Clouds Kumdondosha Chriss Brown Tigo Fiesta Dar

Fiesta nayo ijua mie ni ile ya serengeti
..ilikuwa kwa mwenge haibagui mikoa
Mawingu wamechagua mikoa iliyokuwa na
mauzo mazuri kushinda mingine kwenye
fiesta ya last time ..maana na slogani yao
100% local ilibuma wanajaribu upande wa pili
Siokweli mikoa yote ilijaza Sana tu
 
Hii biashara kama wanataka faida wawajumuishe na wcb..
 
Wanaotaka kushindana na clouds wakaze sana maana jamaa ni wabunifu balaa


Clouds ndo wakali wa hizi kazi,ngoja nijichange nikamuone breeeezy
 
Mambo yenu hayo wanyoa viduku a.k.a vijogoo Mimi hata unipe na pesa juu alafu wamlete trump atumbuize siwezi kupoteza muda wangu
 
Anabaguaje watu weusi wakati yeye mwenyewe ni mweusi?
.
Au ulikuwa unaota?
Nilikuwa napitia comment zote ili nione kama kuna mtu ameuliza.Ili nami niulize

Ila ngoja nipitie kama limejibiwa, kisha nirudi ku comment.
 
Nilikuwa napitia comment zote ili nione kama kuna mtu ameuliza.Ili nami niulize

Ila ngoja nipitie kama limejibiwa, kisha nirudi ku comment.
Anazidi kusisitiza ni mbaguzi
 
Chris mbaguzi yule wa rangi, anabagua sana watu weusi!

Akija ndiyo atajua namaanisha nini.
We jamaa hebu uwe na ushahidi basi, hivi kuna mtu mweusi mwenye ubaguzi wa rangi kwa weusi wenzake kweli kule Marekani?
Yule ni African-American wanavyojiita wao Marekani kwa sasa lakini ndo wale wale Black -American's walijiita zamani na ndo Negro wa enzi hizo pale Virginia.
 
Huo uwezo walikuwanao zamani,Rick ross anakuja hapa anabeba mamia ya mamilioni bila kulipa kodi siku hizi hatutaki ujinga wakija walipe kodi yetu.
 
Acha uboya kojoa ukalale usifananishe wasafi na huo upumbavu shenzi type ebooooooh
 
Waje wote ilo wafit vizuri kwenye nyimbo yao ya no guidance
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…