Kajuna ni muhaya...Mzaramo msomiš¤£
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kajuna ni muhaya...Mzaramo msomiš¤£
Nshomile nshomileMi Nina uhakika asilimia mia ndo mana Uzi huu utaondolewa kwa sababu hata mxen melo ni mhaya pia
Lkn rest Ni wahaya ,nshomile na wasukumaa flnWewe ni mjinga. Mimi najutajua pia ambao sio wahaya: mamy baby, Adam mchomvu, Kennedy, geah,husna, Millard, fetty, mwijaku, Barbara,
Mbona husemei baraza la mawaziri kusheheni wabunge kutoka mkoa wa pwani?Kwanini clouds media ni wakabila sana. Almost wote ni wahaya na interview zao wanakuuuliza jina lako ili wajue we ni mhaya au la! Wapo wachache sana ambao siyo wahaya lakini wameajiriwa kwa bahati mbaya.
Mbeya moja kwa kina MwaipajaSorry boss, huyu ndugu Mwashipumbu anatokea wapi?
[emoji23] napata wasiwasi hata wahaya huenda hawajui.amesema watu wa Arusha, halafu wewe unasema wachaga, kwani wachaga wanatokea Arusha au hujui wachaga wanatokea mkoa gani.
Kipanya si mtu wa songea?We huoni midomo ya kipanya ilivyomikubwa kama anameza mtu. Wahaya wote wako hivyohivyo ni walafi sana ndo mana midomo imeadapt
Shaffih DaudKipanya, ciza, sasali, mwihava, pj, kabaya nk
Naongezea: Meena ally.Wewe ni mjinga. Mimi najutajua pia ambao sio wahaya: mamy baby, Adam mchomvu, Kennedy, geah,husna, Millard, fetty, mwijaku, Barbara,
Ndio za watu hawa. Chalamila atawaambia vizuri yawapasayo.Kwanini clouds media ni wakabila sana. Almost wote ni wahaya na interview zao wanakuuuliza jina lako ili wajue we ni mhaya au la! Wapo wachache sana ambao siyo wahaya lakini wameajiriwa kwa bahati mbaya.
SureKuna Uzi humu ulikuwa unawatuhumu Clouds kuwa wamejaa watu wa Arusha.Sasa Leo yamegeuka.Sisi watanzania tunakuwa kama Malaya tu tabia zetu yaan.
Adam je,Kennedy pia ni mhaya?Millard na Frida Amani ni wahaya wa wapi ?
Kampuni binafsi hii. Wanaajiri wawapendao. Kabila lako wakaanzishe kituo chenu.Kwanini clouds media ni wakabila sana. Almost wote ni wahaya na interview zao wanakuuuliza jina lako ili wajue we ni mhaya au la! Wapo wachache sana ambao siyo wahaya lakini wameajiriwa kwa bahati mbaya.