Chura, shape, sura na kazi nzuri ya mkeo vimekusaidia nini katika maisha?

Chura, shape, sura na kazi nzuri ya mkeo vimekusaidia nini katika maisha?

Yote uliyoongea hayana ushawishi wa kutupilia mbani hoja ya mleta mada.
1) Umesema chura na sura vinaleta hamasa ktk ngono. Hapo uko sahihi 50% shida ni kuwa siku hizi hiyo ngono imekuwa hisani kwa Wanaume siyo wajibu wa mwanamke kumpa mumewe tendo la ndoa. Wapo watu wengi wenye wanawake wenye hizo sura mzuri na shape lakini ndani ya nyumba panawaka moto. Mke ndo anapanga siku za kuzagazuana. In short, wanawake wengi wanaojiona warembo wana majivuno na viburi sn.
2) Unasema hachoshi wewe ni kumtunza tu. Ni kuambie tu kuwa mke ukishamvua chupi tu thamani yake hushuka toka 100% hadi 0%. Mbaya zaidi ukikaa naye muda mrefu ndo anazidi kukuchosha. Mwanamke humvutia mwanaume siku ya kwanza tu, lakini baada ya kuzagazuana kinachofuata ni kutimiza tu wajibu wa neno upendo. Nikuhakikishie tu kuwa wanaume wengi wenye wanawake wenye sura mzuri, shape, na tako ndo wanaongoza kuchepuka. Hivyohivyo wanawake wa aina hiyo ni wachepukaji hodari. Hii ni sawa na kusema ngoma huwa droo.

Pia usioe mwanamke kwa lengo la kusifiwa na washikaji km unavyosema. Mke ni wa kwako huna haja ya kuoa mwanamke kwa lengo la kuwafurahisha washikaji. Kumbuka unachoona wewe kizuri kinaweza kuwa kibaya kwa mwenziyo.

3) Umesema ukiwa na mke mzuri ukizaa watoto wanapata haraka soko la kuolewa. Nikwambie tu kuwa Mungu kaumba kila mtu na wake. Hata huyo mtoto unaedhani ni mbaya akikua atapata bonge la handsome. Dr. Remy(mnyazimungu amrehemu) aliwahi kulalamika kutokuwa wa kwanza ktk mashindano ya watu wenye sura mbaya, lakini alioa mzungu tena mkali.
4) Unasema ni sifa na ufahari kuoa mke mzuri. Narudia tena mwanaume haoi ili kuwaringishia watu au kutafuta umaarufu. Hiyo mifano ya mitume ilishabaki historia maana hata sasa hakuna wanaume km huyo mtume Ibrahim uliyemsema. Na hakuna wanawake wenye sifa kwa sasa km mke aliyemuoa. Wakati mwingine tusiishi kwa hustoria, tuishi kwa uhalisia uliopo kwa sasa.

Umeweka kibwagizo kuwa ukiwa na mke mzuri unaweza kukopesheka kirahisi, ha ha ha ha ha, wapi huko. Kwani mwanamke ni asset?

5) Unasema watoto watajivunia uzuri wa mama yao. Niseme tu kuwa hilo ni wazo lako binafsi. Watoto hujivunia utajiri wa baba yao. Ndo maana enzi zetu tukiwa watoto huko kijijini tukigombana tu utaskia unamwambia mwenziyo "ndo maana baba yako hana baiskeli" ha ha ha ha ha, huwezi kusema ndo maana baba yako hana mke mzuri.
6) Unasema kazi ya mkeo italeta uimara wa familia. Nikuulize tu kuwa, vp umeoa mfanyakazi? Nikwambie tu % kubwa ya wanawake wenye kazi na walioolewa pesa zao huwa ni zao na za mwanaume huwa za wote. Ni wachache sn wanaotumia mishahara yao kuhudumia familia/kuanzisha miradi na mumewe. Hao ni 30% tu.

Na ujuwe mshahara au kipato cha mkeo siyo chako na huna haki nacho sababu unapooa huwa unajiandaa kukabiliana na majukumu ya familia, sasa wewe unataka mwanamke akusaidie majukumu. Kwani wewe ndo umemuoa au yeye ndo kakuoa? Timiza majukumu yako, usimtegemee mwanamke au msaada wa mwanamke.

7) Umesema nature ina kusapoti kuoa mke mzuri. Nikuambie tu kuwa muda mwingine nature inakupa tu muongozo wa kwenye fikra (project on paper) lakini ukija kwenye uhalisia nature hiyohiyo inakukimbia inakuachia majanga.

