- Thread starter
- #21
na hii itakuja kufutwa huko mbele chuo kikpata watu makini wasio machawadegree za kupewa huwa znanyang'anywa wakati wowote ikithibitika utolewaji wake ulikuwa batili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na hii itakuja kufutwa huko mbele chuo kikpata watu makini wasio machawadegree za kupewa huwa znanyang'anywa wakati wowote ikithibitika utolewaji wake ulikuwa batili.
Una akili matope! John, sometimes kuwa serious na unachokiandika...Hujui unachoongea Bwashee
Elimu ya nchi yoyote inalindwa kisiasa ndio sababu Wakuu wa vyuo ni Wanasiasa
Unadhani kwanini Mitihani ya mwisho huwa hairudishwi? 🐼😂
Hivi hizi shahada za heshima kwanini huwa wanapewa zaidi viongozi wa kisiasa tu hapa Tanzania kuliko watu wengine mahiri kama viongozi wa kibiashara, kidini su kijamii.1. Katika historia ya Tanzania, hakuna kipindi ambacho demokrasia imekanyagwa kama kipindi hiki cha Rais samia. Dunia ya leo base kubwa ya uogozi bora inapimwa na demokrasia katika utawala husika
2. Haki za binadamu zimmekanyagwa kuliko kipindi chochote kila hata kuzidi kipindi cha mtangulizi wake
3. Rushwa imekithiri kuliko kipindi chochote kile katika historia ya taifa hili
4. Mauaji, utekaji, upotezwaji watu etc etc, vimeweka rekodi ya juu kuzidi hata mtagulizi wake
5. Yanayondelea katika chaguzi za sasa ambayo by necessary implication, yanaonekana yana baraka zake ni tosha kum disqualify kutopata heshima mliyompa!
Sasa Udakrari wa heshima ya UONGOZI aliyopewa rais , mmetumia vigezo gani kumpa heshima hiyo?
Pia soma - Chuo Kikuu Mzumbe chamtunukia Rais Samia Shahada ya Udaktari wa Heshima katika Uongozi
Mbona unaongea siasa na hisaia badala ya facts? Weka ushahidi wa ukiyoongea na Mimi nikupe vinginevyo.
Mfano Transparency International inasema Tanzania ni ya Pili nyuma ya Rwanda Kwa kupambana na Rushwa
Shirika la Wanahabari wa Kimataifa linasema Tanznaia inaongoza Kwa uhuru wa habari Afrika Mashariki.
On top of that Tanzania inaongoza Kwa Demokrasia hapa hapa Afrika Mashariki
Mwisho kwenye nyanya ya Uongozi wa maendeleo,Tanznaia ni Kati ya Nchi 10 za Afrika ambazo zinaongoza Kwa ukuaji wa Uchumi.
Huwa siongei porojo,soma hapa ripoti ya BoT ya mwezi wa 10 uone jinsi mauzo ya Nje yalivyoongezeka,Utalii,Kilimo nk 👇👇
View: https://x.com/SalumAwadh/status/1860937961270837581?t=XnkiDwp4ESxY_VFyqWL4mw&s=19
So acha chuki na wivu wa kijinga, sababu zimetolewa unless hutaki kuzielewa 😁😁
Hakuna namna utamtenganisha Samia na mafanikio makubwa ya Tanzania kwenye nyanja zote Kwa Kupitia sera yake ya 4R na kufungua Nchi.👇👇
View: https://x.com/BusInsiderSSA/status/1859882195642388971?t=kgBDkeiBo7PFYg2YtECnfg&s=19
Kwani Wewe Siasa unaitafsiri vipi bwashee?Aisee kama nchi za wenzetu wangekuwa waendekeza siasa kwenye elimu yao? Leo hii wangekuwa giants wa uchumi, uvumbuzi na science?
Naongelea US, akina CHina, europe? Wangekwua wanaendekeza siasa kwenye elimu wangekuwa hapo?
Nakuuliza swali dogo sanaUna akili matope! John, sometimes kuwa serious na unachokiandika...
Wampe kwa kipi alichofanya huyo Ruto? Ndio kwanza wanaona mda unachoelewa wamtoe.Nionyeshe wapi Wakenya wamempa RUTO hizi degree hewa kama Sa100?
Acheni kutukana msichokijua!!Wasomi ndio wamekuwa wapumbavu wa kwanza na wananchi jamii ya maamuma ndio wamekuwa werevu
Samia anapenda sana sifa na machawa yanatumia mwanya huo kujitafutia teuzi1. Katika historia ya Tanzania, hakuna kipindi ambacho demokrasia imekanyagwa kama kipindi hiki cha Rais samia. Dunia ya leo base kubwa ya uogozi bora inapimwa na demokrasia katika utawala husika
2. Haki za binadamu zimmekanyagwa kuliko kipindi chochote kila hata kuzidi kipindi cha mtangulizi wake
3. Rushwa imekithiri kuliko kipindi chochote kile katika historia ya taifa hili
4. Mauaji, utekaji, upotezwaji watu etc etc, vimeweka rekodi ya juu kuzidi hata mtagulizi wake
5. Yanayondelea katika chaguzi za sasa ambayo by necessary implication, yanaonekana yana baraka zake ni tosha kum disqualify kutopata heshima mliyompa!
