Chura, shape, sura na kazi nzuri ya mkeo vimekusaidia nini katika maisha?

Chura, shape, sura na kazi nzuri ya mkeo vimekusaidia nini katika maisha?

Moja ya matarajio yasiyo na uhalisia ktk maisha ya ndoa ni kuwaza kuwa "kwenye ndoa kuna Raha na furaha". Kamwe hili halipo.

Huwa wanaume wanahangaika kutafuta wanawake wenye mjumuiko (package) wa chura, shape, sura, rangi na kazi nzuri wakidhani vitu hivi vitaongeza raha na furaha ktk ndoa zao.

Wengi wameishia kupata msongo wa mawazo tu baada ya kugundua kuwa vyote hivi ni ubatili mtupu ktk ndoa. Wametumia nguvu na gharama kubwa kuvipata lkn having faida

1. Tako kubwa, shape, sura na rangi nzuri havileti ugali mezani.
2. Mshahara mkubwa wa mwanamke kutoka kwenye kazi yake nzuri hauonekani unapoenda. Hachangii chochote. Zaidi sana ataanza kuanzisha ujenzi ama biashara zake kwa siri.

Oa darasa la saba ambaye atatawalika, atakuwa msikivu, unaweza kumtuma, atalea watoto wako muda wote na utamtumia kukuza kipato. Haya mabeijiing, masuperwoman, manaharakati, mazungumza kiingereza ni mabishi, majuaji huwa hayazai, na yakizaa ni mtoto mmoja tu. Kwasabb yashatoa mimba sana hadi kufikia huko vyuoni.

Halafu wana wapenzi wengi mno, waliosoma nao ktk ngazi zote za elimu. Kuchapiwa ni nje nje. Hakuna mwanamke mbeijing asiyechapwa.


Nimemaliza!
Mwamba umenena yaliyo sawia, nipo nayapitia Sasa
 
1. Chura, Sura vinaleta hamasa katika ngono.
2. Vinafurahisha kila mara ukimtazama Mkeo, hachoshi. Wewe kazi yako ni kumtunza tuu.
2. Akivaa nguo anapendeza na hiyo inakupa ufahari popote uendako na ukiwa naye. Iwe ni Kanisani, au matukio ya jumuiya Mkeo akiwa na Sura na shape nzuri Sifa zinakuja kwako kuwa pale mwamba umeweza.

3. Ukizaa Watoto hasa wakike unazaa Watoto walionyooka hasa wakifuata maumbile ya Mama Yao. Shape na Sura nzuri ni Mbegu nzuri Kwa kizazi chako hasa mabinti.
Faida itakuja pale Watoto wako hawatapata shida ndogondogo za kutafuta wachumba na watapata upendeleo Kwa baadhi ya mambo Kutokana na uzuri waliorithi Kwa mama Yao.

4. Ni sifa na ufahari kuwa na MKE mzuri.
Hata Ibrahim alipata hifadhi Kwa urahisi nchi za mbali Kwa Sababu ya uzuri WA Mkewe.
Ni rahisi ukiwa na MKE mzuri Kupata mkopo kupitia uzuri wake.
Mwanamke mzuri Maisha hayawe,I kumshinda.

5. Watoto watajivunia uzuri WA Mama Yao.

6. Kazi ya Mkeo itazidisha uimara wa familia. Hasa kama atakuwa anakupenda na unaakili za mwanaume.

7. Dunia yote Hii, nature inaagiza Watu waoe Wanawake Wazuri Sana. Nature ni rahisi kukusapoti kama utaweza kuoa mwanamke mzuri mwenye Sifa ulizozitaja.

Ni ndoto ya kila Mwanadamu kuoa mwanamke mwenye Sifa ulizozitaja hapo.
Mengine huja kama visingizio tuu.
Ulizia mtoto mwenye Tako kubwa kama mama yake wewe inakisaidia nini

Sent from my Pixel 5 using JamiiForums mobile app
 
Nikija kuoa ntaoa hawa form 4 graduates, mwenye kipawa cha biashara, submissive na mwenye hofu ya Mungu tu
Kioawa cha biashara na kuwa submissive ni vitu visivyokaa pamoja. Huwa wanakuwa jeuri hatari.

