CLOUDS: Mishahara ya walimu inadhalilisha utu wao

CLOUDS: Mishahara ya walimu inadhalilisha utu wao

Mpaka vyombo vya Habari vimeliona hili, walimu mjitathimini vinginevyo mtadharaulika mpaka kufa kwenu. Mnachekwa mpaka na watoto wanadai mmekuwa ombaomba kwa kuwaomba wanafunzi wawanunulie Chai muda wa break na wakisema pesa hawana mnawachapa.

Walimu wengi mnawalazimisha wanafunzi wanunue vibiashara vyenu vya ubuyu na ice-cream za ubuyu wa mia mia vibiashara ambavyo faida yake haifiki hata Buku tano.

View attachment 2632018
Ukweli inasikitisha sana, nimesikia kitaa binti mmoja aliyepata ajira mpya za Samia alilazimika kutembea na baba mwenye nyumba kwa kushindwa kulipa kodi
 
Mpwayungu Village unanikumbusha enzi hizo ilikuwa lazima ununue cake za mwalimu kama huna pesa unakopeshwa kilazima kudadeki ili kesho ulipe na ole wako usipolipa deni utajuta kwa fimbo utakazozioga.

Asubuhi ilikuwa must kwenda na sh 200 kila siku ("za masomo ya ziada") ...tulikuwa wanafunzi wengi zaidi ya 200 kwa madarasa mawili tu. Mchana walimu wanawateua mabinti (wanafunzi) wawili wakawapikie misosi ya kibabe. Kilabsiku walikuwa wakigawana pesa na kulikuwa hakuna hata hayo masomo ya ziada
Haya mambo tuliosoma Mlimani - Shule ya Msingi - UDSM na Chief Albert Luthuli (zamani Solomon Mahlangu) - SUA, hatujui mambo hayo.
 
Suluhu ni kuandamana tu wadai maslahi Yao
Kwan wewe inakuhusu Nini!?mbona wagogo wenzio husemi waandamane waache kuwa ombaomba!? Mimi naamini kabisa mshahara wakuanzia wa 700k sio haba tusidanganyane hapa!! Tena Kila baada ya muda wanapanda madaraja Yani baada ya muda anaenda E 900k+ sio Hela ndogo !!! Nina uhakika hao cloud hawapati hizo Hela!!
 
Kwan wewe inakuhusu Nini!?mbona wagogo wenzio husemi waandamane waache kuwa ombaomba!? Mimi naamini kabisa mshahara wakuanzia wa 700k sio haba tusidanganyane hapa!! Tena Kila baada ya muda wanapanda madaraja Yani baada ya muda anaenda E 900k+ sio Hela ndogo !!! Nina uhakika hao cloud hawapati hizo Hela!!
Hii kama iliundwa 23 Jan 2023 kutadhimini Hali mbaya ya vyombo vya habari IPO chini ya Tido mhando !! Waandishi wa Habari hawalipwi!??
IMG_20230523_191321.jpg
 
Mpaka vyombo vya Habari vimeliona hili, walimu mjitathimini vinginevyo mtadharaulika mpaka kufa kwenu. Mnachekwa mpaka na watoto wanadai mmekuwa ombaomba kwa kuwaomba wanafunzi wawanunulie Chai muda wa break na wakisema pesa hawana mnawachapa.

Walimu wengi mnawalazimisha wanafunzi wanunue vibiashara vyenu vya ubuyu na ice-cream za ubuyu wa mia mia vibiashara ambavyo faida yake haifiki hata Buku tano.

View attachment 2632018
Kwani wanalipwa sh. ngapi? anzieni hapo kubishana
 
Kwan wewe inakuhusu Nini!?mbona wagogo wenzio husemi waandamane waache kuwa ombaomba!? Mimi naamini kabisa mshahara wakuanzia wa 700k sio haba tusidanganyane hapa!! Tena Kila baada ya muda wanapanda madaraja Yani baada ya muda anaenda E 900k+ sio Hela ndogo !!! Nina uhakika hao cloud hawapati hizo Hela!!
Ee Mungu Baba asante kwa kuwabariki walimu kwa maisha mazuri na marefu yenye afya!
 
Clouds tumewasikia kuhusu mishahara ya walimu. Tuwekeeni scheme of service yenu tulinganishe na ya walimu halafu tuone kama hamtatawanyika kwa njia saba kwa ajili ya aibu!!
 
Mpaka vyombo vya Habari vimeliona hili, walimu mjitathimini vinginevyo mtadharaulika mpaka kufa kwenu. Mnachekwa mpaka na watoto wanadai mmekuwa ombaomba kwa kuwaomba wanafunzi wawanunulie Chai muda wa break na wakisema pesa hawana mnawachapa.

Walimu wengi mnawalazimisha wanafunzi wanunue vibiashara vyenu vya ubuyu na ice-cream za ubuyu wa mia mia vibiashara ambavyo faida yake haifiki hata Buku tano.

View attachment 2632018
Asante shemeji yangu umerudi Mpwayungu in the house
 
Back
Top Bottom