Clouds Media wafungiwa kwa siku 7, kwa kutangaza Takwimu za Uchaguzi ambazo hazijathibitishwa na Tume

Kama ni kweli itakuwa poa sana. Maana hiyo kampuni ina kihere here sana haswaa inapofikaga ktk nyakati hizi za uchaguzi. Huwa wanajifanya wao ni TBC namba 2
Wapuuzi sana kwa kujikomba yaani hawana tofauti na tbc
 
Uswahili tu
 
Sasa Jahazi ndio kipindii kilichokuwa kimebaki chenye akili, kishafungiwaa basi imebaki kuwa Radio ya Umbeya
 
🙄🙄
 
Wasiwafungie tu Bali wachukue na makatapila wakavunje na kusagasaga ofisi zao pale mikocheni karibu na mwai kibaki road.
Sio sawa, watu wamefanya uwekezaji wa lifetime pale.
Pale kuna fedha mabilioni kwa mabilioni ile sio biashara ya nyanya.
 
Hilo ndio Gap LA kuondoka Ruge Mutahaba. Maana jamaa alikuwa Yuko active sana kufuatilia vipindi, hata issue ya bashite na gwajima aliwaambia wabalance story ndio iende hewani. Sam Sasali anaropoka tu na kujifanya mjuaji kila kitu... Shaffii Dauda kapwaya Sana bora kusaga atafute mtu serious kusimamia vipindi. Radio haina nidhamu kila mtu anaropoka anachojisikia ndio maana jahazi ilifungiwa.
 
Clouds kilichowapinza ni uwepo wao wakati Lissu anatangaza kumuwekea pingamizi namba moja [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hii redio wanajipendekeza kupita kiasi mpaka wanatia aibu,baada ya kuona mwenzao ameteuliwa na JPM basi ni mashindano tu ya kujikomba kwa serikali na CCM, radio za ma MC wa vigodoro tatizo sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…