Clouds FM wafanikiwa kuusambaratisha urafiki wa Nikki Mbishi na Wakazi

Clouds FM wafanikiwa kuusambaratisha urafiki wa Nikki Mbishi na Wakazi

Sijajua nini lengo la hilo tamasha ila sijajua wanatumia vigezo gani manake nikitizama list naona hawatishi sana,yaani hata Fid Q,Zaiid,Uno,Sterio,Lord eyez nao hawapo.

Kwenye hiyo list ninaye mkubali Gnako na Blue.Ay na Mwana FA wakali lkn zama zao zishaisha na uwezo ushapungua.

Mimi huyo Wakazi sijawahi mwelewa kabisa.
Anayepewa tenda ya kuandaa tamasha na kutafuta wasanii ni agent ambaye alikua anatafuta wasanii kulingana na bajeti iliyopo mezani na sio ukali wa msanii.
 
AY na FA muziki wao ni wa bei rahisi huumizi kichwa kutunga hata layman anaweza tunga na akaimba sema ndo vile kuwalamba miguu ma presenter ndio kumewafanya wawe hapo walipo hakuna jipya kwao.Kwa hiyo sishangai hela aliyoikataa Mbishi kipindi hicho wao wanaona mkwanja mrefu.
Kweli Mkuu na unaweza kujiuliza swali la msingi kama Mwana Fa na AY wanakubali pesa ambayo Nikki Mbishi amekataa hii haijakaa sawa kweli Mfumo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
AY na FA muziki wao ni wa bei rahisi huumizi kichwa kutunga hata layman anaweza tunga na akaimba sema ndo vile kuwalamba miguu ma presenter ndio kumewafanya wawe hapo walipo hakuna jipya kwao.Kwa hiyo sishangai hela aliyoikataa Mbishi kipindi hicho wao wanaona mkwanja mrefu.

Kuwa na adabu bwa’mdogo unapotaja majina kama AY na FA kwenye tasnia ya mziki Bongo, watoto wa juzi ninyi kwenu mkali ni Bilnas... pumbavu.
 
AY na FA muziki wao ni wa bei rahisi huumizi kichwa kutunga hata layman anaweza tunga na akaimba sema ndo vile kuwalamba miguu ma presenter ndio kumewafanya wawe hapo walipo hakuna jipya kwao.Kwa hiyo sishangai hela aliyoikataa Mbishi kipindi hicho wao wanaona mkwanja mrefu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie ndo mashabiki uchwara mnaompoteza Nikki, yaani kweli unamfanasha Unju na hao Legends?[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuwa na adabu bwa’mdogo unapotaja majina kama AY na FA kwenye tasnia ya mziki Bongo, watoto wa juzi ninyi kwenu mkali ni Bilnas... pumbavu.
Braza mi sio wa juzi kwenye muziki,naongelea facts na kama huwa unanifuatilia kwenye hili jukwaa nilishasema kuwa wimbo wangu wa muda wote wa hiphop ni INGEKUWA VIPI ya mwanafalsafa kipindi hicho yuko chini ya Bon Love huu wimbo hata kama watu walisema alicopy na kupaste nyimbo ya mbele ila unaona kabisa mtu aliumiza kichwa kutunga HUYU NDO MWANAFALSAFA NILIYEKUWA NAMUHESHIMU ila baada ya hapo alinifanya ni change mind kwa nyimbo zake zote zilizofuata SIJUI NDO COMMERCIAL ila zilikuwa za kawaida mno MNO!!!! zijui mabinti damu damu,alikufa kwa ngoma, nk ni za kawaida sana may be idea ya ngoma inambeba ila kwenye suala la kutunga mistari ni ZERO.TOfautisha kati ya idea Kali na mistari iliyosukwa ALIYE MTAALAMU WA MUZIKI ATANIELEWA HAPA, Mfano mdogo tu nick mbishi huwa ana mistari mikali ya kuumiza kichwa hadi ukimsikiliza unasema yes these are RHYMES!! ila hana idea kali ya ngoma.NI MTAZAMO TU.

Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app
 
Mtazamo tu bro,ila maelezo yangu nimemjibu bro hapo juu!

Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app
Nitajie nyimbo za Nikki Mbishi za kufananisha na hizi:-

1. Ingekuwa vp
2. Mabinti Damdam
3. Alikufa Kwa Ngoma
4. Unanitega
5. Bado niponipo

NB: Kwanza Nikki Mbishi amewahi kuwa na Hitsong? Wimbo pekee uliosogeleasogelea kuwa Hitsong ni 'Playboy', na usiniambie kwamba kwakuwa anakaza basi hapaswi kuwa na Hitsong, mbona kina Fid Q wanakaza ila wana madude kibao yaliyohit kama (Huyu na Yule, Mwanzamwanza, August 13, n.k)
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nitajie nyimbo za Nikki Mbishi za kufananisha na hizi:-

1. Ingekuwa vp
2. Mabinti Damdam
3. Alikufa Kwa Ngoma
4. Unanitega
5. Bado niponipo

NB: Kwanza Nikki Mbishi amewahi kuwa na Hitsong? Wimbo pekee uliosogeleasogelea kuwa Hitsong ni 'Playboy' pekee, na usiniambie kwamba kwakuwa anakaza basi hapaswi kuwa na Hitsong, mbona kina Fid Q wanakaza ila wana madude kibao yaliyohit kama (Huyu na Yule, Mwanzamwanza, August 13, n.k)
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwangu mimi nyimbo hizi za Nick ni zaidi ya hit song PESA KWANZA,Hisia ft stereo,kanda maalum ft wakazi,I'm sorry Jk,babu talent. Sema ndo vile game ya bongo bila kuwalamba miguu wadau wa tasnia hupenyi.Kwa upande wa fid q ndo narudi kule kule kwenye point yangu,hivi unaweza nionesha mafanikio ya fid Q kwenye muziki ni yapi!!!?? Au ndio jina kubwa afu mwisho wa siku kusubiria show za fiesta ulipwe laki 3!!!?, je huyo fid Q mwenye hit song unazosema wewe alishaandaa show kubwa kama solo artist na akajaza angalau nusu ya uwanja achilia mbali ukumbi!!!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwangu mimi nyimbo hizi za Nick ni zaidi ya hit song PESA KWANZA,Hisia ft stereo,kanda maalum ft wakazi,I'm sorry Jk,babu talent. Sema ndo vile game ya bongo bila kuwalamba miguu wadau wa tasnia hupenyi.Kwa upande wa fid q ndo narudi kule kule kwenye point yangu,hivi unaweza nionesha mafanikio ya fid Q kwenye muziki ni yapi!!!?? Au ndio jina kubwa afu mwisho wa siku kusubiria show za fiesta ulipwe laki 3!!!?, je huyo fid Q mwenye hit song unazosema wewe alishaandaa show kubwa kama solo artist na akajaza angalau nusu ya uwanja achilia mbali ukumbi!!!?

Sent using Jamii Forums mobile app
Fid Q anaweza akawa hana mafanikio kiviile compared na kipaji chake ila amemzidi mbali kimafanikio huyo Nikki Mbishi; kuanzia Umaarufu, Hitsong, Legacy, hadi kiuchumi. Huyo Nikki Mbishi kazi kulalamika tu.

Kuhusu hizo ngoma ulizozitaja ni kwa mujibu wa mtazamo wako, ila kwa mujibu wa mtazamo wa wengi MwanaFA ngoma zake ni kubwa sana kulinganisha na za Nikki Mbishi, MwanaFA anafanya ngoma zinazoigusa jamii, huku Nikki Mbishi anawaimbia masela na mistari ya kuungaunga so u can't compare them. Eti Babu talent, wtf is that?[emoji38][emoji38][emoji38]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya ma-beef mengine ya kijinga sana, watoto wa kiume wanachukiana kisa vitu vya kijinga kama hivi, kwa mwanaume aliye komaa issue kama hizi anapotezea tu, sasa wewe beef la level ya watoto under 18 mnakomaa nalo nyie? ni upuuzi,
Ishu hapo ni pesa...so sio ujinga kumchana mtu ambaye unaona anakuzibia usipate hela.
 
Back
Top Bottom