Clouds Media: Hatuhusiki na kumshitaki Makonda

Clouds Media: Hatuhusiki na kumshitaki Makonda

Kwani alichokifanya makonda ni kosa au siyo kosa? Kama ni kosa kisheria lazima awajibike kwa kosa lake hata kama Clouds hawataki. Sisi hatuangalii kama clouds wanataka au hawataki bali kosa.
 
Deal done, imeisha hiyo! nacho jua Makonda mjanja sana, atakuwa ashamuangukia mzee wa Msogery, na kumuomba amuombee samahani kotekote.

afu mambo pyuuu. Pili, hiki kigazeti nahisi kinadanganya hakuna cha Mwanasheria wala nn ni kujirudisha kwa wateja tu na kudraw tention ya watu.
 
Hii ngoma ingemkuta Ruge mzee wa fitina daaaaah angeinjoy sana hii moment maana ni kitu alikuwa anakisubiria kwa hamu sana. Bahati mbaya kimetokea yeye ameshadedi.
 
Clouds hawajiamini ndio maana wanaogopa lakini ikitokea akashtakiwa na akatiwa hatiani watafurahi.
 
Nakukumbusha tu kwamba case ya huyu jambazi inaanza tarehe 3.12.2021.
Haki itatamalaki . Tutajua kwamba yeye alihusika kumshambulia tundu lisu na wengine wengi.
Endelea kushangilia upumbavu
Eti madawa ya kulevyya
Kesi inaanza tarehe 3 alafu Makonda yupo mtaani anadunda tu huku gaidi akiwa selo
 
Hujui Sheria ya Jinai wewe
Mtu Binafsi hawezi kushtaki, ni Serikali ndio Inashtaki, Mtu Binafsi atakuja kama Shahidi Tu
Hao Clouds hawana Uwezo kisheria Kumshtaki Bashite, atashtakiwa na Serikali na wao watakuja Kama Mashahidi Tu.
Huyo Sam Kilaza Hana anachojua.
Kama alivyofanywa Jangili Sabaya.
Jua Serikali Ikimshtaki hachomoki
Na Clouds watakuja Kutoa ushahidi
Kubenea ndio jamhuri kumbe..duh
 
Makonda alitenda kosa la jinai, kosa la jinai si la hiari linakuwa chini ya jamuhuri halina matakwa binafsi, Clouds wanatakiwa walielewe hilo kupitia kwa mwanasheria wao. Mtu yeyote atakaefungua shauri Clouds watatakiwa kuwa mashahidi tu kwa sababu kitendo kilifanyika ndani mwao na umma ulishuhudia.
Wasiwe na hofu kwani wao hawatagharamika kifedha, hilo ni jukumu la ampenda haki.
Jamhuri ya Kubenea duh
 
Back
Top Bottom