Kuna mifano michache ningekupa lkn nina haraka
 
Kweli Sana. Wife ameajiriwa lakini Mshahara unaotoboka ni wangu. Mke aliyeajiriwa labda faida yake itaonekana nikiwa marehemu lakini kwasasa chake NI chake na changu ndiyo cha wote.

Umeshindwa kumdhibiti na kuna kila dalili hakupendi.
Mwanamke akikupenda utatumia chochote kilichochake, tena atakupa mwenyewe na usipotumia vyake ataona haumpendi.

Hapo jihadhari siku ulishuka kiuchumi sio ajabu akakunyanyasa au kukuacha
 
Hawa wengi wanaishuia kuna masingle mama
 
Nasikitika bado kijana mdogo na hauna exposure yaani hauja experience vitu ,endelea kujifunza .


Naongea uhalisia sio ngonjera ,wazuri walishaachwa na wala sio hao wa kweny media wengi ni maarufu ila wazuri.....Uzuri wa mwanamke ukishamvua mvua mara kwa mara ndani ya mwaka unaisha .

Familia na ndoa ni zaidi ya uzuri ndio maana mtu yeyote anaweza kuoa na kuolewa hata akiwa mlemavu na kasoro za kimaumbile ..

Elewa hili upendo inategemea mtu kampendea nn mwenza wake labda sura ,kipato ,uwezo ,brand yake ,shape etc.

Hakuna mwanamke mzuri wa shape tu kama unabisha kuna wanaojiuza ni pisi mbaya ila watu wanatumia na kuacha wanaenda kuoa wanawake wengine ,ni kwamba kwa tabia zao mtu hawezi kuoa happ ishu ya shape ishakuwa haina mpango tena.

Kama bado uko migombani basi fanya uje town uende pale Mliman city ingia tu kuzuga kuna wasichana wa kila aina ,wengine wanajiuza kwa siri snaa tena matawi ya juu ila wanatumiwa tu na wahuni ,mshamba unaweza kujiingiza kuoa baada ukaja kupiga kelele hapa.

Watu wenye akili ikiwemo walioandika quran na waanzilishi wa uislamu wenyewe wanaungana na mimi kuwa moja ya sifa kuu ambazo mwanaume anatakiwa kuzitumia katika kuchagua mke ni Uzuri, tabia njema na Pesa.
Sasa wewe kalia hapo na simulizi zako.

Alafu huko wanapouza wengi ni wabaya kuliko wazuri weka akilini hiyo. Usidhani hatuwaoni huko mabarabarani.
 
Uhalisia ni kutafuta MKE mzuri, wa maumbile na kitabia.

Hayo maelezo mengine hayana maana yoyote na hutolewa na watu waliokata tamaa au waliokosa Wanawake Wazuri wa kuwaoa au wakuwa nao.

Hata Kwa wakulima huchukua Mbegu Bora kwaajili ya Kilimo.
Wafugaji halikadhalika.

Kwenye Ndoa pia Watu hutafuta sio tuu mapenzi Bali ni pamoja na ufahari,Mbegu Bora n.k.

Biblia na Quran zote zinatoa muongozo huohuo.

Hata kwenye Mila na desturi vivyohivyo. Hakuna mahali popote na viumbe wowote ambao hawataki Mwanamke mzuri. Hiyo haipo.

Na Kwa kukusaidia tuu Sifa ya Kwanza ya Mwanamke ni Uzuri, ukishasema Mwanamke hapo unazungumzia uzuri hasa uzuri WA maumbile. Sura nzuri, ngozi laini, umbo lenye mvuto, na Sauti tamu huyo ndio Mwanamke.

