[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dah jamaniDuh!
Ngoja nifungulie, sijaombwa msamaha muda mrefu saaana!
Ni kweli, ila ni sheria zenye nia ovu. Hata huko Afrika kusini enzi za makaburu kulikuwa na sheria zenye nia ovu kama hizi hizi. Clouds walikuwa na tabia ya kujipendekeza sana kaa serikali, acha wajue kuwa waliokuwa wakijipendekeza kwao sio watu wazuri. Cha ajabu wakurugenzi waliotangaza wagombea waliopita bila kupingwa bado wako ofisini.
UCHA GUZIShida nini tena
usingie mkenge, hao wanakwepesha mikutano ya ufunguzi ya kampeni ya Lissu ya Dar aliyosema ataifanya siku tstu mfululizo ili isiweze kuwa mentioned kabisa. Pressure ya uchaguzi inalazimisha TV na redio vishindwe kumuignore Lissu kabisa, kwa hiyo wakubwa have to do something about it!
Sasa Dar ni jiji kubwa, Lissu akiwa received positively halafu habari yake ikatrend, wakubwa wanahofu itaaffect campaign zao!
Kumbuka Clouds media ndo inangoza nchini kwa idadi ya watu wanaosikiliza nchini hii ni kwa mujibu wa tafiti
Upuuzi mtupu, CCM inazindua kampeni zake 29, chenyewe hakiitaji coverage ya clouds?Eleweni nyie ndugu zangu, CCM haiwezi kuingia mgogoro na vyombo vya habari kizembe zembe namna hii! Haswa kipindi hiki cha kampeni.
Hapo kuna mchezo mnachezewa, na mchezo wenyewe umesukwa kiakili ili msing'amue.
Huo mchezo ni wa blackmail kwa vyombo vya habari kuwa ni lazima viendelee kuwa vitiifu, vya kutoa ushirikiano mzuri kwa chama tawala kipindi hiki cha kampeni. Lakini pia kudeal na Chadema
Plot niliyoing'amua ni hii ifuatayo:
Kwa kuwa Lissu ataanzia kampeni DSM kesho ama keshokutwa, na atafanya mikutano Dar siku tatu mfululizo.
Vyombo hivi vya habari sasa hivi kwenye kipindi rasmi cha kampeni ni vigumu kuvidhibiti kutotangaza habari za wapizani 100%, yaani wataanza kutupia tupia, na hilo watawala hawalitaki! Na hata kama havitaki kuzungumzia kampeni za upinzani bado vitapata pressure kutoka kwa umma kuwa kwa nini havirushi taarifa za upinzani?- Vinaogopa kudharauliwa na watu
Kwa hiyo plan ni ifungie Cloud Media ambayo inasikilizwa na wananchi wengi zaidi kuliko vyombo vingine kwa wiki nzima ili kupisha kimbunga cha Dar ili kuzuia uwezekano wowote wa clods media kurusha mikutano au habari za mikutano hiyo ya Lissu. Kumbuka CHADEMA wamejiandaa kufungulia kampeni Dar. Na nina wasiwasi viongozi wa clouds ambao ni makada wa CCM huenda wametoa ushirikiano mzuri kwenye kuwezesha hili.
Sasa Dar ikikubali kwa Lissu, ni rahisi mikoa mingine kuitika!
Kwa hiyo watawala wanataka siku CCM wakiwa Dar, Cloud Media itakuwa imeshakuwa huru kurusha mikutano ya CCM na hivyo kuwapa CCM coverage kubwa.
Mkuu bila kupinga maelezo yako mazuri, kwani huyo Tundu Lisu huwa anapata coverage sana huko clouds, mpaka wachukuliwe hatua wao tu? Sio kwamba sioni hofu yako, ila kufungiwa hao clouds sio kwa sababu hii uliyosema ww.
wao wameshakuwa na coverage ya 5 yearsUpuuzi mtupu, CCM inazindua kampeni zake 29, chenyewe hakiitaji coverage ya clouds?
Wameendeleza kutangaza kwamba kuna wagombea wamepita bila kupingwa wakati hilo ni jukumu la Tume ya Taifa ya Uchaguzi.Shida nini tena
Wote kwa pamoja wanatakiwa kuwa hewani huku wakisema tusamehe ewe Fisiemu tumekosa sanaKwahiyo wanapotakiwa Kuomba Radhi Siku nzima ya leo TCRA wanamaanisha Kwanza Kuanzia Mmiliki Kusaga, Mkewe, Wahariri na Watangazaji pengine hadi Wafanya Usafi wa CMG wanatakiwa kupeana zamu kila Mmoja kwa Masaa yaliyobaki Siku ya leo Kumalizika kwa Kufululiza kwenda Makao Makuu yao Kuwapigia Magoti ya Msamaha au? Kuna mahala katika Taarifa yao nimeona wanatakiwa Kuomba Radhi kwa Siku nzima hii ya leo.
Baada ya kosa Lile kufanyika TCRA walitoa onyo na leo hii tena Asubuhi kupitia kipindi Cha Clouds 360 wakaliamsha tena dudee.Mbona TCRA imemwacha Millard Ayo maana yeye ndio alitangaza wagombea kupita nakuwa wabunge ikiwemo Kasimu Majaliwa, na wale Morogoro
Umeona sasa!!! only smart people will understand this hivi lini chadema wanakuja na chombo chao??
Hawa nao mbona hawajafungiwa?Mbona TCRA imemwacha Millard Ayo maana yeye ndio alitangaza wagombea kupita nakuwa wabunge ikiwemo Kasimu Majaliwa, na wale Morogoro
Kama liko chini ya mamlaka yake shida nini? kumbe mnafahamu kabisa kwamba Rais wetu ni mwingi wa huruma enh?Hata mimi nimewaza hivyo.