NB. Mleta mada ameweza kuweka uhalisia zaidi kuliko maoni na mihemko ya hisia. Kuoa ni kutimiza tu wajibu wa imani zetu na tamaduni zetu, lakini furaha utaikuta mbinguni, kamwe usitegemee kupewa furaha na mwanadam mwenziyo isipokuwa Mungu pekee.

Nimemaliza; Bandokitita.
Umetema jiwe juu ya jiwe. Wasipokuelewa basi wana roho mbaya tu
 
Moja ya matarajio yasiyo na uhalisia ktk maisha ya ndoa ni kuwaza kuwa "kwenye ndoa kuna Raha na furaha". Kamwe hili halipo.

Huwa wanaume wanahangaika kutafuta wanawake wenye mjumuiko (package) wa chura, shape, sura, rangi na kazi nzuri wakidhani vitu hivi vitaongeza raha na furaha ktk ndoa zao.

Wengi wameishia kupata msongo wa mawazo tu baada ya kugundua kuwa vyote hivi ni ubatili mtupu ktk ndoa. Wametumia nguvu na gharama kubwa kuvipata lkn having faida

1. Tako kubwa, shape, sura na rangi nzuri havileti ugali mezani.
2. Mshahara mkubwa wa mwanamke kutoka kwenye kazi yake nzuri hauonekani unapoenda. Hachangii chochote. Zaidi sana ataanza kuanzisha ujenzi ama biashara zake kwa siri.

Oa darasa la saba ambaye atatawalika, atakuwa msikivu, unaweza kumtuma, atalea watoto wako muda wote na utamtumia kukuza kipato. Haya mabeijiing, masuperwoman, manaharakati, mazungumza kiingereza ni mabishi, majuaji huwa hayazai, na yakizaa ni mtoto mmoja tu. Kwasabb yashatoa mimba sana hadi kufikia huko vyuoni.

Halafu wana wapenzi wengi mno, waliosoma nao ktk ngazi zote za elimu. Kuchapiwa ni nje nje. Hakuna mwanamke mbeijing asiyechapwa.


Nimemaliza!
🤔🤔🤔🤔🤔🤔
Ulikuwa wapi kuandika hizi nondo!?
Nimeshayakanyaga
 
Moja ya matarajio yasiyo na uhalisia ktk maisha ya ndoa ni kuwaza kuwa "kwenye ndoa kuna Raha na furaha". Kamwe hili halipo.

Huwa wanaume wanahangaika kutafuta wanawake wenye mjumuiko (package) wa chura, shape, sura, rangi na kazi nzuri wakidhani vitu hivi vitaongeza raha na furaha ktk ndoa zao.

Wengi wameishia kupata msongo wa mawazo tu baada ya kugundua kuwa vyote hivi ni ubatili mtupu ktk ndoa. Wametumia nguvu na gharama kubwa kuvipata lkn having faida

1. Tako kubwa, shape, sura na rangi nzuri havileti ugali mezani.
2. Mshahara mkubwa wa mwanamke kutoka kwenye kazi yake nzuri hauonekani unapoenda. Hachangii chochote. Zaidi sana ataanza kuanzisha ujenzi ama biashara zake kwa siri.

Oa darasa la saba ambaye atatawalika, atakuwa msikivu, unaweza kumtuma, atalea watoto wako muda wote na utamtumia kukuza kipato. Haya mabeijiing, masuperwoman, manaharakati, mazungumza kiingereza ni mabishi, majuaji huwa hayazai, na yakizaa ni mtoto mmoja tu. Kwasabb yashatoa mimba sana hadi kufikia huko vyuoni.

Halafu wana wapenzi wengi mno, waliosoma nao ktk ngazi zote za elimu. Kuchapiwa ni nje nje. Hakuna mwanamke mbeijing asiyechapwa.


Nimemaliza!
Suala la kuoa sio la kupangiana, wewe oa la saba, kuna mwenzako yeye anataka form four, mwingine anataka ambae hajafika hata chekechea, kuna wengine wanataka masters, kwa hiyo hebu waache wana wachague wanachotaka
 
Hayo ni maneno ya kinafiki yanayotumiwa na Wanafiki.
Wapo Wanawake Wazuri Sana, Wazuri wa kawaida na wasio na uzuri(mvuto).
Halikadhalika na Wanaume.

