Majizo game changerHatimaye Clouds FM moja kati ya redio kubwa Tanzania imeanzisha kipindi cha michezo asubuhi kiitwacho Hili Game.
Ikumbukwe Efm ndio mwasisi wa kipindi cha michezo asubuhi kitwacho Sports HQ.
Zamani ili kuwa nadra sana Clouds ku-adapt mifumo ya vipindi vya redio zingine hakika katika hili ni mapinduzi Efm wameleta katika tasnia ya media.
Nimeiona hii......Naona Maulidi Kitenge akikopi utaratibu wa vipindi toka E. FM alipokuwa zamani.
Wanaanza sa tatu kamili ad
Ila clouds nafkiri kwa mtazamo wangu ndio Ina cream nzuri ya wachambuzi wa soka,na kwa mtazamo wangu pia Alex lwambano ndo the best sport anchor hapa bongo so naona wameona Kuna kit wanakipoteza asubuhi na uwezo wa ku wa keep waskilizaji wao wanaowahama asubuhi wanao.wamefanya homework yao vizuri sana
Mkuu kinachofanya Kwanza clouds wasikilizwe Zaid ni ule muda wao wa kipindi ,so wapenz wa habari za michezo tunajikuta tunamaliza nao sa tatu usiku..na pia tunatofautiana mitazamo so siwez kukubishia .Mimi kwa mtazamo wangu their best in sports analyst.,Si kweli kwamba ina wachambuzi wazuri.
Ina watu wasio na weledi na wanaongea mambo mengi kwa hisia kuliko uhalisia.
Ni rahisi kwao kuona makosa ya mwamuzi yakiwa dhidi ya timu wanayoipenda.
Hawaoni kitu chochote kizuri kwa timu wasiyoipenda.
Si ajabu ukakuta wanausifu Arsenal kuliko huku wakimponda Lampard na kuona amefeli.
Ni watu wasiojitambua na hivyo watu wengi tumeshaacha kuwasikiliza.
Anaboa kwa kweli na kubadirika haweziasante kwa kuliona hilo mkuu yaani mi ndo wamenifukuza kabisa kwenye radio yao kwa sababu hiyo, yaani kipindi kina lisaa limoja na nusu maana yake lisaa limoja habari za michezo za nyumbani na hiyo nusu saa ni habari za michezo za kimataifa.Ajabu ni kwamba Lwambano mpaka zile nusu saa za habari za kimataifa anatangaza habari za nyumbani zikibaki dk tano ndo wanagusia kimataifa juujuu....kiufupi kama si mpenzi wa mipira ya Simba na Yanga huwezi kuwa mpenzi wa michezo ya Clouds hasa akitangaza Lwambano
Nimesikiliza wachambuzi wa Clouds,efm na wasafi fm.Wanaanza sa tatu kamili ad
Ila clouds nafkiri kwa mtazamo wangu ndio Ina cream nzuri ya wachambuzi wa soka,na kwa mtazamo wangu pia Alex lwambano ndo the best sport anchor hapa bongo so naona wameona Kuna kit wanakipoteza asubuhi na uwezo wa ku wa keep waskilizaji wao wanaowahama asubuhi wanao.wamefanya homework yao vizuri sana
Siyo kweli una chuki tu na Lwambano.asante kwa kuliona hilo mkuu yaani mi ndo wamenifukuza kabisa kwenye radio yao kwa sababu hiyo, yaani kipindi kina lisaa limoja na nusu maana yake lisaa limoja habari za michezo za nyumbani na hiyo nusu saa ni habari za michezo za kimataifa.Ajabu ni kwamba Lwambano mpaka zile nusu saa za habari za kimataifa anatangaza habari za nyumbani zikibaki dk tano ndo wanagusia kimataifa juujuu....kiufupi kama si mpenzi wa mipira ya Simba na Yanga huwezi kuwa mpenzi wa michezo ya Clouds hasa akitangaza Lwambano
Nakazia.Mkuu kinachofanya Kwanza clouds wasikilizwe Zaid ni ule muda wao wa kipindi ,so wapenz wa habari za michezo tunajikuta tunamaliza nao sa tatu usiku..na pia tunatofautiana mitazamo so siwez kukubishia .Mimi kwa mtazamo wangu their best in sports analyst.,
Lwambano ni mtangazaji si mchambuzi.Nimesikiliza wachambuzi wa Clouds,efm na wasafi fm.
Ila kuna George Ambakile yule jamaa nlisikia sifa zake , nikjaribu kumsikiliza aisehh mwamba anajua. Yuko deep sana, huyo Lwambano pale anasubiri.
Au wenzangu mnasemaje?
