Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Wapuuzi sana kwa kujikomba yaani hawana tofauti na tbcKama ni kweli itakuwa poa sana. Maana hiyo kampuni ina kihere here sana haswaa inapofikaga ktk nyakati hizi za uchaguzi. Huwa wanajifanya wao ni TBC namba 2