Kwenye huu Ulimwengu zipo. Pande mbili.
Wapo warefu na wafupi.
Weupe na weusi
Wenye Akili na wajinga.
Matajiri na Maskini

Nasisitiza, ni Watu Wanafiki ambao wanasema to binadamu wote ni Wazuri na kukataa hakuna wabaya iwe kimaumbile au kitabia.

Kaa ukijua kila Jambo linakazi na sababu yake, wale wasio Wazuri Kwa mvuto WA mapenzi wanaweza kuwa Wazuri kwenye mambo mengine.
Lakini tunapozungumzia uzuri WA maumbile wenye kuvutia moyo na macho basi wapo Wazuri na wapo wabaya.
Ila kwenye matumizi ya maumbile Lila mmoja anamatumizi yake ndio maana tupo na tunaishi
Nasikitika bado kijana mdogo na hauna exposure yaani hauja experience vitu ,endelea kujifunza .


Naongea uhalisia sio ngonjera ,wazuri walishaachwa na wala sio hao wa kweny media wengi ni maarufu ila wazuri.....Uzuri wa mwanamke ukishamvua mvua mara kwa mara ndani ya mwaka unaisha .

Familia na ndoa ni zaidi ya uzuri ndio maana mtu yeyote anaweza kuoa na kuolewa hata akiwa mlemavu na kasoro za kimaumbile ..

Elewa hili upendo inategemea mtu kampendea nn mwenza wake labda sura ,kipato ,uwezo ,brand yake ,shape etc.

Hakuna mwanamke mzuri wa shape tu kama unabisha kuna wanaojiuza ni pisi mbaya ila watu wanatumia na kuacha wanaenda kuoa wanawake wengine ,ni kwamba kwa tabia zao mtu hawezi kuoa happ ishu ya shape ishakuwa haina mpango tena.

Kama bado uko migombani basi fanya uje town uende pale Mliman city ingia tu kuzuga kuna wasichana wa kila aina ,wengine wanajiuza kwa siri snaa tena matawi ya juu ila wanatumiwa tu na wahuni ,mshamba unaweza kujiingiza kuoa baada ukaja kupiga kelele hapa.
 
Moja ya matarajio yasiyo na uhalisia ktk maisha ya ndoa ni kuwaza kuwa "kwenye ndoa kuna Raha na furaha". Kamwe hili halipo.

Huwa wanaume wanahangaika kutafuta wanawake wenye mjumuiko (package) wa chura, shape, sura, rangi na kazi nzuri wakidhani vitu hivi vitaongeza raha na furaha ktk ndoa zao.

Wengi wameishia kupata msongo wa mawazo tu baada ya kugundua kuwa vyote hivi ni ubatili mtupu ktk ndoa. Wametumia nguvu na gharama kubwa kuvipata lkn having faida

1. Tako kubwa, shape, sura na rangi nzuri havileti ugali mezani.
2. Mshahara mkubwa wa mwanamke kutoka kwenye kazi yake nzuri hauonekani unapoenda. Hachangii chochote. Zaidi sana ataanza kuanzisha ujenzi ama biashara zake kwa siri.

Oa darasa la saba ambaye atatawalika, atakuwa msikivu, unaweza kumtuma, atalea watoto wako muda wote na utamtumia kukuza kipato. Haya mabeijiing, masuperwoman, manaharakati, mazungumza kiingereza ni mabishi, majuaji huwa hayazai, na yakizaa ni mtoto mmoja tu. Kwasabb yashatoa mimba sana hadi kufikia huko vyuoni.

Halafu wana wapenzi wengi mno, waliosoma nao ktk ngazi zote za elimu. Kuchapiwa ni nje nje. Hakuna mwanamke mbeijing asiyechapwa.


Nimemaliza!
Mkuu umefanya nitafakar hapo kwenye
2.Mshahara mkubwa wa mke

Nimejiuliza inamaana kuna wanaume hawana noma wakezao wakiwa wanapambana kutoka 12 asubuhi mpaka 12 jioni ?

Pia nikawaza inamaana kuna wanaume hawana noma kuruhusu wake zao kusafir kikazi wiki hata mwezi?

Pia nikajiuliza pia inamaana kuna wanaume wanapenda wanawake wapambanaji watafutaji ilihali yeye yupo
1.alilipa mahali yote bila kukopa
2.amejenga nyumba
3.anasomesha watoto
4.miradi na biashara anayopia.

Aisee kweli wanaume tofautiana.

Mimi nadhan mwanamke kazi na mission yake hapa duniani ilikuwa ni kuwa mama wa nyumbni
Nakuwa back up singer wa mumewe.
 
