Chupuchupu: Ni saa 11 kasorobo alfajiri almanusura kukosa daku, kula tena hadi saa 12 jioni na usiku saa tatu

Chupuchupu: Ni saa 11 kasorobo alfajiri almanusura kukosa daku, kula tena hadi saa 12 jioni na usiku saa tatu

kufunga sio kuzuia kula tu, bali ni kujizuia katika yale unayoyapenda na kujizuia huko kuwe kwa ajili ya Mungu, ukitaka upate matokeo sahihi ya funga yako

1. jizuie kuingia kwenye mitandao ya kijamii kuna mambo mengi ya kukutia unajisi
2. jizuie kwenda kwenye vijiwe vya kahawa kwa wanaume, wanawake saluni kuna usengenyaji mkubwa ambao utakutia unajisi
3. Jizuie na ngono, hata kama umeoa kwa mwezi huu ukijitahid usimguse wife itakuwa poa ili mradi mkubaliane
 
Mkuu, funga maana yake nini?

Dhana ya mfungo kimsingi ni dedication na devotion.

Mm ni Mkristu, lakini sioni kama kuna kosa lolote katika utaratibu wao, as long as huo unawasaidia ku-focus na ku-reconnect.

Swali langu kubwa kwao ni iwapo au la hiyo connection imeelekezwa kwenye chanzo sahihi???

Mama Msamaria katika Yohana 4 alikuwa na mtazamo wake wa ibada ambayo kwa mujibu wake, ilikuwa lazima ifanyike ^katika mlima huu.^ v. 21

Yesu Kristu asifiwe, akamwonesha nini maana ya ibada sahihi na ya kweli - wamwabuduo wanapaswa kumwabudu katika Roho na Kweli.

Ikiwa kwa wenzetu Waislamu hata lugha tu ya kutumia lazima iwe Kiarabu, vinginevyo shughuli hiyo ni haramu, basi hapo ni wazi safari bado ndefu sana kwao.

Ni sawa na Ukristu enzi hizo ambapo Kilatini kilikuwa ni lazima kama sharti la kutimiza ibada safi.

Lakini Mungu ashukuriwe tumeshatoka kwenye giza hilo nene, ila wenzetu ndiyo kwaanza ni saa mbili usiku wanaelekea humo gizani!

If anything, history has taught us that we never really learn from it!

Ramadhan Kareem!!!
Giza gani kiongozi umetoka? Bado upo kwenye giza totoro kama imani yako inasema nabii Issa mwana wa Mariam ni Mungu bado upo kwenye dimbwi la giza totoro kabisaaaaa
 
Mkuu, funga maana yake nini?

Dhana ya mfungo kimsingi ni dedication na devotion.

Mm ni Mkristu, lakini sioni kama kuna kosa lolote katika utaratibu wao, as long as huo unawasaidia ku-focus na ku-reconnect.

Swali langu kubwa kwao ni iwapo au la hiyo connection imeelekezwa kwenye chanzo sahihi???

Mama Msamaria katika Yohana 4 alikuwa na mtazamo wake wa ibada ambayo kwa mujibu wake, ilikuwa lazima ifanyike ^katika mlima huu.^ v. 21

Yesu Kristu asifiwe, akamwonesha nini maana ya ibada sahihi na ya kweli - wamwabuduo wanapaswa kumwabudu katika Roho na Kweli.

Ikiwa kwa wenzetu Waislamu hata lugha tu ya kutumia lazima iwe Kiarabu, vinginevyo shughuli hiyo ni haramu, basi hapo ni wazi safari bado ndefu sana kwao.

Ni sawa na Ukristu enzi hizo ambapo Kilatini kilikuwa ni lazima kama sharti la kutimiza ibada safi.

Lakini Mungu ashukuriwe tumeshatoka kwenye giza hilo nene, ila wenzetu ndiyo kwaanza ni saa mbili usiku wanaelekea humo gizani!

If anything, history has taught us that we never really learn from it!

Ramadhan Kareem!!!
Giza gani kiongozi umetoka? Bado upo kwenye giza totoro kama imani yako inasema nabii Issa mwana wa Mariam ni Mungu bado upo kwenye dimbwi la giza totoro kabisa
 
Muda si kitu cha kucheza nacho


View attachment 3257005
Kuna wapumbavu wao wakifunga wanataka kuona hata wasio funga nao wanashinda na njaa wakati hao wasio funga awana kula daku .....yani wao wakila saa 3 usiku wanalazimishwa kula tena saa 3 usiku maana wasio waislam awana futari wala daku isipokuwa chakula cha usiku saa 2 au saa 3
 
Giza gani kiongozi umetoka? Bado upo kwenye giza totoro kama imani yako inasema nabii Issa mwana wa Mariam ni Mungu bado upo kwenye dimbwi la giza totoro kabisa
Na nyie dini yenu isiyojua Kiswahili kazi kiarabu tu.
 
Giza gani kiongozi umetoka? Bado upo kwenye giza totoro kama imani yako inasema nabii Issa mwana wa Mariam ni Mungu bado upo kwenye dimbwi la giza totoro kabisa
Mkuu, umewahi kumsoma nabii Issa popote kwenye Biblia?

Kurani inasema mkiwa na mashaka waulizeni ^watu wa Kitabu,^ mpate ufafanuzi. Usijitungie hadithi mfu ili kuhalalisha mapokeo yako.

Bila kusali kwa Kiarabu dua haiendi, au siyo???
 
Mimi daku hua nakunywa maziwa fresh ya moto yenye viungo vya chai na tende chache tuu Kisha naswaki nakunywa maji kiasi nasali subhi
Na kila ukila daku kdg ndio unazidi kuwa upo fit. Muhimu ule kitu cha ku-boost sugar tu japo kdg. Kama hio tende ndio nzuri. Unazila kwa hisabu ya witri na maziwa fresh au hata maji ya kunywa tu.
Siku yako inakuwa imechangamka vizuri
 
Mkuu, umewahi kumsoma nabii Issa popote kwenye Biblia?

Kurani inasema mkiwa na mashaka waulizeni ^watu wa Kitabu,^ mpate ufafanuzi. Usijitungie hadithi mfu ili kuhalalisha mapokeo yako.

Bila kusali kwa Kiarabu dua haiendi, au siyo???
 
Wenzetu funga kavu hawaiwezi kamwe
Tunaweza sana tu. Kuna watu wakisha kuftari ndio imetoka hio mpk kesho yake.
Inategemea tu na ulafi wa mtu na mazoea ya kulakula kila wakati. Ila pia hatutakiwi kujikalif. Unatakiwa kula daku japo kokwa 3 za tende na maji na kuna fadhila sana. Ila sio kula kufakamia mpk inakuwa adha. Mtu unakuta kafunga lkn saa 4 asubuhi anaenda mbweu za wali ndondo. Haifai, ni makruh
 
Back
Top Bottom