Maelezo mengine ni kujifariji
Mkuu nimekusoma tangu mwanzo, wewe unaongelea ilivyotakiwa iwe lakini kwenye Jamii yetu haipo hivyo. Mleta mada anaongelea uhalisia jinsi hali ilivyo kwenye Jamii. Nitakupa baadhi ya sababu. Wanawake aliowataja mleta mada mara nyingi tangu wapo form 1 wanatongozwa sana, wanahongwa sana, wengine wanatafutiwa hadi passport wakagongwe Dubai au kokote mbali. Hiyo yote Ili kuwaweka viganjani wagongwe kwa muda tu. Kwahiyo mwanamke mzuri,mwenye tako na hizo sifa kwa bongo mpaka anakuja kuolewa mara nyingi kashapitia mengi mpaka mwenyewe anasema acha niolewe tu mengine yatakulikana mbele ya safari. Hapo ndo kizaazaa kinapoanza Kwa aliyemuoa. Ukishamvalisha pete hakuna rangi utaacha kuona. Asilimia kubwa ya wanawake wazuri Wana drama nyingi sana, afadhali kidogo ukiwa na ela nyingi, yeye awe mtumiaji tu hapo sawa. Sababu ni jamii imeshawaharibu hata akiolewa akili yake inamdanganya kuwa ana soko kubwa hata akiachika na watoto wawili ataolewa tu. Wakifikisha miaka 40 ndo huwa wanashtuka na kuanza kujilaumu. Aliyoongea mleta mada ni ukweli Kwa 100% ,watu wanabisha Ili kujipa moyo. Duniani kuna aina mbili za makundi ya watu. Kuna wanaoelewa kwa kuangalia uhalisia wa jamii wanazoishi na kujifunza kupitia wengine na kuna kundi jingine kubwa ambalo kuelewa kwao mpaka wapitie changamoto wao wenyewe ndo akili iwakae sawa.
 
Watu wenye akili ikiwemo walioandika quran na waanzilishi wa uislamu wenyewe wanaungana na mimi kuwa moja ya sifa kuu ambazo mwanaume anatakiwa kuzitumia katika kuchagua mke ni Uzuri, tabia njema na Pesa.
Sasa wewe kalia hapo na simulizi zako.

Alafu huko wanapouza wengi ni wabaya kuliko wazuri weka akilini hiyo. Usidhani hatuwaoni huko mabarabarani.
Ndio maana nakwambia hujui kitu na porojo zako , hamna kitu utaniambia .

Kanywe gongo na viroba .

Hayo yote ni changamsha ila point kubwa ni dini ...Rudi kasome kwanza !!
 
1. Chura, Sura vinaleta hamasa katika ngono.
2. Vinafurahisha kila mara ukimtazama Mkeo, hachoshi. Wewe kazi yako ni kumtunza tuu.
2. Akivaa nguo anapendeza na hiyo inakupa ufahari popote uendako na ukiwa naye. Iwe ni Kanisani, au matukio ya jumuiya Mkeo akiwa na Sura na shape nzuri Sifa zinakuja kwako kuwa pale mwamba umeweza.

3. Ukizaa Watoto hasa wakike unazaa Watoto walionyooka hasa wakifuata maumbile ya Mama Yao. Shape na Sura nzuri ni Mbegu nzuri Kwa kizazi chako hasa mabinti.
Faida itakuja pale Watoto wako hawatapata shida ndogondogo za kutafuta wachumba na watapata upendeleo Kwa baadhi ya mambo Kutokana na uzuri waliorithi Kwa mama Yao.

4. Ni sifa na ufahari kuwa na MKE mzuri.
Hata Ibrahim alipata hifadhi Kwa urahisi nchi za mbali Kwa Sababu ya uzuri WA Mkewe.
Ni rahisi ukiwa na MKE mzuri Kupata mkopo kupitia uzuri wake.
Mwanamke mzuri Maisha hayawe,I kumshinda.