Dunia ya sasa mwanaume uwe umesoma au hukusoma mke bora akufaaye na mwenye afadhali ni form six shuka chini mpaka ambao hawana shule kichwani.

Huu ni ukweli ambao wavivu na waogopa maisha huwa hawataki kuusikia lakini tangu mwanzo issue ya ndoa haikuwekwa kwamba mkasaidiane maisha iliwekwa mke akazae alee watoto nyumbani baba atoke akatafute kula yao lakini leo wajinga wanataka mke akatafute hela ya kusomesha watoto wao wakatafute hela ya kula na kujenga which is haiwezekani haya kufanyika kwa pamoja.
 
Nafikiri wewe ni miongoni mwa Watu wenye upeo Mdogo kama walivyo Watu wengi katika kuchanganua Mambo.

Kwanza elewa mada inahusu nini ndipo uijadili.

Kichwa cha Uzi kimeandika;

Chura, shape, sura na kazi nzuri ya mkeo vimekusaidia nini katika maisha?​

Upo babu!

Mimi nimetaja Faida, kuhusu Tabia hata wenye sura Mbaya, wasio na shape za kuvutia, wasio chura na wale magolikipa wapo wenye tabia Mbaya.
Na hata Huko ulipokutaja sijui Mlimani city wapo wanaojiuza na Wana Sura Mbaya,

Unachanganya mambo na bila Shaka hujui unazungumzia kitu gani.

Hao Wanawake uliowalala alafu ukawaona sio Wazuri basi jua ulikuwa umejaa tamaa ya ngono tuu.

Mwanamke mzuri ni mzuri tuu iwe umemlala au haujamlala.
Kumzoea mwanamke hakubadilishi chochote kwenye uzuri wake.

Yaani ukimzoea Mwanamke hapohapo kama alikuwa na shape basi shape inaisha? Alafu ukiambiwa unaupeo mdogo unarusha ngumi.

Kwa hiyo Kwa Upeo wako ukila nyama kila Siku ukazikinai, huo ukinaifu ndio unaifanya nyama kutokuwa tamu au nzuri?

Ukitaka Mbegu nzuri huwezi ipata kwenye Mbegu Mbaya.
Wanasema huwezi panda kwenye mwembe ukavuna mafenesi.

Wewe uko Huko mjini lakini unaupeo mdogo, sijui ungekaa huku Vijijini ungekuwa na Akili fupi Kwa kiwango gani?

Uzuri hauishi, ninyi mnawachakaza Wanawake na makazi yenu ya hovyo alafu mnasema uzuri wao unaisha. Ukishakuwa Maskini wa mawazo ndio matokeo yake haya.

Tunza Mkeo uone kama huo uzuri utauona umeisha.

Uliposema tuu kuwa ukishakuwa na Mwanamke Mwaka mzima unamuona sio mzuri umejitambulisha kama Mwanaume usiyeweza kutunza Mkeo. Huwezi kusimamia majukumu yako.
🤣🤣🤣Uongelea vitu havipo kabisa kwa sababu ushazoea kutunga vitu ambavyo havina faida ka shigongo ..

Huwaga sisomi story za kutunga kwa watu weny akili ndogo ,hapa nakupa uhalisia🤣🤣.
Nakuelezea uhalisia sio nadharia kijana eti mvuto wa kusex ? Nakupa ule ukweli baada ya mwaka mapenzi na hiyo bodi unaona kawaida hata umtunze vip na mimi ni jukumu langu kumtunza ,kumpa mkazi ,kumpa ulinzi ,kumlipa akionyeyesha mwanangu , kumsaidia kazi , kumvisha ,kumlisha na mengine hayo ndio majukumu yangu kama mwanaume.


Wewe unaongelea faida ambazo zinaweza kuvunjika kwa kitu kimoja tu "kiburi" akileta nyodo hayo yote yanapotea hayana maana ndio maana tabia ni zaidi ya yote ...Mara mtu kachokwa na gunia la mkaa kwamba jamaa hajui uzuri wa huyo demu au shape yake?

Hayo yote yanakufa mbele ya tabia kama itakuwa hovyo ...

Point ni tabia hizo zote ni takataka hazina maana watu walioa mamiss na wakatemana sembuse hao weny vitabu 🤣🤣.
 
Hicho Kiburi wenye maumbile yasiyovutia hawawezi kuwa nacho?

Ninyi ndio mnadhani MTU kuwa Mbaya kimaumbile ndio kigezo cha kuwa na tabia nzuri Jambi ambalo sio Sahihi.

