Hanifer Mjanja
JF-Expert Member
- Dec 10, 2019
- 217
- 329
- Thread starter
-
- #181
Ni sawa, ila kwa Tanzania hawakupewa usajili kwa ajili ya kutoa huduma za abortion, maana ni kinyume cha sheria za nchi.Yes Katiba yao inasema : Iwapo mwanamke anamimba labda kabakwa au akuwa Tayari kuzaa(mfano yupo JKT(kwa Tanzania) ni mfano tu! Au yupo Chuo etc - Yaani ana sababu ya msingi kama yeye- Rukhusa Kutoa MIMBA! Ata yeye Mwanzilishi alianzisha hii Marie Stopies kwa sababu alikuwa ataki tena zaa na mume wake wa Ndoa😭Yes Marie Stopies aliamuwa ataki tena zaa na mumewe wa Ndoa- na Leo hii UK ambako ndo asili ya Marie Stopies Mkeo wa Ndoa kama amesema ataki usex nae- ukiforce Ni Kesi ya KUBAKA- na anaweza enda akaitoa mimba na ana kosa kisheria
Ok asante kwa ufafanuzi - hapo nimeelewa shukhurani🙏🏽Ni sawa, ila kwa Tanzania hawakupewa usajili kwa ajili ya kutoa huduma za abortion, maana ni kinyume cha sheria za nchi.
Hujali sheria wala nini, unataka kuwachafua tuuNi sawa, ila kwa Tanzania hawakupewa usajili kwa ajili ya kutoa huduma za abortion, maana ni kinyume cha sheria za nchi.
Sawa nimekuelewa sasa! Ni sawa kuwa Leseni yao ya Tanzania sio kama ile ya UK ! Hapo sawa . Sasa nimeelewaNi sawa, ila angalia website yao kwa Tanzania hapa What we do. hakuna sehemu wamesema wanatoa huduma za abortion, kwa sababu wanajua ni kinyume cha sheria, na walipoomba usajili Tz, hawakuomba kwa ajili ya kutoa huduma za kutoa mimba (cheki screenshot niliyo attach)
Yes, yaani walivyosajiliwa hapa bongo kama Marie Stopes Tanzania, imebidi waendane na sheria ya nchi, hivyo abortion haikwepo katika moja ya huduma ambazo wamekua authorized kuzitoa nchini, maana sheria ya nchi hairuhusu.Ni sawa, ila kwa Tanzania hawakupewa usajili kwa ajili ya kutoa huduma za abortion, maana ni kinyume cha sheria za nchi.
Kwa nini unahisi hivyo?Hujali sheria wala nini, unataka kuwachafua tuu
Hatuwezi kujadili hali ya mtoa mimba wakati sheria hairuhusu,anatoa kwa sheria ipi?mbona huku mtaani akitoa mimba akikamatwa anashtakiwa?na daktari nae ananyang'anywa leseni?kwanini kuwe na double standard,Hao Marie Stops nani kawaruhusu kutoa mimba?Sijasema iruhusiwe nimesema angalia huyo anaeamua kutoa mimba ana hali gani, unajua binadamu mnajua kulaumu tu hamjui kuangalia upande wa pili nini kimepelekea atoe mimba?
Hapana, soma vizuri uzi wangu. Nimeona tu siwezi kuendelea kushiriki hili. Nimeamua kupaza sauti ili mamlaka husika zichukue hatua stahiki.Wamekufukuza kazi mkuu?
Wanao support abortion nadhani approach yao inabidi kuwa kufanya ushawishi zaidi kwa wizara ya Afya na wizara ya sheria ili mabadiliko ya sheria yafanyike waruhusu abortion nchini. Ila sio ku support uvunjaji wa sheria unaoendelea kwa kigezo cha kwamba ni uamuzi wa mtoaji.Hatuwezi kujadili hali ya mtoa mimba wakati sheria hairuhusu,anatoa kwa sheria ipi?mbona huku mtaani akitoa mimba akikamatwa anashtakiwa?na daktari nae ananyang'anywa leseni?kwanini kuwe na double standard,Hao Marie Stops nani kawaruhusu kutoa mimba?
Yani kheee kazi ipoSoma uzi vizuri, mbona nimeeleza wazi?