Sasa Udakrari wa heshima ya UONGOZI aliyopewa rais , mmetumia vigezo gani kumpa heshima hiyo?
Pia soma - Chuo Kikuu Mzumbe chamtunukia Rais Samia Shahada ya Udaktari wa Heshima katika Uongozi
Nimekuuliza simple facts, giants huko duniani wanaendekeza siasa kama huku? Je wangeendekeza wangekuwa hapo walipo?Kwani Wewe Siasa unaitafsiri vipi bwashee?
Kuna tofauti ya kutosha tu Kati ya Siasa na Vyama vya Siasa 😀
Kwani Wewe wanavyokuuzia Elimu yao unadhani hiyo siyo Siasa? 😂Nimekuuliza simple facts, giants huko duniani wanaendekeza siasa kama huku? Je wangeendekeza wangekuwa hapo walipo?
Nduli aliomba ndondi za Mtu mbili ulingoni yeye na mwalimu 😂😂😂Mtu yoyote anayejipa vyeo asivyostahili huwa kwanza ni dalili kubwa ya kutojiamini hivyo anajaza vyeo ili aogopwe.
Ukweli usemwe Samia uwezo wake shuleni ulikuwa mdogo waseme ukweli sio kumdhalilisha bali itasaidia ajiamini katika uwezo wake huo huo mdogo.
Angalia vyeo hivi vya watu wanaotaka kuogopwa kutokana na kutojiamini.
Ndio maana mara avae magwanda na anatamani gwanda liwe na medali lukuki kama huyu yote hiyo ni kuogopwa na sio kuheshimiwa.
Mimi siwezi kumwita Samia Dr hata siku moja labda siku akipata shahada ya darasani.
Medals of his Excellency, President for Life, Field Marshal Al Hajj Doctor Idi Amin Dada, VC, DSO, MC, Lord of all the Beasts of the Earth and Fishes of the Sea and Conqueror of the British Empire in Africa in General and Uganda in Particular.
![]()
EXACTLY,"MAVYEO", MANYOTA, KUTOJIAMINI KUTAFUTA KUOGOPWA, KUTAFUTA KUTAMBULIWA......Mtu yoyote anayejipa vyeo asivyostahili huwa kwanza ni dalili kubwa ya kutojiamini hivyo anajaza vyeo ili aogopwe.
Ukweli usemwe Samia uwezo wake shuleni ulikuwa mdogo waseme ukweli sio kumdhalilisha bali itasaidia ajiamini katika uwezo wake huo huo mdogo.
Angalia vyeo hivi vya watu wanaotaka kuogopwa kutokana na kutojiamini.
Ndio maana mara avae magwanda na anatamani gwanda liwe na medali lukuki kama huyu yote hiyo ni kuogopwa na sio kuheshimiwa.
Mimi siwezi kumwita Samia Dr hata siku moja labda siku akipata shahada ya darasani.
Medals of his Excellency, President for Life, Field Marshal Al Hajj Doctor Idi Amin Dada, VC, DSO, MC, Lord of all the Beasts of the Earth and Fishes of the Sea and Conqueror of the British Empire in Africa in General and Uganda in Particular.
![]()
Huu ni miongoni mwa nyuzi Kabambe za JF1. Katika historia ya Tanzania, hakuna kipindi ambacho demokrasia imekanyagwa kama kipindi hiki cha Rais samia. Dunia ya leo base kubwa ya uogozi bora inapimwa na demokrasia katika utawala husika
2. Haki za binadamu zimmekanyagwa kuliko kipindi chochote kila hata kuzidi kipindi cha mtangulizi wake
3. Rushwa imekithiri kuliko kipindi chochote kile katika historia ya taifa hili
4. Mauaji, utekaji, upotezwaji watu etc etc, vimeweka rekodi ya juu kuzidi hata mtagulizi wake
5. Yanayondelea katika chaguzi za sasa ambayo by necessary implication, yanaonekana yana baraka zake ni tosha kum disqualify kutopata heshima mliyompa!
Sasa Udakrari wa heshima ya UONGOZI aliyopewa rais , mmetumia vigezo gani kumpa heshima hiyo?
Pia soma - Chuo Kikuu Mzumbe chamtunukia Rais Samia Shahada ya Udaktari wa Heshima katika Uongozi
PhD ni Cheo?EXACTLY,"MAVYEO", MANYOTA, KUTOJIAMINI KUTAFUTA KUOGOPWA, KUTAFUTA KUTAMBULIWA......