Chupuchupu: Ni saa 11 kasorobo alfajiri almanusura kukosa daku, kula tena hadi saa 12 jioni na usiku saa tatu

Chupuchupu: Ni saa 11 kasorobo alfajiri almanusura kukosa daku, kula tena hadi saa 12 jioni na usiku saa tatu

Nimesoma komenti kadhaa za ndugu zangu wakristo, wengi wenu nyie mna nongwa, mna upofu wa udini 😂🤣😂🤣.
We kula saa 10 usiku, usile tena wala kunywa maji na jua la dar, na mihangaiko yetu ya kila siku utaweza.

Jaribu tu wikiendi ambayo huna pilika pilika, kula saa 10 alfajiri, kisha usile tena mpaka saa 1 usiku ndio utaona uzito wake.

Mnajua lengo la funga,
1.Kufunga pekee ni utiifu kwa mola wako(ndio maana utasikia masheikh wanasema inakuweka karibu na mola wako) ni kama vile baba/mama yako akupe 5000 ya shule kisha akwambie humo tumia 500 tu, ama usitumie kabisa.
Ndani unachakula, mfukoni una hela, una mke lakini mungu anakwambia hakuna kula wala kunywa mchana, na wala kupiga miBAM BAM kwa mkeo.

2. Lakini pia funga inaongeza imani na huruma, ndani una kula kitu, mfukoni una pesa lakini hauli na njaa unaisikia, sasa unajiuliza wale masikini ambao hawana kitu wana njaa katika siku ambazo wanaruhusiwa kula, lakini hana cha kukila anakuwa katika hali gani.
Ndio maana katika mambo yanaleta thawabu nyingi basi moja wapo ni kulisha masikini ama yatima, ama kumkirimu msafiri(hii kwa zama hizi si sana, kutokana na maendeleo)
Shida waislam wengi hatuuinshi Uislamu wenyewe, na kuna watu wameuframe uisalm uonekane ndio dini ya hovyo, unaonekana hovyo sababu na sisi hatuuishi uislam.
Uislamu ni kuhurumiana, kusaidiana na kupendana

3. Funga ni afya, mtume alisema, fungeni mtapata afya, alijuaje hali yakuwa hakuwa mwanabaiolojia, mungu ndio mjuzi zaidi.
Ila sayansi ya siku hizi inakubali hii kauli ya kufunga ni kutengeneza afya.

Na faida nyingine nyingi nyingi, naweza nisizijue sababu ya uchache wa elimu yangu.
 
hahahaahaha yule sio mfungaji, ila jamaa yangu aliwahi niambia kuwa hawa jamaa wakifunga ndio kipindi wanakula hadi basi, hata Janabi aliwahi kuongelea hii kitu
Mwezi huu una siri nyingi.
Ni mwezi wa wale akina hamisi kuingia kila geti kwa kisingizio cha futari, yaani ni mwezi wa pona kwa wengine.

Lakini katika yote ninasapoti watu kufanya ibada ya funga, ina matokeo chanya sana
 
Nimesoma komenti kadhaa za ndugu zangu wakristo, wengi wenu nyie mna nongwa, mna upofu wa udini 😂🤣😂🤣.
We kula saa 10 usiku, usile tena wala kunywa maji na jua la dar, na mihangaiko yetu ya kila siku utaweza.

Jaribu tu wikiendi ambayo huna pilika pilika, kula saa 10 alfajiri, kisha usile tena mpaka saa 1 usiku ndio utaona uzito wake.

Mnajua lengo la funga,
1.Kufunga pekee ni utiifu kwa mola wako(ndio maana utasikia masheikh wanasema inakuweka karibu na mola wako) ni kama vile baba/mama yako akupe 5000 ya shule kisha akwambie humo tumia 500 tu, ama usitumie kabisa.
Ndani unachakula, mfukoni una hela, una mke lakini mungu anakwambia hakuna kula wala kunywa mchana, na wala kupiga miBAM BAM kwa mkeo.

