Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaniuliza mimi tena, waulize CLOUDS MEDIA ndowamesema mishahara ya walimu inadhalilisha utu waoWee jamaa walimu walikukosea nn?[emoji4]
Pole sana hujui kitu Kaa Kwa kutuliaAlisema diploma ya ualimu akaona haina mchongo akataka kujiendeza degree akakosa hela, saiv yupo kwenye NGO anasaka tonge
Kada zingine Zina allowance kibao, food allowance, house allowance, transport allowance, nk mbali na hayo wana vikao kila wiki tena vya pesa nzuri tu. Sasa njoo Kwa walimu manina anasahihisha mitihani ya ndani bureee, anasimama bureee, mitihani ya mock mkoa na wilaya bureeee, anafundisha mpaka jumapili bureeee, hawana hata vikao navikiwepo vya SMT ni bureeee, kila kitu halambi hata sumuniMshahara wa mwalimu TGTS D1 ni mkubwa kuliko mshahara wa afisa utumishi TGS D1, wote wakiwa na shahada ya kwanza na wakianza kazi kwa pamoja!! Vinginevyo labda mseme mwalimu kutokufanya ufisadi na kutokufanya ubadhirifu na kutokula rushwa kunamdhalilisha utu wake!!
Clouds fm ni vilaza pia?Nahisi Mpwayungu village alikuwa kilaza sana shuleni! hiyo ilimpelekea kuwachukia walimu kana kwamba wao ndo walimnyima akili!! Ukilaza hautatoka kwa kuwachukia walimu!! Ukichukia na kudharau walimu lazima uwe na matatizo tu tena si matatizo madogo!! mpwayungu pole!!
Tatizo wako brainwashed sana huwaambii kitu.Inaonesha wazi wewe ilikosa hii ajira. Waalimu hawa hawa au wengine ? Unafika shule ya Msingi kumefurika. Magari ndani ya parking ya Waalimu utafikiri showroom pikipiki hazina idadi .
Ukute we ni ticha 🤣🤣🤣Kada zingine Zina allowance kibao, food allowance, house allowance, transport allowance, nk mbali na hayo wana vikao kila wiki tena vya pesa nzuri tu. Sasa njoo Kwa walimu manina anasahihisha mitihani ya ndani bureee, anasimama bureee, mitihani ya mock mkoa na wilaya bureeee, anafundisha mpaka jumapili bureeee, hawana hata vikao navikiwepo vya SMT ni bureeee, kila kitu halambi hata sumuni
Haitakaa itokeeUkute we ni ticha [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sa we jamaa wa Matumburu ndanindani hukoo unadharau waalimu.Haitakaa itokee
Ukifurahia na kushabikia kashfa kwa walimu ni dalili ya uhakika kuwa huyu naye ana chuki ya kudumu na walimu!! Moja ya sababu ya mtu kuchukia walimu ni ukilaza uliosababisha awaone walimu kuwa wanamtesa!!Clouds fm ni vilaza pia?
Huu sasa ni uchochezi; ila kwa upande mwingi, utafiti wangu umeshanionyesha kuwa tatizo la mishahara kwa ujumla wake na si kwa walimu tu, linachangiwa kwa kiasi kikubwa sana na watu wanaotafuta mamlaka makubwa kwa njia ya kuuhujumu uongozi uliopo madarakaniMpaka vyombo vya Habari vimeliona hili, walimu mjitathimini vinginevyo mtadharaulika mpaka kufa kwenu. Mnachekwa mpaka na watoto wanadai mmekuwa ombaomba kwa kuwaomba wanafunzi wawanunulie Chai muda wa break na wakisema pesa hawana mnawachapa.
Walimu wengi mnawalazimisha wanafunzi wanunue vibiashara vyenu vya ubuyu na ice-cream za ubuyu wa mia mia vibiashara ambavyo faida yake haifiki hata Buku tano.
View attachment 2632018
wewe ndio unawadharau walimu, umesahau kuwa hata azam anauza Juice ya Ukwaju na maandazi,Walimu wengi mnawalazimisha wanafunzi wanunue vibiashara vyenu vya ubuyu na ice-cream za ubuyu wa mia mia vibiashara ambavyo faida yake haifiki hata Buku tano
Ni kweli mkuu, tofauti yao kidogo ni ile accessibility ya posho za safari ndogo ndogo na vikao!!Mshahara wa mwalimu TGTS D1 ni mkubwa kuliko mshahara wa afisa utumishi TGS D1
Mwalimu mwenye shahada ya kwanza anayeeanza kazi huanza na 780, 000 hii inaitwa D1 . Kila baada ya miaka 3 hupanda daraja. Daraja la mwisho kabisa ni "I" ambayo ni 3.2M.Hebu hiyo media ituambie kwanza mwalimu wa certificate diploma na degree wanalipwaje?
Tuanzie hapo kwanza halafu tufananishe na kada zingine kama vile manunuzi,utumishi,uhasibu,kilimo,mifugo n.k
Vinginevyo wana ajenda yao nyuma ya pazia
Duh,kumbe hiyo media ni wapumbavu kiasi hicho?Mwalimu mwenye shahada ya kwanza anayeeanza kazi huanza na 780, 000 hii inaitwa D1 . Kila baada ya miaka 3 hupanda daraja. Daraja la mwisho kabisa ni "I" ambayo ni 3.2M.
Hii mishahara siyo midogo ukilinganisha na kada zingine. Tofauti ni kwamba mwalimu hana mazingira ya kula rushwa au kupata posho zingine inje na mshahara.