Ungekua unafanya kazi hapa nahisi ungetoa machozi.Yani kheee kazi ipo
sasa ya mwenge ndo balaa, vitoto vya ustawi wa jamii vimeharibu vizazi vyao hapo, na zaidi ustawi magonjwa ya,zinaa PID,KISONONO na KASWENDE ndo usiseme, ukienda hapo marie stopes utakutana na foleni ya vitoto vya ustawi.Clinic ya Marie Stopes iliyoko jijini Mwanza wanajihusisha na vitendo vya utoaji mimba. Mimba zinatolewa sana hapa, hasa za wanafunzi wa vyuo vikuu. Mchezo unaofanyika ni kwamba wanawake wanaohitaji hiyo huduma hufika hapo na huulizia huduma ya abortion, au kwa kujifanya mimba imeharibika.
Kinachofuata, mhusika anafanyiwa huduma inaitwa "dilatation and curateage", ambayo kimsingi ni kutanua njia ya shingo ya kizazi, kisha kuharibu mimba kwa kusafisha kizazi.
Sasa, the way wana record hiyo ili kuficha huo uozo ni wana record kama vile mtu alikuja na "miscarriage" tayari au "incomplete abortion" halafu kuwa wao wakasafisha tu kizazi kuondoa mabaki yaliyobaki kwenye kizazi, lakini ukweli ni kwamba wanakua wameharibu mimba na kufanya abortion ila kwenye rekodi zao wanaonyesha kama vile ni incomplete abortion.
Kuna uwezekano pia timu ya usimamizi wa huduma za afya ya halmashauri na hata ya mkoa inajua kabisa mchezo unaoendelea lakini wananyamazishwa kwa bahasha, maana hizi habari ziliwahi kuripotiwa kwao lakini hakukua na hatua zozote ziulizofuata.
Pia, hawa watu kuanzia wakati wa usahili kama unataka kuajiriwa pale kama daktari au muuguzi, wanakuuliza kabisa wewe mtazamo wako kuhusu utoaji mimba ukoje, na wanakupa scenario kuwa ikitokea wakati unatimiza majukumu yako halafu akaja mteja ambae anataka kutoa mimba je utachukua hatua gani? Ukitoa majibu ambayo yanaonyesha kama vile unapinga mambo ya abortion, wanakuchinjia baharini hupati hiyo kazi.
Tukumbuke kuwa kwa nchi yetu, utoaji wa mimba (abortion) ni kinyume cha sheria za nchi.
Nimeona nifichue hili jamani nimechoka vitendo hivi kila siku nashiriki utoaji mimba ila ni kwa sababu ya njaa tu, nimeona nije kutoa ripoti huku, Wizara ya Afya Tanzania fuatilieni hili mchukue hatua.
Nendeni pale kagueni records zao muone walivyo na "incomplete abortion" kibao ambazo wanazifanyia dilatation and curatage, hizo zote ni mimba ambazo zimetolewa hakuna cha incomplete abortion wala nini.
Fanyeni uchunguzi kwa makini, mtagundua kitu, ila msiende kichwa kichwa.
Asante.
Mhhh aiseh Mungu atisaidieUngekua unafanya kazi hapa nahisi ungetoa machozi.
Yaani mimba zinaflashiwa kama vile ni kutoa funza mguuni.
Duuuhhh hatari sana!!sasa ya mwenge ndo balaa, vitoto vya ustawi wa jamii vimeharibu vizazi vyao hapo, na zaidi ustawi magonjwa ya,zinaa PID,KISONONO na KASWENDE ndo usiseme, ukienda hapo marie stopes utakutana na foleni ya vitoto vya ustawi.
.WAZAZI NA,WALEZI WAELIMISHENI MABINTI ZENU, watakosa kuzaa maana via vya uzazi vinaharibiwa mno
Sana tu kwa kweli.Mhhh aiseh Mungu atisaidie
Unawaharibia watu biashara zaoClinic ya Marie Stopes iliyoko jijini Mwanza wanajihusisha na vitendo vya utoaji mimba. Mimba zinatolewa sana hapa, hasa za wanafunzi wa vyuo vikuu. Mchezo unaofanyika ni kwamba wanawake wanaohitaji hiyo huduma hufika hapo na huulizia huduma ya abortion, au kwa kujifanya mimba imeharibika.
