Hanifer Mjanja
JF-Expert Member
- Dec 10, 2019
- 217
- 329
- Thread starter
- #141
Napata shida kukuelewa. Kwa nini sasa mamlaka zisiruhusu tu utoaji mimba kama baadhi ya nchi?Naomba uelewe nililoandika dada yangu
Japo sheria inaweza tumiwa vibaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Napata shida kukuelewa. Kwa nini sasa mamlaka zisiruhusu tu utoaji mimba kama baadhi ya nchi?Naomba uelewe nililoandika dada yangu
Japo sheria inaweza tumiwa vibaya
Soma uzi vizuri, mbona nimeeleza wazi?Ooh Sawa SawA we unafanya kazi hapo bila shaka.
Sheria ya jela miaka 30 haijakaa poa aisee. Kama umempa mwanafunzi mimba ikashindikana kusuluhisha nje ya mahakama bora kuitoa tu maana miaka 30 jela ni kuharibu maisha mazima wakati kitanda hakizai haramu. Pia sheria ya ndoa inaruhusu mtoto wa miaka 16 kuolewa na utakuta uliyempa ni miaka 19 ila mwanafunzi.Uzuri wao wana vifaa vya kisasa wala mtolewaji hasikii maumivu kabisa 🤣🤣🤣 hawatumii machuma kama wale wa hospitali za kata!
Hadi nimekuja kulisema hapa, najua wazi kabisa kuwa uwezekano wa mimi kujulikana na kufukuzwa kazi upo, ila kwa hatua niliyofikia ni bora tu nifukuzwe kazi kuliko kuendelea kushiriki huu uuaji na uvunjaji wa sheria za nchi.Ili umkamate red handed, na kumfukuza kazi mara moja!! Sema tu na yeye amejiachia mno. Hivi hao waajiri wake wakifanya uchunguzi mdogo tu kwa wahudumu wao wa afya hapo kituoni, watamkamata kirahisi sana.
Na kama watashindwa, waniite mara moja ili niwakabidhi mhusika wao( just kidding 🤗)
Mfadhili mkuu wa marie stopes kifedha ni nani? Pesa ya hawa wazungu inakuja na mashartiWamama wanatuulia watoto wakiwa tumboni
Ukinipa mimba siwezi kuitoa, nitalea mwanangu kwa jua na mvua.Sasa wewe bila pesa utakubali kuwa mke wangu na mimba nikikupa hutatoa?
Mkuu vipi .. naomba nikutongoze basi?Ukinipa mimba siwezi kuitoa, nitalea mwanangu kwa jua na mvua.
Hahahaha..!! Kuhusu kuwa mkeo, ukijieleza vizuri hata bila pesa mbona naweza tu kukubali? Labda uwe domo zege[emoji23][emoji23]
Wafadhili wao wakubwa hawa ni serikali ya Uingereza, kupitia shirika lao la misaada la UKAID, pia kuna Bill & Melinda Gates foundation, shirika la misaada la Australia, Shirika la misaada la Ufaransa,UNFPA, na wengine wengi tu. Hawa wana funders kibao.Mfadhili mkuu wa marie stopes kifedha ni nani? Pesa ya hawa wazungu inakuja na masharti
Ni kweli unalosema kuhusu adhabu ya miaka 30 jela.Sheria ya jela miaka 30 haijakaa poa aisee. Kama umempa mwanafunzi mimba ikashindikana kusuluhisha nje ya mahakama bora kuitoa tu maana miaka 30 jela ni kuharibu maisha mazima wakati kitanda hakizai haramu. Pia sheria ya ndoa inaruhusu mtoto wa miaka 16 kuolewa na utakuta uliyempa ni miaka 19 ila mwanafunzi.
Nimefurahi sana kuona kumbe wanawake mnaojielewa bado mpo. Tafadhali nipatie namba, venue na tarehe ya interview ili tuweke mambo sawa 😀Ukinipa mimba siwezi kuitoa, nitalea mwanangu kwa jua na mvua.
Hahahaha..!! Kuhusu kuwa mkeo, ukijieleza vizuri hata bila pesa mbona naweza tu kukubali? Labda uwe domo zege😂😂
😂😂😂Kuwa serious bwana, halafu sasa umechelewa.Mkuu vipi .. naomba nikutongoze basi?
