Clement Mzize usiwe mjinga, pigania maslahi yako!

Biashara ya mpira siyo ya utumwa. Mchezaji ulimpata bure unakataa vipi hata kukaa mezani kumsikiliza mtu anayetaka kumnunua kwa zaidi ya milioni 500?

Kuna nini nyuma ya pazia mnachotaka kisijulikane?
Nenda kausome huo Mkataba wao
 
Kwaiyo unataka auzwe sasa hivi na timu Iko kwenye harakati za kufuzu robo fainali? Utawatafutia replacement yake kwa muda huu kwenye hili dirisha? Unadhani vilabu vinauza tu wachezaji kiholela bila kuangalia mazingira yaliyopo,,kauzeni na nyie wa kwenu kina mutale mmeshindwa nini!
 
Narudia tena feisali analipwa 16m mzinze analipwa 7m, feitoto analipwa pesa mara 2 ya mzize akiwa na kipengele kinachosema akifikisha magoli 10 anapewa 10m.

Huna unachokijua
Huna unachokijua
Huna unachokijua utopolo mkubwa ww
Acha porojo weka mkataba hapa
 
Mzize anamiaka 21 ,
swali ni
  • je ataweza kupambania namba hapo wydad..?
  • Unakumbuka samatta wakati anatoka TP Mazembe alikuwa ameachive nini kwenye ligi ya mabingwa
 
Feisali analipwa hela mara 2 ya hela anayolipwa mzinze hapo yanga, feisal kachukua signing on fee zaidi ya m400, feisal kapewa nyumba ya gorofa moja na range rover mpya ya kutembelea.
Acha Kujiachia Kiasi Hiki Utafedheheka
 
Acha pumba wewe; unaingiaje kwenye maisha yake? Unajua plani zake? Ulikuwa wapi kumshauri hadi amefanikiwa ndipo unaleta kimbelemebele? Ungeaza kumshauri wakati bado ni dereva wa boda boda.

Utakuwa ni kati ya wanaoparamia embe lolote linaloning'inia kwenya tawi la chini hata kabla embe hilo hailjaiva.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…