Kinachofuata, mhusika anafanyiwa huduma inaitwa "dilatation and curateage", ambayo kimsingi ni kutanua njia ya shingo ya kizazi, kisha kuharibu mimba kwa kusafisha kizazi.
Sasa, the way wana record hiyo ili kuficha huo uozo ni wana record kama vile mtu alikuja na "miscarriage" tayari au "incomplete abortion" halafu kuwa wao wakasafisha tu kizazi kuondoa mabaki yaliyobaki kwenye kizazi, lakini ukweli ni kwamba wanakua wameharibu mimba na kufanya abortion ila kwenye rekodi zao wanaonyesha kama vile ni incomplete abortion.
Kuna uwezekano pia timu ya usimamizi wa huduma za afya ya halmashauri na hata ya mkoa inajua kabisa mchezo unaoendelea lakini wananyamazishwa kwa bahasha, maana hizi habari ziliwahi kuripotiwa kwao lakini hakukua na hatua zozote ziulizofuata.
Pia, hawa watu kuanzia wakati wa usahili kama unataka kuajiriwa pale kama daktari au muuguzi, wanakuuliza kabisa wewe mtazamo wako kuhusu utoaji mimba ukoje, na wanakupa scenario kuwa ikitokea wakati unatimiza majukumu yako halafu akaja mteja ambae anataka kutoa mimba je utachukua hatua gani? Ukitoa majibu ambayo yanaonyesha kama vile unapinga mambo ya abortion, wanakuchinjia baharini hupati hiyo kazi.
Tukumbuke kuwa kwa nchi yetu, utoaji wa mimba (abortion) ni kinyume cha sheria za nchi.
Nimeona nifichue hili jamani nimechoka vitendo hivi kila siku nashiriki utoaji mimba ila ni kwa sababu ya njaa tu, nimeona nije kutoa ripoti huku, Wizara ya Afya Tanzania fuatilieni hili mchukue hatua.
Nendeni pale kagueni records zao muone walivyo na "incomplete abortion" kibao ambazo wanazifanyia dilatation and curatage, hizo zote ni mimba ambazo zimetolewa hakuna cha incomplete abortion wala nini.
Fanyeni uchunguzi kwa makini, mtagundua kitu, ila msiende kichwa kichwa.
Asante.
Unafahamu kuwa utoaji wa mimba ni kinyume cha sheria kwa nchini Tanzania? Wanatoaje huduma ambayo sheria yetu hairuhusu? Hata wao wanajua hawafanyi sawa ndio maana wanadanganya kwenye ku document.
Baada ya kuzikusanya hizo hela kutokana na kutoa mimba mpaka umetosheka sasa hivi ndio unajifanya huwezi endelea kushiriki?? Kama kuua umeshaua na hata ukipaza sauti haitabadilisha wewe ni muuwaji shame on you.....acha unafiki ungepaza sauti kabla hujajihusisha nao eti leo shida zako zimeisha unajifanya nyoko nyoko....hypocrite!!!!Hapana, soma vizuri uzi wangu. Nimeona tu siwezi kuendelea kushiriki hili. Nimeamua kupaza sauti ili mamlaka husika zichukue hatua stahiki.
Ni kazi sana hiyo jamaa kukuelewa, wafunga kituo unakuta ndiyo wafadhili wa hizo ishu, dunia uwanja wa fujo aiseeKutoa mimba gharama zake Ni sh ngapi ?
Hizo njaa zako ulizozisema zinashibishwakwa hela za hao wanaofanya abortion !
Usiharibu biashara ya watu wengine, kituo kikifungwa/wakinyang'anywa leseni utakula mawe ?
Kistaarabu ulitakiwa uondoke hapo ukatafute maisha sehemu nyingine !
Kuwasagia kunguni sio suluhisho!
Mkuu nikuambie hii dunia haina huruma hata kidogo,,, , ,,, wewe fanya Mambo yako yanayokuhusu tu,,, dunia imejaa kila Aina ya ushetani, Kuna watu wanakula mpaka nyama za binadam wenzao ,,, !