5. Watoto watajivunia uzuri WA Mama Yao.

6. Kazi ya Mkeo itazidisha uimara wa familia. Hasa kama atakuwa anakupenda na unaakili za mwanaume.

7. Dunia yote Hii, nature inaagiza Watu waoe Wanawake Wazuri Sana. Nature ni rahisi kukusapoti kama utaweza kuoa mwanamke mzuri mwenye Sifa ulizozitaja.

Ni ndoto ya kila Mwanadamu kuoa mwanamke mwenye Sifa ulizozitaja hapo.
Mengine huja kama visingizio tuu.
mbona unanichanganya mwandishi
 
Kwanini mnajutesa na wanawake wakuu, Hao wake zenu mnaowahangaikia kutwa kucha wanachapwa kimasihara na kina...
 
Hahahhaha ukio graduate my friend umeoa malaya
Anayebisha abishe
Kuna mademu walikua wanaliwa hata hadharani kama EXILE ikishindikana
Kuna kamoja kaliliwa chooni saa hivi hivi eti mke wa mtu kanazuga wife material
 
Yote uliyoongea hayana ushawishi wa kutupilia mbani hoja ya mleta mada.
1) Umesema chura na sura vinaleta hamasa ktk ngono. Hapo uko sahihi 50% shida ni kuwa siku hizi hiyo ngono imekuwa hisani kwa Wanaume siyo wajibu wa mwanamke kumpa mumewe tendo la ndoa. Wapo watu wengi wenye wanawake wenye hizo sura mzuri na shape lakini ndani ya nyumba panawaka moto. Mke ndo anapanga siku za kuzagazuana. In short, wanawake wengi wanaojiona warembo wana majivuno na viburi sn.
2) Unasema hachoshi wewe ni kumtunza tu. Ni kuambie tu kuwa mke ukishamvua chupi tu thamani yake hushuka toka 100% hadi 0%. Mbaya zaidi ukikaa naye muda mrefu ndo anazidi kukuchosha. Mwanamke humvutia mwanaume siku ya kwanza tu, lakini baada ya kuzagazuana kinachofuata ni kutimiza tu wajibu wa neno upendo. Nikuhakikishie tu kuwa wanaume wengi wenye wanawake wenye sura mzuri, shape, na tako ndo wanaongoza kuchepuka. Hivyohivyo wanawake wa aina hiyo ni wachepukaji hodari. Hii ni sawa na kusema ngoma huwa droo.

Pia usioe mwanamke kwa lengo la kusifiwa na washikaji km unavyosema. Mke ni wa kwako huna haja ya kuoa mwanamke kwa lengo la kuwafurahisha washikaji. Kumbuka unachoona wewe kizuri kinaweza kuwa kibaya kwa mwenziyo.

3) Umesema ukiwa na mke mzuri ukizaa watoto wanapata haraka soko la kuolewa. Nikwambie tu kuwa Mungu kaumba kila mtu na wake. Hata huyo mtoto unaedhani ni mbaya akikua atapata bonge la handsome. Dr. Remy(mnyazimungu amrehemu) aliwahi kulalamika kutokuwa wa kwanza ktk mashindano ya watu wenye sura mbaya, lakini alioa mzungu tena mkali.
4) Unasema ni sifa na ufahari kuoa mke mzuri. Narudia tena mwanaume haoi ili kuwaringishia watu au kutafuta umaarufu. Hiyo mifano ya mitume ilishabaki historia maana hata sasa hakuna wanaume km huyo mtume Ibrahim uliyemsema. Na hakuna wanawake wenye sifa kwa sasa km mke aliyemuoa. Wakati mwingine tusiishi kwa hustoria, tuishi kwa uhalisia uliopo kwa sasa.

Umeweka kibwagizo kuwa ukiwa na mke mzuri unaweza kukopesheka kirahisi, ha ha ha ha ha, wapi huko. Kwani mwanamke ni asset?