2. Lakini pia funga inaongeza imani na huruma, ndani una kula kitu, mfukoni una pesa lakini hauli na njaa unaisikia, sasa unajiuliza wale masikini ambao hawana kitu wana njaa katika siku ambazo wanaruhusiwa kula, lakini hana cha kukila anakuwa katika hali gani.
Ndio maana katika mambo yanaleta thawabu nyingi basi moja wapo ni kulisha masikini ama yatima, ama kumkirimu msafiri(hii kwa zama hizi si sana, kutokana na maendeleo)
Shida waislam wengi hatuuinshi Uislamu wenyewe, na kuna watu wameuframe uisalm uonekane ndio dini ya hovyo, unaonekana hovyo sababu na sisi hatuuishi uislam.
Uislamu ni kuhurumiana, kusaidiana na kupendana

3. Funga ni afya, mtume alisema, fungeni mtapata afya, alijuaje hali yakuwa hakuwa mwanabaiolojia, mungu ndio mjuzi zaidi.
Ila sayansi ya siku hizi inakubali hii kauli ya kufunga ni kutengeneza afya.

Na faida nyingine nyingi nyingi, naweza nisizijue sababu ya uchache wa elimu yangu.
Huwa tunafunga mkuu, sio kwamba watu hawana experience ya funga. Na wengi wanafunga "round the clock", mtu anafunga masaa zaidi ya 20, anavyokula saa2 usiku ni hadi kesho saa 12 jioni.

So, uzoefu wa kufunga watu wanao, na nikuambie kitu pia, christians wengi wanafunga kimya kimya, huwa tunafundishwa kufunga ila tusitangaze funga zetu kwa watu.
 
Huwa tunafunga mkuu, sio kwamba watu hawana experience ya funga. Na wengi wanafunga "round the clock", mtu anafunga masaa zaidi ya 20, anavyokula saa2 usiku ni hadi kesho saa 12 jioni.

So, uzoefu wa kufunga watu wanao, na nikuambie kitu pia, christians wengi wanafunga kimya kimya, huwa tunafundishwa kufunga ila tusitangaze funga zetu kwa watu.
Hongereni waislamu mnafunga vizuri
 
Huwa tunafunga mkuu, sio kwamba watu hawana experience ya funga. Na wengi wanafunga "round the clock", mtu anafunga masaa zaidi ya 20, anavyokula saa2 usiku ni hadi kesho saa 12 jioni.

So, uzoefu wa kufunga watu wanao, na nikuambie kitu pia, christians wengi wanafunga kimya kimya, huwa tunafundishwa kufunga ila tusitangaze funga zetu kwa watu.
Ndio ndio mjuba uko sahihi
 
Nimesoma komenti kadhaa za ndugu zangu wakristo, wengi wenu nyie mna nongwa, mna upofu wa udini 😂🤣😂🤣.
We kula saa 10 usiku, usile tena wala kunywa maji na jua la dar, na mihangaiko yetu ya kila siku utaweza.

Jaribu tu wikiendi ambayo huna pilika pilika, kula saa 10 alfajiri, kisha usile tena mpaka saa 1 usiku ndio utaona uzito wake.

Mnajua lengo la funga,
1.Kufunga pekee ni utiifu kwa mola wako(ndio maana utasikia masheikh wanasema inakuweka karibu na mola wako) ni kama vile baba/mama yako akupe 5000 ya shule kisha akwambie humo tumia 500 tu, ama usitumie kabisa.
Ndani unachakula, mfukoni una hela, una mke lakini mungu anakwambia hakuna kula wala kunywa mchana, na wala kupiga miBAM BAM kwa mkeo.

2. Lakini pia funga inaongeza imani na huruma, ndani una kula kitu, mfukoni una pesa lakini hauli na njaa unaisikia, sasa unajiuliza wale masikini ambao hawana kitu wana njaa katika siku ambazo wanaruhusiwa kula, lakini hana cha kukila anakuwa katika hali gani.
Ndio maana katika mambo yanaleta thawabu nyingi basi moja wapo ni kulisha masikini ama yatima, ama kumkirimu msafiri(hii kwa zama hizi si sana, kutokana na maendeleo)
Shida waislam wengi hatuuinshi Uislamu wenyewe, na kuna watu wameuframe uisalm uonekane ndio dini ya hovyo, unaonekana hovyo sababu na sisi hatuuishi uislam.
Uislamu ni kuhurumiana, kusaidiana na kupendana

3. Funga ni afya, mtume alisema, fungeni mtapata afya, alijuaje hali yakuwa hakuwa mwanabaiolojia, mungu ndio mjuzi zaidi.
Ila sayansi ya siku hizi inakubali hii kauli ya kufunga ni kutengeneza afya.

