Clement Mzize ni under 20?

Kwaio mtu akiwa namwili wamiraba mi 4 ndio anakua mzee! Unataka mchezaj akonde kama yule zimbwe jr wenu tumia akil mkuu
Hapo Gongowazi ni nani mwenye mwili wa miraba minne?

Labda Juma Shabani maana tulimsikia Zahera akimsema kuwa ananenepa hovyo.

Sasa kama kunenepa ndio miraba minne basi siwezi kubisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…