5) Unasema watoto watajivunia uzuri wa mama yao. Niseme tu kuwa hilo ni wazo lako binafsi. Watoto hujivunia utajiri wa baba yao. Ndo maana enzi zetu tukiwa watoto huko kijijini tukigombana tu utaskia unamwambia mwenziyo "ndo maana baba yako hana baiskeli" ha ha ha ha ha, huwezi kusema ndo maana baba yako hana mke mzuri.
6) Unasema kazi ya mkeo italeta uimara wa familia. Nikuulize tu kuwa, vp umeoa mfanyakazi? Nikwambie tu % kubwa ya wanawake wenye kazi na walioolewa pesa zao huwa ni zao na za mwanaume huwa za wote. Ni wachache sn wanaotumia mishahara yao kuhudumia familia/kuanzisha miradi na mumewe. Hao ni 30% tu.

Na ujuwe mshahara au kipato cha mkeo siyo chako na huna haki nacho sababu unapooa huwa unajiandaa kukabiliana na majukumu ya familia, sasa wewe unataka mwanamke akusaidie majukumu. Kwani wewe ndo umemuoa au yeye ndo kakuoa? Timiza majukumu yako, usimtegemee mwanamke au msaada wa mwanamke.

7) Umesema nature ina kusapoti kuoa mke mzuri. Nikuambie tu kuwa muda mwingine nature inakupa tu muongozo wa kwenye fikra (project on paper) lakini ukija kwenye uhalisia nature hiyohiyo inakukimbia inakuachia majanga.

NB. Mleta mada ameweza kuweka uhalisia zaidi kuliko maoni na mihemko ya hisia. Kuoa ni kutimiza tu wajibu wa imani zetu na tamaduni zetu, lakini furaha utaikuta mbinguni, kamwe usitegemee kupewa furaha na mwanadam mwenziyo isipokuwa Mungu pekee.

Nimemaliza; Bandokitita.
Mwamba haya madini uliotema hapa kama kuna ambaye haelewi basi huyo ni wale born mbishi...
 
1. Chura, Sura vinaleta hamasa katika ngono.
2. Vinafurahisha kila mara ukimtazama Mkeo, hachoshi. Wewe kazi yako ni kumtunza tuu.
2. Akivaa nguo anapendeza na hiyo inakupa ufahari popote uendako na ukiwa naye. Iwe ni Kanisani, au matukio ya jumuiya Mkeo akiwa na Sura na shape nzuri Sifa zinakuja kwako kuwa pale mwamba umeweza.

3. Ukizaa Watoto hasa wakike unazaa Watoto walionyooka hasa wakifuata maumbile ya Mama Yao. Shape na Sura nzuri ni Mbegu nzuri Kwa kizazi chako hasa mabinti.
Faida itakuja pale Watoto wako hawatapata shida ndogondogo za kutafuta wachumba na watapata upendeleo Kwa baadhi ya mambo Kutokana na uzuri waliorithi Kwa mama Yao.

4. Ni sifa na ufahari kuwa na MKE mzuri.
Hata Ibrahim alipata hifadhi Kwa urahisi nchi za mbali Kwa Sababu ya uzuri WA Mkewe.
Ni rahisi ukiwa na MKE mzuri Kupata mkopo kupitia uzuri wake.
Mwanamke mzuri Maisha hayawe,I kumshinda.

5. Watoto watajivunia uzuri WA Mama Yao.

6. Kazi ya Mkeo itazidisha uimara wa familia. Hasa kama atakuwa anakupenda na unaakili za mwanaume.

7. Dunia yote Hii, nature inaagiza Watu waoe Wanawake Wazuri Sana. Nature ni rahisi kukusapoti kama utaweza kuoa mwanamke mzuri mwenye Sifa ulizozitaja.

Ni ndoto ya kila Mwanadamu kuoa mwanamke mwenye Sifa ulizozitaja hapo.
Mengine huja kama visingizio tuu.
Ulichoandika nikwa mtazamo wako usitujumuishe.
 
Back
Top Bottom