Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie muislam, Nimejifunza kwa kiasi fulani, dini sio ngumu ila kuna watu wanaitia ugumu, kuna watu kwenye dini wanajitoa akili, wanakuwa kama mashabiki wa simba na yanga, wanakuwa hawana akili hata moja mwishowe wanafanya mambo kinyume kabisaa na dini isemavyo.Mkuu we ndo una huo ustaarabu na kujitambua wengine ndugu zetu mmhu 🙌
Mimi kabla ya Adhana na kuswali Alfajir napendelea viazi vitatu, tambi, chapati na kauji kikombe kimoja...sipendi kula sana na kushiba kwa dakuMimi daku hua nakunywa maziwa fresh ya moto yenye viungo vya chai na tende chache tuu Kisha naswaki nakunywa maji kiasi nasali subhi
Sasa kuna sababu gani kuelezea yote hayo? Au tujue nawe huswali..Mimi daku hua nakunywa maziwa fresh ya moto yenye viungo vya chai na tende chache tuu Kisha naswaki nakunywa maji kiasi nasali subhi
Unaweza ukala asubuhi kama usiku haukula chochote kiuhalisia ulikuwa umefunga ndio maana asubuhi ukila tunaita breakfast (break -fast) /umesitisha kufungaMtu akifunga inabidi ale muda gani
Hapo kitaalam n kubadili ratibaSasa hii ni funga ama kubadilisha ratiba ya chakula.?!
tumia akili kidogo.mchana uwa unakula mara ngapi.na usiku uwa unakula mara ngapi!?Sasa hii ni funga ama kubadilisha ratiba ya chakula.?!
Mchana mara moja then kabla ya saa 2 usiku nakula tena. Nakula Mara mbili ndani ya saa 24tumia akili kidogo.mchana uwa unakula mara ngapi.na usiku uwa unakula mara ngapi!?
Sawa kabisaNa kila ukila daku kdg ndio unazidi kuwa upo fit. Muhimu ule kitu cha ku-boost sugar tu japo kdg. Kama hio tende ndio nzuri. Unazila kwa hisabu ya witri na maziwa fresh au hata maji ya kunywa tu.
Siku yako inakuwa imechangamka vizuri
Very trueMie muislam, Nimejifunza kwa kiasi fulani, dini sio ngumu ila kuna watu wanaitia ugumu, kuna watu kwenye dini wanajitoa akili, wanakuwa kama mashabiki wa simba na yanga, wanakuwa hawana akili hata moja mwishowe wanafanya mambo kinyume kabisaa na dini isemavyo.