Na faida nyingine nyingi nyingi, naweza nisizijue sababu ya uchache wa elimu yangu.
Sasa mnavyo wabana wasio waislamu kwa kuwafungisha kwa lazima huku mkijua kuwa nyinyi mna daku la asubuhi wao wakila saa 3 usiku na asubuhi mmewazuia kula na mchana kwa sababu nyinyi mmefunga ...amuoni mnataka wasio waislam wakae na njaa zaidi yenu...
 
Sasa mnavyo wabana wasio waislamu kwa kuwafungisha kwa lazima huku mkijua kuwa nyinyi mna daku la asubuhi wao wakila saa 3 usiku na asubuhi mmewazuia kula na mchana kwa sababu nyinyi mmefunga ...amuoni mnataka wasio waislam wakae na njaa zaidi yenu...
Hakuna mahali dini imesema hivyo, hayo ni mapokeo ya watu ndio wanafanya hivyo, mie binafsi unaweza ukala hapo na nisikubugudhi, ikiwa sipendelei nitaondoka.

Ila kistaarabu ukijua mwenzi yupo kwenye mfungo awe muislam ama mkristu, ni vema ukaenda kulia pembeni.
Ni kama vile mvuta sigara avute mbele ya aievuta, ni vema akaenda kuvutia pembeni
 
Hakuna mahali dini imesema hivyo, hayo ni mapokeo ya watu ndio wanafanya hivyo, mie binafsi unaweza ukala hapo na nisikubugudhi, ikiwa sipendelei nitaondoka.

Ila kistaarabu ukijua mwenzi yupo kwenye mfungo awe muislam ama mkristu, ni vema ukaenda kulia pembeni.
Ni kama vile mvuta sigara avute mbele ya aievuta, ni vema akaenda kuvutia pembeni
Mbona makafiri wa kiisiharamu amuwakemei wenzenu wanaofanya hivyo kama nyinyi siyo makafiri wa kiisiharamu...au amjui muhammad alielekeza nini kuhusu jambo baya kuwa kama uwezi kuliondoa kwa mikono yako basi likemee na kama hauwezi kulikemea basi Lichukie nafsini mwako je weee unachukizwa na huo uhuni?

Au na wewe ni mtaliitu

 
Mara nyingi mfungo wangu wa kila siku nakula saa Moja jion mpaka siku ya pili saa moja jion yaan mlo ni mmoja
Mboga majani mchemsho
Mayai 3 kienyeji mchemsho
Juice ndizi, karanga, tender na maziwa, majani ya mlonge Glas moja
HUO ndio mfungo ni daily life
 
Umeona bakuli la wali la mleta uzi? Hapo amefunga kitu gani wakati ule wali maharage utachukua hadi masaa 8 ndio upungue tumboni🤣🤣🤣
Determinantor
Sio shida zetu. Hayo ni maamuzi yake
Nimekwambia tu kuna wengine hawali hata hilo daku na wanafunga fresh
 
Chupu chupu..
Mi kuna siku nilikula yaan nahisi nilijizima data maana gheto ni usiku ila nje kumbe kumekucha ila nikajipa imani kwamba sikujua ila ilikua sa moja kasoro ile
 
Niwaibie siri,mwezi huu wa ramadan hata viumbe fulani vilivyosema hakika tumeisikia quran ya ajabu na vyenyewe huwa vinafunga
 
Hakuna mahali dini imesema hivyo, hayo ni mapokeo ya watu ndio wanafanya hivyo, mie binafsi unaweza ukala hapo na nisikubugudhi, ikiwa sipendelei nitaondoka.

Ila kistaarabu ukijua mwenzi yupo kwenye mfungo awe muislam ama mkristu, ni vema ukaenda kulia pembeni.
Ni kama vile mvuta sigara avute mbele ya aievuta, ni vema akaenda kuvutia pembeni
Mkuu we ndo una huo ustaarabu na kujitambua wengine ndugu zetu mmhu 🙌
 
Mara nyingi mfungo wangu wa kila siku nakula saa Moja jion mpaka siku ya pili saa moja jion yaan mlo ni mmoja
Mboga majani mchemsho
Mayai 3 kienyeji mchemsho
Juice ndizi, karanga, tender na maziwa, majani ya mlonge Glas moja
HUO ndio mfungo ni daily life
Huo ni mfungo au ndo ratiba yako ya kula ,I mean health life style, ni nzuri ila sio mfungo
 
Back
Top Bottom