Clouds FM kuwatema watangazaji PJ, Gerald Hando na Abel Onesmo wa Power Breakfast

kama alivyopwaya fredwa leo sidhani kama kitasikilizwa tena aisee. ngojea tuone maana wote wawili hawakuwepo leo pengine utekelezaji ushaanza.
Huyo Fredwaa huwa anaanza sentensi alafu kabla hajaimaliza anasahau alivyoianza.
 
Reactions: Lee
Mimi hizi taarifa sijaziamini bado, kunakipindi ilivuma Fetty,Mchomvu Na B12 wamepigwa chini kumbe ilikuwa kick tu, pia Fetty Na Mchomvu walitoleana maneno makali on air nayo ilikuwa kiki
 
Reactions: Lee
Niseme ukweli kuwa PJ,Hando Na Barbara Hassan ndio pekee walikuwa wananivutia kusikiliza clouds . Sasa sijui
 
Sikukuu ya wajinga. Ila kama ikitokea hivyo ni sawa maana kila jambo lina mwisho
 
Gerald hando unayo experience kubwa / katika entertainment ni wakati wako sasa wa kupalani ni jinsi gani UTAANZISHA RADIO YAKO.
wish you well.
never minds.
 
matundu yako Hando anayatumia vizuri kweli? maana unahangaika sana
Only thing I care about ni matundu yako ambayo nilikuwa nayatumia efficiently and effectively, till today. Kumbe nyero lako lina kazi nyingine ya ziada ya kusambaza umbeya zaidi ya kuhimili uume wangu. Sasa rejea ushuzi wako hapo juu baada ya Ruge kukanusha kufukuzwa kwa PJ na Hando.
 
Boss Kiwembe leo.ameongea
Cc Nifah
 
Onyo kwa Watangazaji,mnapokuwa na ajira kituo X basi msipende kutoa maneno ya kashfa kituo Y,vituo hivyo sio vyenu kuna leo na kesho.
Aione inayomhusu
 
DAVID BECKHAM ALIVYOTOKA MAN U NA KUENDA REAL MADRID ALIFUNIKWA KABISA.. JE UNAJUA NI KWA NINI????
 
E-FM ni moja ya radio zinazo sikilizwa na watu wengi nchini ukizingatia population kubwa ya nchi hii hipo Dares-salaam.

Pamoja wako Dar tuu kwa sasa lakini wameshika sana ni moja ya radio bora kabisa!

Kimsingi ukitoa Clouds Fm inayofata ni E-FM..
Though wanafanya vizur,ukiiacha East Africa radio unaikosea heshima.EA radio ni radio muhimu sana kwa vijana na wao na EATV ndo wanaongoza kwa ubunifu kwa youth media
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…