The majority, if not all, have no qualification to be called professors or academic professors for that matter!Nchi hii ukitafuta meritocracy ndugu yangu utaugua tu! Waliompa wenyewe wanashikilia uprof unaamini wanaqualify? Tatizo ndio linapoanzia
Boss hanuniwi.1. Katika historia ya Tanzania, hakuna kipindi ambacho demokrasia imekanyagwa kama kipindi hiki cha Rais samia. Dunia ya leo base kubwa ya uogozi bora inapimwa na demokrasia katika utawala husika
2. Haki za binadamu zimmekanyagwa kuliko kipindi chochote kila hata kuzidi kipindi cha mtangulizi wake
3. Rushwa imekithiri kuliko kipindi chochote kile katika historia ya taifa hili
4. Mauaji, utekaji, upotezwaji watu etc etc, vimeweka rekodi ya juu kuzidi hata mtagulizi wake
5. Yanayondelea katika chaguzi za sasa ambayo by necessary implication, yanaonekana yana baraka zake ni tosha kum disqualify kutopata heshima mliyompa!
Sasa Udakrari wa heshima ya UONGOZI aliyopewa rais , mmetumia vigezo gani kumpa heshima hiyo?
Pia soma - Chuo Kikuu Mzumbe chamtunukia Rais Samia Shahada ya Udaktari wa Heshima katika Uongozi
Thesis.kiingereze chake please -Tasnifu
Wivu tu. Sema kwenye vigezo walikuwa too general, ila yeye aliposimama kuhutubia aliweka mambo bayana sana kiasi kwamba sisi wachambuzi tuliokota mawili matatu kiasi fulani na kujua Dkt Samia anastahili sana maana style yake ya uongozi ni ya kuigwa pamoja na kuwa kazungukwa na majambazi majizi ambayo muda wote yanafikiria kuiba tu1. Katika historia ya Tanzania, hakuna kipindi ambacho demokrasia imekanyagwa kama kipindi hiki cha Rais samia. Dunia ya leo base kubwa ya uogozi bora inapimwa na demokrasia katika utawala husika
2. Haki za binadamu zimmekanyagwa kuliko kipindi chochote kila hata kuzidi kipindi cha mtangulizi wake
3. Rushwa imekithiri kuliko kipindi chochote kile katika historia ya taifa hili
4. Mauaji, utekaji, upotezwaji watu etc etc, vimeweka rekodi ya juu kuzidi hata mtagulizi wake
5. Yanayondelea katika chaguzi za sasa ambayo by necessary implication, yanaonekana yana baraka zake ni tosha kum disqualify kutopata heshima mliyompa!
Sasa Udakrari wa heshima ya UONGOZI aliyopewa rais , mmetumia vigezo gani kumpa heshima hiyo?
Pia soma - Chuo Kikuu Mzumbe chamtunukia Rais Samia Shahada ya Udaktari wa Heshima katika Uongozi
Asante, ndiyo maana nasema wasomi wetu ni rubbish! sasa hili neno wameitoa wpi? Muulize the etymology of theat word ni ipi? The science of the origin of word ni pi?Thesis.
Tz kwa wafu wanaosubiri kuoza na kunukaUkiwa rais tz
Right, slavery mentalityBoss hanuniwi.
Nadhani umelitumia vibaya neno wahuni,embu fafanua unaposema wahuni unamaanisha niniAcheni kutukana msichokijua!!
Ni tangu lini dola imekipa Chama cha upinzani baraka za kushika dola!!?
Nccr mageuzi ya 1995 na chadema 2015 zilipata baraka za Dola kushika dola hasta baada ya kupata kura nyingi!!?
Hadi Sasa Chama chenye baraka ya kushika Dola ni CCM Sasa ni jukumu la dola kuhakikisha wanaoshika Dola ni watu waadilifu sio wahuni wanaovunja sheria!!
Kama Dola imeacha wahuni washike ni rasmi Dola yenyewe imefeli!!
Ukiona mwana chuo ana soma miaka 3 bila kugoma, jua huyo ni ama amekariri au haelewe anachofundishwa ( Chachage. S. Chachage)Hujui unachoongea Bwashee
Elimu ya nchi yoyote inalindwa kisiasa ndio sababu Wakuu wa vyuo ni Wanasiasa
Unadhani kwanini Mitihani ya mwisho huwa hairudishwi? 🐼😂
Na Wengi wa wapambanaji waliishia kudisco 🐼Ukiona mwana chuo ana soma miaka 3 bila kugoma, jua huyo ni ama amekariri au haelewe anachofundishwa ( Chachage. S. Chachage)
Vyuo vikuu vya Tanzania ni extended high schools ( jenerali Twaha Ulimwengu)