Kesi hii itaunguruma Dec 3, Najiuliza Kubenea hakushirikiana na Clouds kabla!? Vipi Wakati wa kutoa Ushahid kabla si atahitaji Picha na Baadhi ya Mashahidi kutoka Clouds!? Vipi watampatia na ikiwa wamesema hawahusiki (means hawatajihusisha)? Bila Ushirikiano kutoka Clouds Kubenea anashindaje hii Kesi!?.