Chuo Kikuu Mzumbe mmetumia vigezo gani kumtunukuku Rais Samia Shahada ya Udaktari wa Heshima katika Uongozi?

Chuo Kikuu Mzumbe mmetumia vigezo gani kumtunukuku Rais Samia Shahada ya Udaktari wa Heshima katika Uongozi?

Nchi hii ukitafuta meritocracy ndugu yangu utaugua tu! Waliompa wenyewe wanashikilia uprof unaamini wanaqualify? Tatizo ndio linapoanzia
The majority, if not all, have no qualification to be called professors or academic professors for that matter!
 
1. Katika historia ya Tanzania, hakuna kipindi ambacho demokrasia imekanyagwa kama kipindi hiki cha Rais samia. Dunia ya leo base kubwa ya uogozi bora inapimwa na demokrasia katika utawala husika

2. Haki za binadamu zimmekanyagwa kuliko kipindi chochote kila hata kuzidi kipindi cha mtangulizi wake

3. Rushwa imekithiri kuliko kipindi chochote kile katika historia ya taifa hili

4. Mauaji, utekaji, upotezwaji watu etc etc, vimeweka rekodi ya juu kuzidi hata mtagulizi wake

5. Yanayondelea katika chaguzi za sasa ambayo by necessary implication, yanaonekana yana baraka zake ni tosha kum disqualify kutopata heshima mliyompa!

Sasa Udakrari wa heshima ya UONGOZI aliyopewa rais , mmetumia vigezo gani kumpa heshima hiyo?

Pia soma - Chuo Kikuu Mzumbe chamtunukia Rais Samia Shahada ya Udaktari wa Heshima katika Uongozi
Boss hanuniwi.
 
1. Katika historia ya Tanzania, hakuna kipindi ambacho demokrasia imekanyagwa kama kipindi hiki cha Rais samia. Dunia ya leo base kubwa ya uogozi bora inapimwa na demokrasia katika utawala husika

2. Haki za binadamu zimmekanyagwa kuliko kipindi chochote kila hata kuzidi kipindi cha mtangulizi wake

3. Rushwa imekithiri kuliko kipindi chochote kile katika historia ya taifa hili

4. Mauaji, utekaji, upotezwaji watu etc etc, vimeweka rekodi ya juu kuzidi hata mtagulizi wake

5. Yanayondelea katika chaguzi za sasa ambayo by necessary implication, yanaonekana yana baraka zake ni tosha kum disqualify kutopata heshima mliyompa!

Sasa Udakrari wa heshima ya UONGOZI aliyopewa rais , mmetumia vigezo gani kumpa heshima hiyo?

Pia soma - Chuo Kikuu Mzumbe chamtunukia Rais Samia Shahada ya Udaktari wa Heshima katika Uongozi
Wivu tu. Sema kwenye vigezo walikuwa too general, ila yeye aliposimama kuhutubia aliweka mambo bayana sana kiasi kwamba sisi wachambuzi tuliokota mawili matatu kiasi fulani na kujua Dkt Samia anastahili sana maana style yake ya uongozi ni ya kuigwa pamoja na kuwa kazungukwa na majambazi majizi ambayo muda wote yanafikiria kuiba tu
 
Ukiwa rais tz unaweza tunukiwa cheo,wadhifa wowote hata kama hujasomea/huna utaalam wake

Ova
 
Asante, ndiyo maana nasema wasomi wetu ni rubbish! sasa hili neno wameitoa wpi? Muulize the etymology of theat word ni ipi? The science of the origin of word ni pi?
Tunajua Tele means "far" in Latin, phone ni sound, and therefore telephone ni FAR SOUND ie you can hear a sound/voice from far away say the USA while you are in Tanzania! It makes a lot of sense and is easy to learn.

Waulize hao waliobuni neno TASNIFU waliumia vigezo gani au ni majina ya hawala zao
 
Acheni kutukana msichokijua!!

Ni tangu lini dola imekipa Chama cha upinzani baraka za kushika dola!!?

Nccr mageuzi ya 1995 na chadema 2015 zilipata baraka za Dola kushika dola hasta baada ya kupata kura nyingi!!?

Hadi Sasa Chama chenye baraka ya kushika Dola ni CCM Sasa ni jukumu la dola kuhakikisha wanaoshika Dola ni watu waadilifu sio wahuni wanaovunja sheria!!

Kama Dola imeacha wahuni washike ni rasmi Dola yenyewe imefeli!!
Nadhani umelitumia vibaya neno wahuni,embu fafanua unaposema wahuni unamaanisha nini
 
Hujui unachoongea Bwashee

Elimu ya nchi yoyote inalindwa kisiasa ndio sababu Wakuu wa vyuo ni Wanasiasa

Unadhani kwanini Mitihani ya mwisho huwa hairudishwi? 🐼😂
Ukiona mwana chuo ana soma miaka 3 bila kugoma, jua huyo ni ama amekariri au haelewe anachofundishwa ( Chachage. S. Chachage)
Vyuo vikuu vya Tanzania ni extended high schools ( jenerali Twaha Ulimwengu)
 
Ukiona mwana chuo ana soma miaka 3 bila kugoma, jua huyo ni ama amekariri au haelewe anachofundishwa ( Chachage. S. Chachage)
Vyuo vikuu vya Tanzania ni extended high schools ( jenerali Twaha Ulimwengu)
Na Wengi wa wapambanaji waliishia kudisco 🐼
 
Back
Top Bottom