Akili zako ndogo sana. Sitashangaa siku nikisikia uliiba mitihani wewe!Kesi inaanza tarehe 3 alafu Makonda yupo mtaani anadunda tu huku gaidi akiwa selo
Hii Nchi haiwezi kuendelea ikiwa kuna Vilaza kama Nyie mna access na Social Media zilizotukuka kama JFKubenea ndio jamhuri kumbe..duh
Haiwezi endelea kama tunaona kubenea ndio jamuhuriHii Nchi haiwezi kuendelea ikiwa kuna Vilaza kama Nyie mna access na Social Media zilizotukuka kama JF
Watu wamefura hasira wanatafuta mahali pa kutolea hasira zao ,makonda mnamuonea tuKusaga hawezi kumshtaki Makonda!
Hawana cha kumfanya MakondaWatu wamefura hasira wanatafuta mahali pa kutolea hasira zao ,makonda mnamuonea tu
Tafakari hili. Uvamizi ulifanyika au haukufanyika? Ni kweli Clouds hawahusiki na mashtaka haya, lakini wajue wanaweza kuitwa kuwa mashahidi wa jamhuri. Hapo itabidi waseme ukweli!Tunaojitambua tulijua tu Mwanasheria uchwara anatafuta kiki kupitia mgongo wa Makonda.
Na CCTV lazima watoeLakini tutawaita kama shahidi
Of which is fine, right Procedure, Bashite lazima aelekee KibraSasa kwa kukuelewesha Kubenea kaomba maombi maalum...
Kuomba kibali cha kudhibitisha jinai
Pili mstakiwa wa tatu afunguliwe kesi baada ya uchunguzi kwa amri ya mahakama
DPP na DCI watakuwepo kama respondent na wafuatiliaji wa maombi ili kujiridhisha na jinai
Of which is fine, right Procedure, Bashite lazima aelekee Kibra
Nimeona MkuuSasa ulikuwa unabisha kitu gani..charge sheet inawezekana hata hujaisoma ukawa unatiririka hivyo hivyo tu
Mnafiki ni wewe unayeshindwa kwenda mahakamaniFull kujipendekeza, unafiki ba uoga.
Mama ni mpitaji na hawezi linda wahalifu,Lazima wajilinde maana linaweza kuwaangukia. Haijulikani Mama yupo upande upi kwa suala la hiki kiumbe πππ
Kwani Jamhuri ndiyo inashitaki? Siyo Kubenea tena?Tafakari hili. Uvamizi ulifanyika au haukufanyika? Ni kweli Clouds hawahusiki na mashtaka haya, lakini wajue wanaweza kuitwa kuwa mashahidi wa jamhuri. Hapo itabidi waseme ukweli!