Clouds Media waliwaza nini kuwapeleka Sam Sasali, PJ & Kijah kumhoji Lissu?

Clouds Media waliwaza nini kuwapeleka Sam Sasali, PJ & Kijah kumhoji Lissu?

Mwandishi mzuri anaye jua kufanya mahojiano chunguza kipengele Cha "forum questions" hapa ndo hambainisha mwandishi aliyepita shule.

Alafu huwezi kwenda kwenye mahojiano wewe ukiwa na majibu y'ako kichwani hili ni kosa kubwa sana,Kazi ya mwandishi ni kuuliza maswali kwa niambie ya hadhira ukweli wa majibu wanao takiwa kufanya judgement ni hadhira sio wewe mwandishi.
 
Back
Top Bottom