Nimrkuongezea kuwa ukiona huuoni uzuri WA Mkeo kama zamani basi jua humtunzi. Huo ndio ukweli
Ndio maana jamaaa kauliza hivyo vitu vina mvuto gani kweny ndoa ukikuta kuna mambo ya hovyo kama kiburi ,jeuri unajuta kabisa.

Hizo ni sifa za nje yaaniphysical appearance zinaweza kukuvutia ila hazina mchango katika ndoa kama tabia na asili ya mtu.
 
Moja ya matarajio yasiyo na uhalisia ktk maisha ya ndoa ni kuwaza kuwa "kwenye ndoa kuna Raha na furaha". Kamwe hili halipo.

Huwa wanaume wanahangaika kutafuta wanawake wenye mjumuiko (package) wa chura, shape, sura, rangi na kazi nzuri wakidhani vitu hivi vitaongeza raha na furaha ktk ndoa zao.

Wengi wameishia kupata msongo wa mawazo tu baada ya kugundua kuwa vyote hivi ni ubatili mtupu ktk ndoa. Wametumia nguvu na gharama kubwa kuvipata lkn having faida

1. Tako kubwa, shape, sura na rangi nzuri havileti ugali mezani.
2. Mshahara mkubwa wa mwanamke kutoka kwenye kazi yake nzuri hauonekani unapoenda. Hachangii chochote. Zaidi sana ataanza kuanzisha ujenzi ama biashara zake kwa siri.

Oa darasa la saba ambaye atatawalika, atakuwa msikivu, unaweza kumtuma, atalea watoto wako muda wote na utamtumia kukuza kipato. Haya mabeijiing, masuperwoman, manaharakati, mazungumza kiingereza ni mabishi, majuaji huwa hayazai, na yakizaa ni mtoto mmoja tu. Kwasabb yashatoa mimba sana hadi kufikia huko vyuoni.

Halafu wana wapenzi wengi mno, waliosoma nao ktk ngazi zote za elimu. Kuchapiwa ni nje nje. Hakuna mwanamke mbeijing asiyechapwa.


Nimemaliza!
Ina ukweli Ila watakuja kupinga. Mke mwenye kipato chake kuchangia kwa familia Hakuna hasahasa hata kitunguu Cha Mia hatoi,wao Ni wabinafsi and they're Best traders ever they know how to transact low value with high value
 
Niki WA pili kamzidi nini Mbishi??
Majina yao yamefanana tu, alafu Kuna kipindi mbishi kamchana niki wa pili, ye msemaji Kama Nani? Ye msemaji wa kundi lake, mawazo yangu Mimi hayajui haache kujiita msemaji wa wasanii wote/ mke wake ni msomi mshepu mzuri.... Mengine Siri ya kambi....
 
Majina yao yamefanana tu, alafu Kuna kipindi mbishi kamchana niki wa pili, ye msemaji Kama Nani? Ye msemaji wa kundi lake, mawazo yangu Mimi hayajui haache kujiita msemaji wa wasanii wote/ mke wake ni msomi mshepu mzuri.... Mengine Siri ya kambi....
Hapo nimekupata, nilijua unaongelea usomi wake. Niki WA pili msomi wa content nyepesi alafu anajitapa eti msanii msomi
 
Uhalisia ni kutafuta MKE mzuri, wa maumbile na kitabia.

Hayo maelezo mengine hayana maana yoyote na hutolewa na watu waliokata tamaa au waliokosa Wanawake Wazuri wa kuwaoa au wakuwa nao.

Hata Kwa wakulima huchukua Mbegu Bora kwaajili ya Kilimo.
Wafugaji halikadhalika.

Kwenye Ndoa pia Watu hutafuta sio tuu mapenzi Bali ni pamoja na ufahari,Mbegu Bora n.k.

Biblia na Quran zote zinatoa muongozo huohuo.

Hata kwenye Mila na desturi vivyohivyo. Hakuna mahali popote na viumbe wowote ambao hawataki Mwanamke mzuri. Hiyo haipo.

Na Kwa kukusaidia tuu Sifa ya Kwanza ya Mwanamke ni Uzuri, ukishasema Mwanamke hapo unazungumzia uzuri hasa uzuri WA maumbile. Sura nzuri, ngozi laini, umbo lenye mvuto, na Sauti tamu huyo ndio Mwanamke.

Maelezo mengine ni kujifariji
Wandewa wanasemaga mtu isipomfaa akili yake,basi utamdhuru ujinga wake. 😀
 
Back
Top Bottom