Paul Mkay, Mkali wa Dimba... Hawa jamaa wananikosha sana... Na Mimi hawa jamaa wamenifanya niwasahau na kuwatupilia mbali Kina Lwambano na Geoff Leya....Ila hawa SPORTS ARENA...
Really nilikuwa sikosi kuwasikiliza kina Jeff Lea na wenzake wa mawingu...
Toka waje akina G.Ambangile na crew yake pale WASAFI FM daah SIWABUNDUKI...huniachia siku mojamoja kwenda kuwasikiliza sports court hapo mawinguni...
Hapo ktk sport arena [emoji818]Paul Mkay, Mkali wa Dimba... Hawa jamaa wananikosha sana... Na Mimi hawa jamaa wamenifanya niwasahau na kuwatupilia mbali Kina Lwambano na Geoff Leya....
Sports Arena na Sports Court... Vimekuwa vipindi bora vya michezo kwa sasa..
Siyo kweli una chuki tu na Lwambano.
Wanajitahidi sana kubalance muda na taarifa, nusu saa ya mwisho huwa ni ya habari za kimataifa na siku zote imekuwa hivyo na mara nyingi wanaanza na ha
Hakuna watangazaji na wachambuzi bora wa habari za michezo hapa nchini kama watangazaji/wachambuzi wa clouds media. Wengi wanaokosoa wanasukumwa na chuki.
Hao EFM na Wasafi ni uchafu mtupu katikati ya habari napigiwa Singeli!!!! Upuuzi
kwa Tanzania kipindi kikubwa cha michezo kinachojitahidi kwenda na muda ni Sport HQ cha E FM .kuhusu kupiga nyimbo katikati ya kipindi ni kwaajili ya watangazaji kupumzisha akili na kwenda kupata kifungua kinywa maana Wasafi na E FM vipindi vyao vya asubuhi vina masaa mengi kuliko Clouds,mi naamini Wasafi wanapiga hela nyingi sana kutoka kwa wadhamini wa kipindi chao cha michezo na ndomaana Clouds wamestuka wameona waongeze muda kwenye kipindi chao cha asubuhi.Lwambano ni mtangazaji mzuri ila kwenye habari za kibongo tu kwa mimi ambae sipo Simba,Yanga wala Azam huwezi kuniambia kwamba ni mtangazaji bora wakati hiyo tuzo ya mtangazaji bora kachukua Kitenge.Siyo kweli una chuki tu na Lwambano.
Wanajitahidi sana kubalance muda na taarifa, nusu saa ya mwisho huwa ni ya habari za kimataifa na siku zote imekuwa hivyo na mara nyingi wanaanza na habari za afrika.
Mzee uko vzur kufatila.kwa Tanzania kipindi kikubwa cha michezo kinachojitahidi kwenda na muda ni Sport HQ cha E FM .kuhusu kupiga nyimbo katikati ya kipindi ni kwaajili ya watangazaji kupumzisha akili na kwenda kupata kifungua kinywa maana Wasafi na E FM vipindi vyao vya asubuhi vina masaa mengi kuliko Clouds,mi naamini Wasafi wanapiga hela nyingi sana kutoka kwa wadhamini wa kipindi chao cha michezo na ndomaana Clouds wamestuka wameona waongeze muda kwenye kipindi chao cha asubuhi.Lwambano ni mtangazaji mzuri ila kwenye habari za kibongo tu kwa mimi ambae sipo Simba,Yanga wala Azam huwezi kuniambia kwamba ni mtangazaji bora wakati hiyo tuzo ya mtangazaji bora kachukua Kitenge.
Naonaga mpaka sasa hakuna radio iliyoifikia RFA, si kwa usikivu wala vipindi. Kule kijijini tulikuwa tunatumia RISING yaani hadi mtangazaji akikwaruza karatasi unaisikia utafikiri mko naye karibu kumbe yupo Mwanza na wewe upo Ludewa huko.Indu ,unamzungumzia prince baina kamukuru ilikua raha sana,mm nafikir RFA waliish mbele ya muda maana kwa vipind vile na watangazaj wale hakuna redio ya sasa inayowafikia kila kipind kilikua vzur na watangazaj mahir kwel kwel ,mpaka maripota wao walikua vzur ikaenda ad kwa watuma salamu wakawa maarufu
Hakika....Hapo ktk sport arena [emoji818]
Lwambano ni anchor na George ni pundit..Nimesikiliza wachambuzi wa Clouds,efm na wasafi fm.
Ila kuna George Ambakile yule jamaa nlisikia sifa zake , nikjaribu kumsikiliza aisehh mwamba anajua. Yuko deep sana, huyo Lwambano pale anasubiri.
Au wenzangu mnasemaje?
Jamaa nawaelewa sana,Hakika....