Clouds FM kuwatema watangazaji PJ, Gerald Hando na Abel Onesmo wa Power Breakfast

Ngumu kumesa.

Ngoja tusikilizie kwanza.

Yule mpayukaji Kibonde amemuacha?? au kwa kuwa ni swahibaaaaa
 
Kama ni kweli basi clouds inakwenda kufa!
 
Mimi sioni jipya hapo,Ajira ni kama basi unapanda na kushuka wengine wapande pia.
 
Kama binadamu.. Wanaweza kukosea... Lkn kuwatoa Hando na PJ ....mmmmmh!!!! Watakua hawajui watendalo. Hivi Yale magazet yatasomeka kweli!?! Fredwaa na mizaa atasikilizwa na nani?! Mfano uchambuzi wa leo ..
Leo uchambuzi ulipwaya sana kama ni kweli nitawamiss sana PJ na Gerald Hando nilikuwa navutiwa na uchambuzi wao wa magazeti.
 
Leo ni 30.03.2016, kesho ni 31.03.2016 na kesho kutwa ni 01.04.2016 siku ya hatari duniani kote
 
Mhh! Hivi ni kweli au ndo tunakaribisha April 1, 2016

TAARIFA Nilizonazo Ni Kwamba Kuna CHEMBE CHEMBE Zote Za UKWELI ULIOTUKUKA Kwamba Jamaa Wametemwa. Mleta UZI Hongera Sana Na Mno Kwa Kuja Na TAARIFA Hii MUHIMU. Hauko Mbali Na USAHIHI Wake. Jamaa Ndiyo Bye Bye Labda Huruma Za Members Humu Ziwaingie WAAJIRI Wao Wawasamehe Wabadilishe Mawazo.
 
Taarifa za kukatisha tamaa sana... Ivi kwani hao waajiri hawaoni umuhimu wao... Kuwandaa watangazaji wapya mpaka wakubalike ni lini!?! Ila yetu macho... Liwalo na liwe....
 
.....E fm,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…