais samia. Dunia ya leo base kubwa ya uogozi bora inapimwa na demokrasia katika utawala husika

2. Haki za binadamu zimmekanyagwa kuliko kipindi chochote kila hta kuzidi kipindic ha mtangulizi wake

3. Rushwa imekithiri kuliko kipindi chochote kile katika historia ya taifa hili

4. Mauaji, utekaji, upotezwaji watu etc etc, vimeweka rekodi ya juu kuzidi hata mtagulizi wake

5. Yanayondelea katika chaguzi za sasa ambayo by necessary implication, yanaonekana yana baraka zake ni tosha kum disqualify kutopata heshima mliyompa!

Sasa Udakrari wa heshima ya UONGOZI aliyopewa rais , mmetumia vigezo gani kumpa heshima hiyo?

Pia soma - Chuo Kikuu Mzumbe chamtunukia Rais Samia Shahada ya Udaktari wa Heshima katika Uongozi
ni kujikomba tu
hawana lolote
mkiona kama Taifa mmefikia hatua hii basi tena!
 
1. Katika historia ya tanzania, hakuna kipindi ambacho demokrasia imekanyagwa kama kipindi hiki cha Rais samia. Dunia ya leo base kubwa ya uogozi bora inapimwa na demokrasia katika utawala husika

2. Haki za binadamu zimmekanyagwa kuliko kipindi chochote kila hta kuzidi kipindic ha mtangulizi wake

3. Rushwa imekithiri kuliko kipindi chochote kile katika historia ya taifa hili

4. Mauaji, utekaji, upotezwaji watu etc etc, vimeweka rekodi ya juu kuzidi hata mtagulizi wake

5. Yanayondelea katika chaguzi za sasa ambayo by necessary implication, yanaonekana yana baraka zake ni tosha kum disqualify kutopata heshima mliyompa!

Sasa Udakrari wa heshima ya UONGOZI aliyopewa rais , mmetumia vigezo gani kumpa heshima hiyo?

Pia soma - Chuo Kikuu Mzumbe chamtunukia Rais Samia Shahada ya Udaktari wa Heshima katika Uongozi
Hata wezi wanaheshimiwa na wezi wenzao......
 
1. Katika historia ya tanzania, hakuna kipindi ambacho demokrasia imekanyagwa kama kipindi hiki cha Rais samia. Dunia ya leo base kubwa ya uogozi bora inapimwa na demokrasia katika utawala husika

2. Haki za binadamu zimmekanyagwa kuliko kipindi chochote kila hta kuzidi kipindic ha mtangulizi wake

3. Rushwa imekithiri kuliko kipindi chochote kile katika historia ya taifa hili

4. Mauaji, utekaji, upotezwaji watu etc etc, vimeweka rekodi ya juu kuzidi hata mtagulizi wake

5. Yanayondelea katika chaguzi za sasa ambayo by necessary implication, yanaonekana yana baraka zake ni tosha kum disqualify kutopata heshima mliyompa!

Sasa Udakrari wa heshima ya UONGOZI aliyopewa rais , mmetumia vigezo gani kumpa heshima hiyo?

Pia soma - Chuo Kikuu Mzumbe chamtunukia Rais Samia Shahada ya Udaktari wa Heshima katika Uongozi
Ulivyokuwa unamsifia Samia alipoingia madaraka, siamini ndiyo wewe unamponda!
 
1. Katika historia ya tanzania, hakuna kipindi ambacho demokrasia imekanyagwa kama kipindi hiki cha Rais samia. Dunia ya leo base kubwa ya uogozi bora inapimwa na demokrasia katika utawala husika

2. Haki za binadamu zimmekanyagwa kuliko kipindi chochote kila hta kuzidi kipindic ha mtangulizi wake

3. Rushwa imekithiri kuliko kipindi chochote kile katika historia ya taifa hili

4. Mauaji, utekaji, upotezwaji watu etc etc, vimeweka rekodi ya juu kuzidi hata mtagulizi wake

5. Yanayondelea katika chaguzi za sasa ambayo by necessary implication, yanaonekana yana baraka zake ni tosha kum disqualify kutopata heshima mliyompa!

Sasa Udakrari wa heshima ya UONGOZI aliyopewa rais , mmetumia vigezo gani kumpa heshima hiyo?

Pia soma - Chuo Kikuu Mzumbe chamtunukia Rais Samia Shahada ya Udaktari wa Heshima katika Uongozi
Mbona unaongea porojo za siasa na hisia badala ya facts? Weka ushahidi wa ukiyoongea na Mimi nikupe vinginevyo.

Mfano Transparency International inasema Tanzania ni ya Pili nyuma ya Rwanda Kwa kupambana na Rushwa

Shirika la Wanahabari wa Kimataifa linasema Tanznaia inaongoza Kwa uhuru wa habari Afrika Mashariki.

On top of that Tanzania inaongoza Kwa Demokrasia hapa hapa Afrika Mashariki

Mwisho kwenye nyanya ya Uongozi wa maendeleo,Tanznaia ni Kati ya Nchi 10 za Afrika ambazo zinaongoza Kwa ukuaji wa Uchumi.

Huwa siongei porojo,soma hapa ripoti ya BoT ya mwezi wa 10 uone jinsi mauzo ya Nje yalivyoongezeka,Utalii,Kilimo nk 👇👇

View: https://x.com/SalumAwadh/status/1860937961270837581?t=XnkiDwp4ESxY_VFyqWL4mw&s=19

So acha chuki na wivu wa kijinga, sababu zimetolewa unless hutaki kuzielewa 😁😁

Hakuna namna utamtenganisha Samia na mafanikio makubwa ya Tanzania kwenye nyanja zote Kwa Kupitia sera yake ya 4R na kufungua Nchi.👇👇

View: https://x.com/BusInsiderSSA/status/1859882195642388971?t=kgBDkeiBo7PFYg2YtECnfg&s=19
 
Hujui unachoongea Bwashee

Elimu ya nchi yoyote inalindwa kisiasa ndio sababu Wakuu wa vyuo ni Wanasiasa

Unadhani kwanini Mitihani ya mwisho huwa hairudishwi? 🐼😂
Aisee kama nchi za wenzetu wangekuwa waendekeza siasa kwenye elimu yao? Leo hii wangekuwa giants wa uchumi, uvumbuzi na science?
Naongelea US, akina CHina, europe? Wangekwua wanaendekeza siasa kwenye elimu wangekuwa hapo?
 
Back
Top Bottom