Unafikiri kwa nini mnapata customers wengi?Wafadhili wao wakubwa hawa ni serikali ya Uingereza, kupitia shirika lao la misaada la UKAID, pia kuna Bill & Melinda Gates foundation, shirika la misaada la Australia, Shirika la misaada la Ufaransa,UNFPA, na wengine wengi tu. Hawa wana funders kibao.
Njoo hapa hapa Marie Stopes Mwanza kesho saa nane kamili mchana😂😂Basi naomba nipe namba na tarehe ya interview ili tuweke mambo sawa 😀
Tafuta ID inayoendena na jinsia yako... Wanawake Huwa hawacheki namna ulivyocheka.[emoji23][emoji23][emoji23]Kuwa serious bwana, halafu sasa umechelewa.
Wewe unaonekana huijui hii nchi kwa undani. Marie Stope wapo Bongo kitambo sana. Na moja ya shughuli zao kuu, ni hiyo isiyo rasmi ya utoaji mimba.Ila kwa Tanzania haturuhusu utoaji mimba, labda tu ikiwa maisha ya mama yako hatarini. Sasa wao wanapata wapi nguvu ya kuyafanya hayo nchini, je mamlaka hazilijui hili?
Naomba tufanye online conferencing maana niko mbali na Mwanza kama hutojali 😂Njoo hapa hapa Marie Stopes Mwanza kesho saa nane kamili mchana😂😂
Nipe namba zaoClinic ya Marie Stopes iliyoko jijini Mwanza wanajihusisha na vitendo vya utoaji mimba. Mimba zinatolewa sana pale, hasa za wanafunzi wa vyuo vikuu. Mchezo unaofanyika ni kwamba wanawake wanaohitaji hiyo huduma hufika hapo na huulizia huduma ya abortion, au kwa kujifanya mimba imeharibika.
Kinachofuata, mhusika anafanyiwa huduma inaitwa "dilatation and curateage", ambayo kimsingi ni kutanua njia ya shingo ya kizazi, kisha kuharibu mimba kwa kusafisha kizazi.
Sasa, the way wana record hiyo ili kuficha huo uozo ni wana record kama vile mtu alikuja na "miscarriage" tayari au "incomplete abortion" halafu kuwa wao wakasafisha tu kizazi kuondoa mabaki yaliyobaki kwenye kizazi, lakini ukweli ni kwamba wanakua wameharibu mimba na kufanya abortion ila kwenye rekodi zao wanaonyesha kama vile ni incomplete abortion.
Kuna uwezekano pia timu ya usimamizi wa huduma za afya ya halmashauri na hata ya mkoa inajua kabisa mchezo unaoendelea lakini wananyamazishwa kwa bahasha, maana hizi habari ziliwahi kuripotiwa kwao lakini hakukua na hatua zozote ziulizofuata.
Pia, hawa watu kuanzia wakati wa usahili kama unataka kuajiriwa pale kama daktari au muuguzi, wanakuuliza kabisa wewe mtazamo wako kuhusu utoaji mimba ukoje, na wanakupa scenario kuwa ikitokea wakati unatimiza majukumu yako halafu akaja mteja ambae anataka kutoa mimba je utachukua hatua gani? Ukitoa majibu ambayo yanaonyesha kama vile unapinga mambo ya abortion, wanakuchinjia baharini hupati hiyo kazi.
Tukumbuke kuwa kwa nchi yetu, utoaji wa mimba (abortion) ni kinyume cha sheria za nchi.
Nimeona nifichue hili jamani nimechoka vitendo hivi kila siku nashiriki utoaji mimba ila ni kwa sababu ya njaa tu, nimeona nije kutoa ripoti huku, Wizara ya Afya Tanzania fuatilieni hili mchukue hatua.
Nendeni pale kagueni records zao muone walivyo na "incomplete abortion" kibao ambazo wanazifanyia dilatation and curatage, hizo zote ni mimba ambazo zimetolewa hakuna cha incomplete abortion wala nini.
Fanyeni uchunguzi kwa makini, mtagundua kitu, ila msiende kichwa kichwa.
Asante.
Sababu ziko nyingi:Unafikiri kwa nini mnapata customers wengi?
Kama ni hao ondoa matumaini kwamba serikali yako inaweza kufanya lolote.Wafadhili wao wakubwa hawa ni serikali ya Uingereza, kupitia shirika lao la misaada la UKAID, pia kuna Bill & Melinda Gates foundation, shirika la misaada la Australia, Shirika la misaada la Ufaransa,UNFPA, na wengine wengi tu. Hawa wana funders kibao.