Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mawingu imekua topeTangu jasiri muongoza njia aondoke Mawingu imekuwa ya hovyo
😆😆😆😆😆 Sam ana tiririka tu akiamini na yeye uteuzi upo mlangoni 😆😆😆😆 mwache atiririke tu.Hilo ndio Gap LA kuondoka Ruge mutahaba. Maana jamaa alikuwa Yuko active sana kufuatilia vipindi ,hata issue ya bashite na gwajima aliwaambia wabalance story ndio iende hewani.... Sam Sasali anaropoka tu na kujifanya mjuaji kila kitu....shaffii dauda kapwaya Sana bora kusaga atafute mtu serious kusimamia vipindi.. Radio haina nidhamu kila mtu anaropoka anachojisikia ndio maana jahazi ilifungiwa.
Hata hio sio dawa.Dawa ni sanduku la kura tu
Dawa ni gani wakuu?Hata hio sio dawa.
Tume huru ya UchaguziDawa ni gani wakuu?
Ccm iache kuvitisha vyombo vya habari, hofu ya nini wakati chama kinapendwa na watanzania na magufuli anakubalikaMbona umebadilika ghafla wamekufanyeje huko ccm Subira the princess
Muhimu haswaTume huru ya Uchaguzi
CCM ni zimwi likujualo linalokula na kukwishapamoja na kupiga zile nyimbo pendwa za ccm
WALIAMRIWA HIVYO YANI JANA SIKU NZIMA WAOMBE TU RADHI NA KUANZIA LEO NDIO WASITISHE MATANGAZO YOTE.Poleni clouds, jirekebisheni haraka vinginevyo mtafungiwa leseni kabisa.
Hata hivyo naona kama wamesitisha kuomba radhi mfululizo kama walivyo takiwa na TCRA jana niliona matangazo ya kuomba radhi lakini leo tarehe 28/8 kimyaaa, je kuna maelekezo mengine au wamekaidi?
360 ILIHARIBIKA BAADA YA ADSON KAMOGA KUPEWA CHEO NA MZEE BABA, ALIPOONDOKA NDIO AKAJA HASSAN NGOMA, HUYU SASA NDIO ALIANZA KUKIHARIBU KIPINDI NA KUZIDISHA SIASA MPAKA SAM SASALI NAE AKAMUIGA MATOKEO YAKE WAKAHARIBU KILE KIPINDI.
ILA BABY KABAE YUPO VIZURI SABABU HAEGEMEI UPANDE WOWOTE.